Sunday, January 31, 2010

Best Blogger Tips
Serikali ya mseto yapitishwa Z'bar

HATIMAE Baraza la Wawakilishi Zanzibar limeidhiria hoja ya kuundwa kwa serikali ya kitaifa kufanyika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010.

Hoja hiyo liyowasilishwa na kiongozi wa kambi ya upinzani Abubakar Khamis Bakari na inayotaka kuundwa kwa serikali hiyo ili kujenga umoja na maridhiano kwa Wazanzibari ambayo wamekuwa katika migogoro ya kisiasa kwa muda mrefu.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

Thursday, January 28, 2010

Best Blogger Tips
Alicia keys avishwa pete ya uchumba

Alicia Keys na Beatz wakivinjari Hawaii beach siku aliyovishwa pete Jan. 24.

Alicia keys, amevishwa pete ya uchumba siku moja kabla ya sherehe ya siku ya kuzaliwa kwake, ambapo ametimiza miaka 29, iliyofanyika tarehe 25 ya mwezi huu. Aliyemvalisha pete hiyo ni Producer wake, anayeitwa Swizz Beatz. Beatz, 31, hivi sasa ameachana na aliyekuwa mke wake Mashonda.

Best Blogger Tips
Baba adaiwa kuua watoto wake wawili

JESHI la Polisi linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kuua watoto wake wawili wa kiume, lakini Jeshi la Polisi limesema bado halijagundua watoto hao waliuawa vipi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.


Mtu huyo, Moses Tipana, 37, ambaye ni mfanyakazi wa Bandari ya Dar es salaam, kitengo cha mizigo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwaua watoto wake wawili, Patrick Moses, 16, na Siti Moses, 12, baada ya maelezo yake kuhusu vifo hivyo kuwa na utata.
Pata habari hii kwa undani.
Best Blogger Tips
Babu akimbia baada ya kumbaka mjukuu wake

Unaweza ukadhani ni hadithi, ukweli ni kwamba jambo hili limetokea huko Mbozi katika mkoa wa Mbeya, binti wa miaka 10 amebakwa na babu yake. Babu huyo alimvamia mjukuu wake usiku wa manane na kumbaka huku akimtishia kumuua iwapo angetoa siri hiyo.
Kwa undani wa habari hii ingia hapa.

Monday, January 25, 2010

Best Blogger Tips
Lakers visit White House, meet President Obama

The Lakers came in first to a standing ovation in the East Room of the White House today, all of them wearing suits for their visit to meet the president of the United States, most of them looking excited and nervous.


Then President Obama came in, bounding up to the podium to an ovation that included all the Lakers’ players, all of them with smiles on their faces.

Obama congratulated the Lakers for winning the franchise’s 15th NBA championship, a 4-1 NBA Finals victory in June over the Orlando Magic, which was their fourth in the last decade.

Thursday, January 21, 2010

Best Blogger Tips
Rihanna aimba ‘Redemption Song’ kusaidia Haiti



Wednesday, January 20, 2010

Best Blogger Tips
Maafa ya Haiti

Michango mbali mbali inaendelea kutolewa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Haiti, baada ya kukumbwa na tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha maafa makubwa katika nchi hiyo.

Rais Obama na mkewe, leo wametoa hundi ya $15,000 kwa ajili ya kusaidia watu wa Haiti. Juhudi kubwa zinafanyika ili kuweza kuirejesha nchi hiyo katika hali iliyokuwa nayo kabla ya maafa.


Majengo mengi yamenguka


Jamaa akitafakari nini cha kufanya


Tuesday, January 19, 2010

Best Blogger Tips
Kanye West and Rihanna at AMAs


Best Blogger Tips
Beyonce: Nataka kuwa na Mtoto



Beyonce, ana mpango wa kumpuzika kwa muda wa miezi sita, baada ya kumaliza ziara yake ya Dunia mwezi ujao, kuna uwezekano wa kupatikana mtoto wa Beyonce na mumewe Jay-Z?

“Hakika nataka kuwa na mtoto, lakini, najua kutokana na mpwa wangu, ni kazi kubwa”. Beyonce, alikuwa akioongea na Gazeti la Allure katika toleo lake la February alipoulizwa kuhusu mipango yao ya baadaye kama mume na mke.
Best Blogger Tips


Iringa Mjini


Mitaa ya Highland Cinema


Kwa Mshindo


Miyomboni area


Mitaa ya NMC

Picha zimepigwa na Axel Rye Clausen na Nick Reynolds.
Best Blogger Tips
Serikali yasalimu amri TRL

HATIMAYE mkataba wenye utata kati ya serikali na Kampuni ya Rites kutoka India inayoendesha Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), utavunjwa rasmi ifikapo Februari mwaka huu.

Kuvunjwa rasmi kwa mkataba huo, kuliwekwa wazi jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu, Omari Chambo wakati alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Rosemary Kirigini (CCM), mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali.

Huku wabunge wakishangilia kwa kupiga meza zao, Chambo alisema mkataba huo utavunjwa rasmi mwezi ujao baada ya serikali kuridhika kwamba uongozi wa kampuni hiyo ni mbovu. Habari hii kwa undani utaipata hapa.
Best Blogger Tips
Rais Kikwete atimua mkurugenzi Ikulu

RAIS Jakaya Kikwete jana aligeuka mbogo na kumtimua Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, Kayange Jacob ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kubaini kuwa wasaidizi wake wamemdanganya.


Mbali na kumtimua mkurugenzi huyo, Rais Kikwete ambaye alitakiwa kukabidhi magari ya wagonjwa kwa halmashauri za wilaya za Mbozi na Longido, aliondoka katika hafla hiyo kwa hasira bila kugawa magari hayo. Kwa habari zaidi ingia hapa.

Thursday, January 14, 2010

Best Blogger Tips
Rest in Peace Teddy Pendergrass




Best Blogger Tips

Pinda atangaza mali zake



WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametangaza mali zake. Aliwaambia wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jana ofisini mwake, Dar es Salaam, kuwa anamiliki nyumba tatu, na yuko katika pilikapilika za kujenga nyumba ya nne.
Pinda, ambaye ni kiongozi wa kwanza wa serikali ya awamu ya nne kutangaza mali zake hadharani, alisema kwamba ana akaunti kadhaa ambazo zikijumuishwa pamoja, zina kiasi cha pesa kisichozidi sh milioni 25.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

Wednesday, January 13, 2010

Best Blogger Tips
Beyonce & Jay-Z Named Hollywood’s Top-Earning Couple


LOS ANGELES, Calif.   Move over Brangelina and the Beckhams – Beyonce and Jay-Z have been named Hollywood’s Top-Earning Couple by Forbes magazine.

According to the mag, the dynamic duo earned a whopping $122 million between June 2008 and June 2009.
Beyonce beat husband Jay-Z’s bank account, bringing home $87 million to his $35 million. This isn’t the couple’s first time on Forbes’ list. Last year they also came in the top spot, pulling in $162 million.

On Tuesday, Beyonce told USA Today that she’s planning a well-deserved break after she wraps her current tour next month.
 Access the full story.
Best Blogger Tips
Anne Kilango ataka mawaziri wachaguliwe na wananchi

MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ameponda mfumo wa kuwapata mawaziri na kupendekeza kuwa wachaguliwe na wananchi kama ilivyo kwa rais.

Wakati Kilango akisema hayo kwenye uzinduzi wa ripoti ya kujipima kwa kutumia vigezo vya utawala, mbunge wa Karatu, Dk Willibrod Slaa amesema nchi itavurugika kutokana na muswada wa sheria ya udhibiti wa fedha za uchaguzi unaoandaliwa kuwasilishwa kwenye mkutano ujao wa Bunge.

Kauli ya Kilango inatokana na ripoti hiyo ya Mfumo wa Kupima Utawala Bora wa Umoja wa Afrika (APRM) kutaja kwamba mchanganyiko kati ya Bunge na serikali unakinzana na kanuni. Kwa habari zaidi ingia hapa.

Monday, January 11, 2010

Best Blogger Tips


Simon Cowell Is Leaving American Idol


LOS ANGELES, Calif. -- It’s official, Simon Cowell is leaving “American Idol” to launch “The X Factor” stateside.Simon announced the news himself at FOX’s Television Critics Association panel in Pasadena, Calif., on Monday afternoon.
Simon said the deal was reached early Monday afternoon to bring his British reality competition, which launched the career of Leona Lewis, stateside to FOX.
According to AOL TV, Simon signed the agreement on stage, which will not only bring the show over, but see Simon executive produce and judge on the show.
“I’m thrilled that we have put a date on the launch of the U.S. version of ‘The X Factor,’ and delighted to be continuing to work with FOX,” Simon said in a statement to Access Hollywood. “We have a fantastic relationship, a great team and are all very excited about this.”“The X Factor” will launch stateside in the fall of 2011, FOX confirmed in a release.

Thursday, January 7, 2010

Best Blogger Tips
Obama orders changes after anti-terror lapses


WASHINGTON - President Barack Obama suggested Thursday he would not fire anyone for the attempted Christmas airline attack, saying it appears the security lapses that led to the near-disaster were not the fault of a single individual or institution. "Ultimately the buck stops with me," said the commander in chief.

He declared anew that the government had the information to prevent the botched attack but failed to piece it together. He announced a range of changes designed to fix that, including wider and quicker distribution of intelligence reports, stronger analysis of them and new terror watch list rules.


Best Blogger Tips
Buriani Mzee Rashidi.

Tangu kufariki kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania enzi za Mwalimu, Rashid Mfaume Kawawa, mambo mengi yamezungumzwa na kuandikwa kuhusu aliyoyafanya wakati wa uhai wake. Jenerali ulimwengu katika makala yake ya Rai ya Jenerali, aliyoitoa wiki hii, amezungumza kiundani jinsi alivyomfahamu Mzee Kawawa.Kwa habari zaidi kuhusu article hiyo ingia hapa.

Mwandishi mwingine aliyepata kufanya mahojiano na Mzee Kawawa ni Godfrey Dilunga wa Raia mwema, kwa mujibu wa maelezo yake, amewahi kufanya mahojiano nae mara mbili. Kwa habari zaidi kuhusu mahojiano yake na Mzee kawawa ingia hapa.

Wednesday, January 6, 2010

Best Blogger Tips

IVORY Coast national soccer team, the Elephants Captain and top flight English premier league club, Chelsea striker Didier Drogba receives Taifa Stars jersey from President Jakaya Kikwete during a luncheon hosted for the Ivorian team, Rwandan national team, Amavubi, and Taifa Stars in Dar es Salaam today.(Photo by Mroki Mroki).

Monday, January 4, 2010

Best Blogger Tips
Mamou

Nimeikuta hii Mamou(Translation of lyrics) kwenye Globu ya jamii mwenyewe nimechoka,maana wimbo naujua lakini nilikuwa sijui una maana ipi.
Here you go!!


Sunday, January 3, 2010

Best Blogger Tips
Rais Jacob Zuma na mke wa mpya wa 5


Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, amefunga ndoa na mke mpya wa tano. Inasemekana mipango iko mbioni kuoa mke wa sita. Amefunga  ndoa na Thobeka Madiba. Kwa habari zaidi na dance yake ya kukata na shoka, ingia hapa, na hapa pia.

Thursday, December 31, 2009

Best Blogger Tips
Rest in Peace Simba wa Vita


Marehemu Rashidi Mfaume Kawawa



Raisi Jakaya Kikwete na Mzee Kawawa wakati wa uhai wake.

Wednesday, December 30, 2009

Best Blogger Tips
Detroit terror attack: CIA had report on suspect five weeks before bomb


The father of terrorist suspect Umar Farouk Abdulmutallab had reported his concerns about his son's radicalisation directly to the CIA more than a month before the attempted bombing of an aeroplane in Detroit, according to a report.But the warning was not passed on in full by the intelligence agency, a source told CNN.
Abdulmutallab's father Alhaji Uma Abdulmutallab, a prominent banker, was said to have had one face-to-face meeting with a CIA official in Nigeria and several contacts by telephone.Read more.

Tuesday, December 29, 2009

Best Blogger Tips
Kikwete ni mti uliosheheni embe mbivu

SHEIKH mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba amemfananisha Rais Jakaya Kikwete na mti uliosheheni embe mbivu, hivyo wabaya wake hawataacha kumpopoa kwa mawe.
Katika siku za hivi karibuni, makada wa CCM na viongozi wa zamani wamepata ujasiri wa kumkosoa Rais Kikwete hadharani, wakidai kuwa ameshindwa kufanya maamuzi mazito juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi.
Habari zaidi soma hapa.

Monday, December 28, 2009

Best Blogger Tips
Bomb suspect family pledges cooperation.


Saturday, December 26, 2009

Best Blogger Tips

Aliyekuwa Askofu Mkuu Msaidizi, jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Methodius Kilaini, akiingia katika kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam kuanza ibada ya Krismasi kitaifa, jana. (Picha na Fadhili Akida

Wednesday, December 23, 2009

Best Blogger Tips
Mambo ya Kobe Bryant

Kobe Bryant, jana aliendelea kufanya vitu vyake, kwa kuibuka na points 40, wakati Lakers walipocheza na Thunder. Ukubali au usikubali, lakini ukweli unabaki kwamba Kobe ni mchezaji aliye na kipaji cha hali ya juu katika mpira wa Kikapu.
Angalia shughuli aliyofanya kwenye video hii.


Best Blogger Tips
Vigogo njia panda

SIKU chache tu kabla ya kuanza kwa mwaka wa mchakato wa kuelekea kilele cha Uchaguzi Mkuu, baadhi ya wabunge waliopoteza matumaini ya kurejea bungeni wameanza kusitisha harakati hizo huku baadhi wakishindwa kuwatembelea wapiga kura kwa miezi kadhaa sasa, na wengine wakijaribu mbinu mpya kurekebisha mchafuko wa hali ya hewa kwa upande wao, Raia Mwema, imebaini.

Wabunge hao takriban 100 kwa muda sasa baadhi wameanza kupunguza kasi ya mawasiliano kati yao na wapiga kura na wengine wachache kati yao, wamekata kabisa mawasiliano hayo kutokana na kujiridhisha kwao kwamba hawana tena fursa ya kushindana na hatimaye kurejea bungeni.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

Tuesday, December 22, 2009

Best Blogger Tips
Diary of Kelly Rowland

Kelly Rolands anazungumzia ziara yake aliyoifanya katika nchi za Tanzania, Kenya na South Africa. Akiwa Tanzania, aliweza kufika hadi Uwanja wa Fisi na kujionea mwenyewe jinsi maisha yalivyo huko, aliweza kukutana na waathilika wa ukimwi na kuzungumza nao. Alizungumza pia na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali na kuwaeleza amejifunza nini kutokana na ziara yake hiyo.


Diary of Kelly Rowland from mtv staying alive on Vimeo.
Best Blogger Tips
The President and First Lady Get Vaccinated


A White House nurse prepares to administer the H1N1 vaccine to President Barack Obama at the White House December 20, 2009. (Official White House Photo by Pete Souza)

Best Blogger Tips

Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa masuala ya Umeme wa Kampuni ya EHL ya nchini Afrika ya Kusini, Martin Burls, (aliyenyoosha mkono), wakati alipotembelea Kituo cha kupokea Umeme cha Fumba jana.Zanzibar haina umeme kwa takribani wiki tatu sasa baada ya chombo katika kituo hicho kulipuka. (Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu).

Saturday, December 19, 2009

Best Blogger Tips
Cowboys vs. saints


Cowboys wamefanya kitu ambacho hakikutegemewa na wengi, kuweza kuifunga New Orleans, ambao ndiyo mchezo wao wa kwanza kupoteza kwa msimu huu. Watu wengi waliamini kwamba Cowboys wangefungwa kirahisi, lakini haikuwa hivyo, Cowboys waliweza kuwadhibiti vizuri Saints na kuweza kuibuka na Ushindi wa 24-17.
Unaweza kuangalia highlights ya game hiyo hapa.
Best Blogger Tips
Quote of the Day

While I know myself as a creation of God, I am also obligated to realize and remember that everyone else and everything else are also God's creation.
Quote by Maya Angelou.

Friday, December 18, 2009

Best Blogger Tips
Jon and Kate Gosselin


Baada ya miaka 10 ya ndoa, Jon na Kate Gosselin, wameachana rasmi. Hati ya kuachana imesainiwa na Judge Arthur R. Tilson.
Kate ataendelea kuishi na watoto kwenye nyumba yao na John atakuwa akitoa pesa za kusaidia kuwatunza watoto.
Kate, mwenye umri wa miaka 34, amesema, ameridhika na uamuzi huo, na kwamba anatarajia kuuanza mwaka mpya kwa kutilia mkazo malezi ya watoto wake.
Jon, mwenye umri wa miaka 32, pia amesema ameridhika na uamuzi huo.
Unaweza kupata udaku huu kiundani zaidi pamoja na habari zingine kwa kuingia hapa.

Thursday, December 17, 2009

Best Blogger Tips
Steve Harvey



Steve Harvey, ni mchekeshaji ambaye anafanya shughuli zake kwenye Radio na Televison hapa USA. Steve anatumia muda mrefu wa kazi zake siyo tu kuwachekesha wasikilizaji wake lakini pia kuwaelimisha jinsi ya kuishi maisha bora na ya amani, ikiwa ni pamoja na kumuweka Mungu mbele katika kila jambo.
Steve pia ni Mtunzi mzuri wa vitabu, Moja ya vitabu ambavyo Steve ameandika na kupendwa sana na watu ni  Act like a Lady, Think like a Man.
Best Blogger Tips

Pichani ni Raisi Jakaya Kikwete, Makamu wa Raisi Dr Ali Mohamed Shein, wakiwa pamoja na Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahimu Lipumba na Katibu wake Maalim Seif Shariff Hamad wakati wa sherehe za Miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika kwenye uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Picha hii inaleta matumaini makubwa, kwamba viongozi hawa wanaweza kuwa wanatofautiana kisiasa lakini hawana chuki kati yao. Picha hii imepigwa na Emanuel Kwitema.

Wednesday, December 16, 2009

Best Blogger Tips
Saturday Night Live

Best Blogger Tips
Janet Blames Dr Murray


Speaking out five months after Michael Jackson's death, Janet Jackson placed blame on Dr. Conrad Murray, saying the doctor should no longer be allowed to practice medicine.
"He was the one that was administering," she told ABC's Robin Roberts. "I think he is responsible."

Michael Jackson's personal physician, Dr. Conrad Murray, remains the focus of a manslaughter investigation into the pop star's death. Murray has admitted to administering the anesthetic propofol, but has denied giving Michael anything that should have killed him.

Jackson, who has walled herself in silence, fiercely guarding her private thoughts about the death of her beloved brother, Michael, opened up to Roberts in an exclusive interview that will air, Wednesday, Nov. 18 at 10 p.m. ET.

"It's been a tough year," she said. "You have your days where it's just really -- it's hard to believe. And a day doesn't go by that I don't think about him."

Jackson recounted the details of the morning of June 25, before she learned that Michael had collapsed, and her world turned upside down.

Tuesday, December 15, 2009

Best Blogger Tips
Former Senate Employee Charged with $75,000 Wire Fraud Scheme


Ngozi T. Pole, 39, a former office manager in the U.S. Senate, was charged today in a six-count indictment for an alleged scheme to defraud the U.S. Senate of more than $75,000, Assistant Attorney General Lanny A. Breuer of the Criminal Division announced today.

According to the indictment, returned by a federal grand jury in Washington, Pole worked as the office manager for former U.S. Senator Edward M. Kennedy. Pole’s responsibilities included transmitting salary and bonus information to the Senate Disbursing Office in order to adjust the pay of employees in the Senator’s office. According to the indictment, beginning in at least 2003 and continuing until January 2007, Pole repeatedly submitted paperwork causing the Senate to pay him larger salary and bonus payments than had been approved by either the chief of staff or Senator Kennedy. The indictment alleges that the excess payments totaled more than $75,000.

According to the indictment, Pole hid the existence of these unauthorized payments by repeatedly transmitting information to the chief of staff falsely showing that Pole received only those payments which had been authorized. Pole, of Waldorf, Md., is charged with five counts of wire fraud and one count of theft of government property.

Each wire fraud charge carries a maximum prison sentence of 20 years and a $250,000 fine. The theft of government property charge carries a maximum prison sentence of 10 years and a $250,000 fine.

This case is being prosecuted by Trial Attorneys M. Kendall Day and Ethan H. Levisohn of the Public Integrity Section of the Criminal Division. The case is being investigated by the FBI. Senator Kennedy’s Office has cooperated fully with the investigation.


An indictment is only a charge and is not evidence of guilt. The defendant is entitled to a fair trial in which it will be the government’s burden to prove guilt beyond a reasonable doubt.

Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits