Saturday, October 23, 2010

Best Blogger Tips
Mugabe hands Munya US$300,000



BIG Brother Africa star Munyaradzi Chidzonga has received US$300,000 from President Robert Mugabe following his disappointment of controversially missing out on winning the reality TV show last Sunday.

The money was raised overnight after businessmen Phillip Chiyangwa and David Chapfika set up a Chidzonga Trust Fund and opened a bank account on Tuesday to marshal donations.

Wednesday’s gift, received by Munya at State House, means he has now received MORE MONEY than the show’s winner Uti Nwanchukwu of Nigeria who took home US$200,000.

Munya received a hero’s welcome as he emerged from the arrivals terminal at the Harare International Airport, coming from South Africa where the show is filmed.
 
But fans were left high and dry after the Big Brother star was bundled into a maroon Chevrolet and driven to State House.
   
Best Blogger Tips
CCM, Chadema walumbana mauaji Maswa

Via Mwananchi

WAKATI Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba akikitupia makombora Chadema kwamba kinahusika na mauaji yaliyotokea katika mkutano wa kampeni, Jimbo la Maswa Magharibi, Chadema kimesema chama hicho tawala ndicho kitabeba lawama kwa kuvamia mkutano wao.

Mgombea urais wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa katika mkutano wa kampeni mkoani Tanga jana alisema maafa hayo yamesababishwa na CCM kwa kuwafundisha na kuhamasisha vijana wake kuvamia mikutano ya vyama vingine vya siasa.

Alisema muda sasa umefika kwa serikali kuonyesha kwa vitendo kwa kuwashughulikia wote wanaohusika kuvunja amani ya nchi bila kujali itikadi zao za kisiasa kwa kuwakamata na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria kwani kuvunja amani ni kosa la jinai.

Dk Slaa alitaja baadhi ya maeneo nchini ambako umwagaji damu umetokea mpaka sasa kutokana na sababu za kisiasa kuwa ni pamoja na Hai, Kagera, Tarime, Mwanza, Mpanda na Maswa na kuhoji sereikali inasubiri watu wangapi wajeruhiwe au kupoteza maisha ndipo ichukue hatua.

"Tangu nimeanza mikutano yangu inayokaribia zaidi ya mikutano 460 hadi sasa nimesisitiza amani na kueleza wazi kuwa siko tayari kwenda Ikulu kwa wananchi wangu kuvamiwa, kupigwa na kujeruhiwa na wengine kupata ulemavu au kupoteza maisha. Nimekuwa nikimuomba Kikwete ajitokeze hadharani kukemea vitendo vya vijana wa CCM kuanzisha vurugu na avunje na kupiga marufuku makambi ya vijana hao lakini hata siku moja hajafanya hivyo ikiwa ni dalili ya kuunga mkono vitendo hivyo," alisema Dk Slaa.

Wakati Slaa akisema hayo, kwa upande wa CCM Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusufu Makamba amesema kuna ushahidi wa kimazingira unaoonyesha kuwa mgombea wa Chadema jimbo la Maswa Magharibi, John Shibuda amehusika katika mauaji yaliyotokea juzi wilayani humo na kusababisha kifo cha mtu mmoja

Makamba ambaye alikuwa wilayani Maswa jana ambapo mbali na kufanya shughuli za chama pia alikwenda kutoa salamu za rambirambi kwa ndugu wa merehemu Steven Kwilasa, ambaye alikuwa dereva wa mgombea ubunge wa jimbo la Maswa Magharibi kupitia CCM, Robert Kisena.
Endelea kusoma habari hii..............

Monday, October 18, 2010

Best Blogger Tips

Alicia Keys Calls Motherhood ‘Bliss’


Alicia Keys is “Fallin’” for motherhood!
The gorgeous Grammy-winner, who gave birth to her son, Egypt, on Thursday, took to her Twitter page to share her maternal joy.

“There is no word to properly describe LOVE, to describe BLISS, to express a FEELING like this!!!” Alicia Tweeted on Sunday.

“Thank U 4 your love, support & prayers! ;-),” she added.

As previously reported on AccessHollywood.com, a representative for Alicia said the star gave birth on Thursday night in New York. Alicia and her husband, rapper-producer Swizz Beatz, have named their son Egypt Dean.

Egypt is the first child for the 29-year-old superstar and the fourth child for Swizz, whose real name is Kaseem Dean. The couple married on July 31.

Swizz, 31, took time to Tweet about his son’s arrival on Friday, calling the arrival another blessing.

“I’m so thankful for everything I been blessed with in my life wowwwwww!” he wrote.
Source: Access Hollywod

Thursday, October 14, 2010

Best Blogger Tips
Gari la Chenge lagonga tena, laua


MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Bariadi Magharibi mkoani Shinyanga (CCM), Andrew Chenge ameingia matatani tena baada ya gari lake kudaiwa kumgonga mwendesha pikipiki na kusababisha kifo wakati akitoka kwenye kampeni.

Tukio hilo limetokea wakati mwanasheria huyo wa zamani akiendelea na kesi ya mashtaka mawili ya kuendesha kizembe na kugonga pikipiki ya matairi matatu na kusababisha vifo vya watu wawili na jingine la kuendesha gari ambalo bima yake ilishaisha.

Hata hivyo, imeelezwa kuwa katika ajali ya jana waziri huyo wa zamani wa Miundombini hakuwa akiendesha gari hilo, bali alikuwa ndani.

Habari zilizopatikana jana kutoka wilayani Bariadi zimeeleza kuwa Chenge akiwa anatokea Kijiji cha Namisagusa na Kilalo alikokuwa na mkutano wa kampeni kuelekea mjini Bariadi, alipata ajali hiyo katika Kijiji cha Mbiti kilicho Kata ya Mhango, Tarafa ya Ntunzu.

“Hii ajali imetokea majira ya saa 1:00 usiku, Chenge baada ya kuona gari lake limegonga alishuka na kuhamia katika gari jingine na kuondoka eneo hilo. Wananchi walipofika hapo walilizuia gari hilo, lakini baadaye wakatimuliwa na polisi ambao waliliondoa gari hilo,” alieleza Patrick Liyuba mmoja wa wananchi wanaodai kushuhudia ajali hiyo.
Source: Mwananchi
Best Blogger Tips
'The View': Joy and Whoopi walk out on Bill O'Reilly


What you see here is the “Before” moment. Bill O’Reilly appeared on The View today to argue against Park51, the Muslim community center slated to be built two blocks from the World Trade Center.

 First he spoke to Joy Behar like a child: “Hold it, hold it. Listen to me because you’ll learn.” She responded in the only practical way: bunny ears. O’Reilly kept at it, insisting that 70 percent of Americans don’t want this mosque.

 “Where’s that poll?” Joy wondered. The eruption occurred after O’Reilly blamed Muslims for the WTC attacks: “Muslims didn’t kill us on 9/11? That’s what you’re saying?” O’Reilly wanted to make sure. And Whoopi and Joy stormed off the set! “I don’t want to sit here anymore,” Joy said, to clarify.

Barbara Walters took the reins.”You have just seen what should not happen. We should be able to have discussions without washing our hands and screaming and walking offstage. I love my colleagues, but that should not have happened.
Source: EW.com

Best Blogger Tips

Mgodi Chile: Miujiza yasherehekewa


Rais wa Chile amesema kamwe nchi yake haitarejea hali iliyokuwa nayo awali baada ya kukamilika kwa shughuli ya uokoaji wa wachimba migodi 33 waliokuwa wamenaswa chini ya ardhi kwa siku 69.

Sebastian Pinera amesema anahisi wananchi wa Chile sasa "wana umoja zaidi na imara kuliko wakati mwingine wowote" na wanaothaminika kote duniani.

Kulikuwa na kila hali ya ushangiliaji wakati Luis Urzua, mwenye umri wa miaka 54, mchimbaji wa mwisho alipotolewa nje ya mgodi huo.

Shughuli hiyo iliyofanyika kwa saa 22, ilitekelezwa kwa kila mmoja wao kutolewa kwa kutumia chombo maalum. Wote sasa wamepelekwa hospitalini.

Baadhi yao wamebainika kuwa na matatizo ya meno, na wengine wanasumbuliwa na macho kutokana na kuishi katika vumbi na giza mgodini humo. Mmoja wao amegundulika kuwa na kichomi, ingawa hali yake inaelezewa kuwa si mbaya sana.
Endelea kusoma habari hii...................
Best Blogger Tips

Inside Story: T.I. Knew in His Heart He Needed to Save Suicidal Atlanta Man


What started off as any other day for T.I. ended with an emotional rescue as the rapper helped coax a suicidal Atlanta man off a ledge Wednesday.

After hearing about the man, who was contemplating jumping off the V103 radio station building, the rapper decided he needed to stop listening and do something.

"People were trying to talk to him and tell him to get down," the rapper, 30, whose real name is Clifford Harris Jr., tells PEOPLE in a phone interview from the set of his new music video. "Something in my heart just said, 'You need to help.' At that point, I started calling people at the radio station."

But the radio station said the man was unresponsive to their pleas not to jump – so T.I. drove himself to the scene.

"I went down there and talked to a police officer and he sent me to the negotiator," the rapper says. "They told him I was there and he started responding a little bit."
Access the full story....................
Best Blogger Tips
Ndoto za Nyerere zimewekwa kando


WASOMI, wanasiasa na viongozi wa dini wamesema ndoto za Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere zimemezwa na watu wachache wenye uchu wa madaraka na wasiojali wala kuitakia mema Tanzania.

Wakitoa maoni yao jana kwa nyakati kuhusiana na maadhimisho ya miaka 11 tangu Mwalimu Nyerere alipofariki dunia inayofanyika leo, wanazuoni na viongozi hao waliwataka Watanzania mwaka huu kumwenzi muasisi huyo taifa kwa kutowachagua watu wabaya na kuwahimiza wagombea wa nafasi mbalimbali kuheshimu matokeo ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Okotba 31.

Walisema maadili ya uongozi yaliyoachwa na Nyerere yamesahauliwa na viongozo hivyo kuna haja kwa taifa kurejesha maadili hayo ili kuinusuru nchi.
Mwalimu Nyerere alifariki dunia kwa ugonjwa wa saratani ya damu Oktoba 14, 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas nchini Uingereza alikoenda kutibiwa.

''Moja ya mambo ya msingi ambayo tunapaswa kumuenzi Mwalimu Nyerere, ni kuheshimu maamuzi ya wananchi katika kuchagua mgombea wa urais, ubunge na udiwani. Kuchakachua matokeo, itakuwa ni jambo la hatari,'' alisema aliyewahi kuwa Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Arcado Ntagazwa.

Ntagazwa alisema kuheshimu maamuzi ya wananchi ni sehemu ya kumuenzi Mwalimu Nyerere katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.
Endelea kusoma habari hii..............

Wednesday, October 6, 2010

Best Blogger Tips

Sunday, October 3, 2010

Best Blogger Tips
Helkopta ya Dr Slaa ikitua Iringa

Helkopta ya Dr Slaa ikitua katika moja ya mikutano yake ya kampeni Mkoani Iringa. Picha kwa hisani ya francisgodwin.blogspot.com
Best Blogger Tips

 

Best Blogger Tips

Nigeria: Mshukiwa wa bomu akamatwa SA


Kiongozi wa zamani wa kundi la waasi nchini Nigeria ametiwa nguvuni kuhusiana na mashambulio ya bomu nchini Nigeria ya Ijumaa iliyopita.

Henry Okah alikamatwa na maafisa wa polisi wa Afrika Kuisni katika nyumba yake mjini Johannesburg. Okah aliwahi kuwa kiongozi wa kundi la MEND kundi la waasi lililofanya mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya mafuta.

Kundi hilo limedaiwa kuhusika katika mashambulio hayo japo lilikuwa linastahili kutekeleza usitishwaji wa vita chini ya makubaliano kati yake na serikali.
Source: BBC

Friday, September 24, 2010

Best Blogger Tips

The Richest People In America

See the 2010 Forbes 400 Rich List
 
America's super rich are getting poorer. For only the fifth time since 1982, the collective net worth of The Forbes 400, our annual tally of the nation's richest people, has declined, falling $300 billion in the past 12 months from $1.57 trillion to $1.27 trillion.

Faltering capital markets and real estate prices, along with divorce and fraud, pushed the fortunes of 314 members down and drove 32 plutocrats off the rankings.
Access the full story................
Best Blogger Tips

Wednesday, September 22, 2010

Best Blogger Tips

Couple admits using five disabled Tanzanian children to beg for alms

Via Nation

A couple has admitted bringing disabled children from Tanzania into the country and using them to earn money by begging in city streets.

Mr Jisena Kulwa Dutu, a Tanzanian, and his Kenyan wife Josephine Mueni appeared before Makadara principal magistrate Terry Ngugi.

Accompanying the couple were the five paralysed children. A bag containing money in various denominations was also exhibited in court.

“Your honour police have brought before this court these unusual exhibits - distraught paralysed children and a bag containing the alms they had collected from good Samaritans. I wish to produce them before this court,” prosecutor Esther Ngure said.

Ms Ngure added that the cash in the bag amounted to Sh13,000.
Access the full story........................

Tuesday, September 21, 2010

Best Blogger Tips
Hili ni Kanisa la RC lililopo Mshindo, Mkoani Iringa. Ukiwa sehemu yoyote ya mji wa Iringa unaweza kuliona Kanisa hili.
Picha hii na nyingine nyingi pamoja na habari zinazohusu Mkoa wa Iringa utazipata kwenye blog ya Francis Godwin, Mzee wa Matukio.

Monday, September 20, 2010

Best Blogger Tips
CCM yamwangukia Bashe

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimegeuka kuwa kigeugeu baada ya kumwangukia aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC), Hussein Bashe, kikimtaka akasaidie kukipigia kampeni katika jimbo la Nzega mkoani Tabora.

Habari za kuaminika zilizopatikana kutoka Nzega na Dar es Salaam jana, zinasema CCM imeteua zaidi ya makada 20 katika jimbo hilo, kwa ajili ya kukinadi chama hicho ambacho kinaonekana kupata wakati mgumu.

Bashe ambaye alitangazwa na CCM hivi karibuni na kuvuliwa nyadhifa zote na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), kisha kutangazwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa chama hicho, Kapteni John Chiligati, kuwa si raia, kunaibua maswali mengi kama uamuzi huo, ulikuwa sahihi.

Bashe ambaye alishinda kura za maoni kwenye jimbo la Nzega, lililokuwa likishikiliwa na Lucas Selelii, (CCM) na ushindi wake kupewa Dk. Hamisi Kigwangala ambaye amepitishwa rasmi kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Akitangaza uamuzi huo, baada ya kumalizika kwa kikao cha NEC cha mchujo wa wagombea ubunge na Baraza la Wawakilishi, Chiligati, alisema CCM imeamua kumtimua Bashe uanachama na kumuengua kuwania ubunge katika jimbo la Nzega, baada ya kubaini kuwa ni raia wa Somalia.
Endelea kusoma habari hii.............

Thursday, September 16, 2010

Best Blogger Tips
Prosper Riddim

Sunday, September 12, 2010

Best Blogger Tips
Miss Tanzania 2010

Vodacom Miss Tanzania Geneviva Mpangala akiwa na washindi wenzie mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu kulia ni mshindi wa tatu Consolata Msofe na kushoto ni mshindi wa pili Groly Mwanga, Geneviva ataiwakilisha nchi katika shindano kubwa la Dunia Miss World litakalofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Thursday, September 9, 2010

Best Blogger Tips
Eid Mubarak

May the Guidence and Blessings of Allah Be with You and Your family

Friday, September 3, 2010

Best Blogger Tips
Dk.Slaa amtega Makamba

Via ippmedia

.Amtaka atoboe kilichomfukuzisha ualimu
.Vinginevyo atayaanika yote aliyoyatenda
.Kingunge naye atumbukia hoja ya ndoa

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa, amesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, hana ubavu wa kuhoji masuala ya uadilifu wa ndoa.

Alisema badala yake, Makamba anapaswa kuuelezea umma sababu zilizomfanya afukuzwe katika kazi ya ualimu akiwa Mkuu wa shule ya msingi.

Dk. Slaa alivunja ukimya jana alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika uwanja wa Kwaraha mjini Babati.

Dk. Slaa alisema ndoa yake kamwe haijamshinda na kwamba hakuna mwenye uwezo wa kumchagulia mke na kwamba kufunga ndoa ni makubaliano ya watu wawili.

Alitumia fursa hiyo kumtambulisha mke wake, Josephine na kuhoji, “kipi bora kuwa na mke mmoja hadharani au kuwa na nyumba ndogo nyingi?”

Pia alivunja ukimya na kuamua kujibu tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwake na wapinzani wake wa kisiasa hasa masuala ya Ukatoliki, kuacha upadre na maisha yake ya ndoa.

Aidha, Dk. Slaa alieleza kusikitishwa kwake na kitendo cha polisi kusimamisha magari ya msafara wake juzi, na kuwataka kutenda haki na kusimamia kile walichokubaliana katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.
Endelea kusoma habari hii..............................

Thursday, September 2, 2010

Best Blogger Tips
Slaa amvaa mke wa Kikwete

Via Mwananchi

KAMPENI za uchaguzi mkuu zimezidi kunoga baada ya mgombea urais wa Chadema, Dk Slaa kumgeukia mke wa Rais Jakaya Kikwete akieleza kuwa anatumia vibaya rasilimali za nchi kumpigia kampeni mumewe huku akimtaka katibu mkuu wa CCM, Yusuph Makamba aeleze kisa cha kufukuzwa ualimu mkuu wa shule ya msingi.

Kwa muda mrefu Salma Kikwete, mke wa Rais Kikwete na ambaye pia ni mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), amekuwa katika ziara kwenye mikoa mbalimbali, jambo ambalo limekuwa likitafsiriwa kuwa anafanya ziara za kampeni kwa ajili ya mumewe. Kwa sasa yuko mkoani Manyara.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, Dk Slaa ambaye ameripotiwa kuwa na makombora 20 kwa ajili ya kuimaliza CCM, alisema kitendo cha mke huyo wa rais kumpigia kampeni kwa kutumia rasilimali za umma ni ufisadi.

“Mke wa rais si rais," alisema Dk Slaa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Kwara ulio Babati Mjini.

"Mama Salma anatembea na askari wa serikali; magari ya serikali na wakuu wa mikoa na wilaya. Anatumia fedha za Ikulu kwa sababu walinzi wake wanalipwa na Ikulu. Huu ni ufisadi.”
Endelea kusoma habari hii......................

Tuesday, August 31, 2010

Best Blogger Tips
Shule iliyokumbwa na mashetani

Via darleo

BAADA ya zaidi ya wanafunzi 26 wa Shule ya Msingi Tumaini kuanguka jana na maruhani leo shule hiyo ilionekana kupwaya baada ya wanafunzi kutofika shuleni wakihofia kukumbwa na masaibu hayo.

Gazeti hili leo asubuhi lilishuhudia shule hiyo ikiwa na idadi ndogo ya walimu na wanafunzi, hali ambayo ilizidi kuifanya shule hiyo kuzizima kutokana na ukimya uliokuwapo.

Imebadinika kuwa baadhi ya wazazi wamelazimika kuwakataza watoto wao kwenda shule kwa kuhofia kukumbwa na balaa hilo.

Akizungumza na gazeti hili leo asubuhi, mwalimu mmoja wa shule hiyo ambaye hakupenda jina lake kuandikwa gazetini kwa madai kuwa si msemaji, alidai kuwa tukio hilo si la kwanza na kwamba kuna uwezekano kukawa na tatizo.

“Kuna taarifa kuwa eneo hili lilikuwa ni la makaburi, hivyo kuna maruerue yanayojitokeza,” alidai mwalimu huyo.
Jana mwalimu mmoja wa shule hiyo, Godfrey Wilbard, wakati akifundisha darasani, ghafla alisikia wmanafunzi mmoja akipiga mayowe akidai kuwa anaona watu walioko uchi na huku wakimwita.
Baada ya muda mwanafunzi huyo alizirai huku akifuatiwa na wanafunzi wenzake wadarasa la saba.

Kutokana na hali hiyo kuendelea idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka kuanguka jambo lililozua utata kwa wazazi wa wanafunzi hao kulazimika kukimbilia shuleni hapo.

Imedaiwa kuwa wakati wanafunzi hao walikuwa wakizungumza maneno ya yasiyoeleweka ambapo walimu na wazazi walilazimika kuwakimbiza kwenye kanisa la Assembles of God lililopo jirani kwa ajili ya kuombewa.

Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni saa 4.30, bado idadi ya wanafunzi shuleni hapo ilikuwa ndogo na hata waliokuwepo walionekana kuwa na woga.
Best Blogger Tips
Idadi ya raia Kenya yafikia milioni 38


Idadi ya wakazi nchini Kenya imefikia milioni 38.6 (38,610,097), takwimu hizo ni kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2009. Kati ya takwimu hizi idadi ya wanaume kwa wanawake imeonekana sawa jinsia zote zikifikia milioni 19.4 wanawake na milioni 19.2 wanaume.

Akitangaza matokeo ya sensa waziri wa mipango ya taifa, Wycliffe Oparanya, hata hivyo amesema matokeo ya wilaya nane yalibatilishwa kutokana na dosari katika kukusanya idadi ya raia wa maeneo hayo.

Wilaya ambazo idadi ya raia haikutolewa ni zile za Kaskazini mwa Kenya ikiwa ni pamoja na Lagdera, Wajir Mashariki, Mandera Kati, Mandera Mashariki, Mandera Magharibi, Turkana Kati na Turkana Kusini.

Bw Oparanya amesema dosari hizo zilipatikana baada ya idadi ya raia kuonekana kuwa juu kuliko nakili za watoto wanaozaliwa na ripoti ya vifo.
Endelea kusoma habari hii....................

Sunday, August 29, 2010

Rais Kikwete akiwa Sumbawanga

Best Blogger Tips
Rais Jakaya akishuka kwenye Helkopta mara baada ya kuwasili Sumbawanga mjini tayari kwa mkutano uliofanyika jana kwenye uwanja wa Mandele mjini humo.

                                           
Umati wa wakazi wa Sumbawanga mjini waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni ili kumsikiliza rais Jakaya Kikwete jana wakati alipohutubia wakazi wa mji mhuo.

Tuesday, August 24, 2010

Best Blogger Tips
Akina mama wakilia kwa uchungu baada ya Mgombea wao wa urais kupitia chama cha mapinduzi CCM. Rais Jakaya Kikwete kuanguka ghafla wakati akihutububia wafuasi wa chama hicho jangwani.(Photo: pwaniraha.com)
Best Blogger Tips
JK ahaha kunusuru mpasuko CCM


MWENYEKITI wa CCM Jakaya Kikwete jana alitumia mkutano wa kampeni kwenye jimbo la Buchosa kujaribu kutuliza wimbi la wanachama wanaohamia vyama vya upinzani kupinga matokeo ya kura za maoni za kupata wagombea ubunge na udiwani, akiwataka waige mfano wake wa uvumilivu.

Alikuwa ameshtushwa na kitendo cha mbunge wa zamani wa Jimbo la Busega, Dk Raphael Chegeni kutoonekana katika msafara ulioenda kumlaki alipowasili na pia kutoonekana kwenye mkutano wa hadhara kwenye jimbo hilo ambalo makada wanne wa CCM wamefungua kesi kumpinga mgombea wa CCM, Dk Charles Tizeba.

Kikwete aliongoza awamu ya kwanza ya kura za maoni za kutafuta mgombea urais wa CCM mwaka 1995, lakini katika amu ya pili aliangushwa na Benjamin Mkapa ambaye baadaye alishinda uchaguzi na kuwa rais wa serikali ya awamu ya tatu.
Endelea kusoma habari hii....................

Thursday, August 19, 2010

Best Blogger Tips
Mwanamume akutwa amefia chumbani Dar

MWANAMUME Omari Disomba, maarufu kwa jina la Kitimutimu (54), ambaye kazi yake ilikuwa ni dereva teksi, amekutwa amekufa chumbani kwake huku maiti yake ikiwa kitandani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga, amesema tukio hilo limetokea jana saa 12 jioni, Ubungo Kibo.

Amesema mwili wa marehemu huyo umekutwa hauna jeraha lolote na chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika.

Kwa mujibu wa Athuman Amri (34), mkazi wa Ukonga Magereza, enzi za uhai wake marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu.

Maiti imehifadhiwa chumba cha maiti Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi zaidi na upelelezi unaendelea.

Wakati huo huo, polisi inawashikiliwa wakazi wanane kwa tuhuma za kukutwa na bangi puli 47, miskoto 60 na pombe haramu ya gongo lita 20.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa jana saa 3 asubuhi, Magomeni Mapipa, Bonde la Madaba.

Amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Scola Mambo (43), Ramadhani Saidi (24), Hawa Adamu (18), JUlieth JOhn (34) na wenzao wanne.
Source: Darleo

Wednesday, August 18, 2010

Best Blogger Tips
Kibao chageukia aliyechukua nafasi ya Bashe Nzega

Via ippmedia

 Wakati msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga, akisema kuwa kwa mujibu wa nyaraka zilizoko, mgombea ubunge jimbo la Nzega aliyeenguliwa, Hussein Bashe, ni raia wa Tanzania, aliyepewa nafasi yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM), naye ameibua mambo mapya juu ya uraia wake.

Taarifa kutoka jimboni humo zilieleza Dk. Hamis Andrew Kigwangala ambaye alipitishwa na chama hicho uraia wake unadaiwa kuwa na utata.

Kuna taarifa kwamba Dk. Kigwangala jana alihojiwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji katika ofisi za Wilaya ya Nzega wakati akirudisha fomu ya kuwania ubunge kwa msimamizi wa uchaguzi.

Dk. Kigwangala aliteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kugombea nafasi hiyo baada ya Bashe aliyekuwa mshindi katika kura za maoni kuenguliwa baada ya kudaiwa kwamba sio raia wa Tanzania.

Habari hizo zilieleza kwamba, Dk. Kigwangala naye uraia wake una utata na kwamba jina alilotumia shuleni (Hamis Andrew) sio la kwake na kuwa mwenyewe yupo wilayani humo, lakini hivi sasa inadaiwa kwamba amefichwa.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba jina lake halisi ni Said Nassor Magaile.

Aidha, inadaiwa kwamba baada ya mgombea huyo kushtukia uraia wake, jana alikimbilia katika Mahakama ya Wilaya kukana jina lake halisi ambalo ni Said Nassor.
Endelea kusoma habari hii.........................

Thursday, August 12, 2010

Best Blogger Tips
Rapper buys $2 million sports car

Birdman Shows Off His $2.1 Million Bugatti

Southern rapper Birdman is showing off the kind of toy a few million dollars can buy: the Bugatti Veyron. The European sports car is not only one of the most expensive things you can buy on four wheels, but it's also the fastest street car on the planet.

Birdman, who goes by his real name, Bryan Williams, when he's doing business as the CEO of Cash Money Records, is making sure everyone knows about his $2.1 million mode of transportation, too. The Dirty South rapper and his crew snapped some shots of the all-red sports car while holding a business card that reads "I am expensive," a statement which would be pretty hard to argue with, given the car's estimated $300,000 annual upkeep costs.


Access the full story..............

Saturday, August 7, 2010

Best Blogger Tips
Dk. Slaa ateka Moshi, Tanga

Leo kunguruma jijini Dar

Via ippmedia

Umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Moshi na wilaya za jirani juzi walijitokeza kwa wingi kumlaki mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willbroad Slaa.

Wananchi hao ambao walijitokeza kwa maandamano ya magari, pikipiki na baiskeli walitembea maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi na baadaye majira ya saa tisa alasiri walikwenda kumlaki Dk. Slaa katika uwanja mdogo wa ndege mjini hapa.

Vifijo na nderemo zilizidi pale Dk. Slaa na msafara wake ulipoingia kwenye eneo la mkutano katika viwanja vya Manyema kata ya Bondeni majira ya saa 11:30, huku wananchi wakionyesha ishara ya Chadema na kila aina ya shauku ya kumuona.
Endelea kusoma habari hii......................

Friday, August 6, 2010

Best Blogger Tips
Michaele Salahi Claims Whoopi Goldberg Hit Her?

Michaele Salahi and the other cast members from The Real Housewives of DC were on The View yesterday to promote their show. Michaele started going off with another of those old crows about how they were catty toward each other. They really got off topic. So much, that Whoopi Goldberg
emerged from the back, touched Michaele lightly and asked her if they could get back to the White House. Apparently that made Michaele a bit livid, because after the show, she claimed that Whoopi had hit her.

Or something like that….

Whoopi got wind of the “hitting” lie and confronted Michaele after the show. She proceeded to drop a rambling slew of F-bombs toward the guest, whose husband tried to film on his BlackBerry. Now, their lawyer is claiming that Whoopi defamed and abused Michaele. Go figure. These famewhores will never learn.



Access the full story..................

Thursday, August 5, 2010

Best Blogger Tips
Man accused of Facebook bigamy denies double life

John France claims that Lynn France ‘knew everything I was doing'

In the second part of a tangled he-said, she-said tale of two weddings and a Facebook page, the man accused of bigamy uncovered on the social network claims it’s largely the product of his estranged wife’s imagination.

Tuesday on TODAY, Lynn France said she learned that John France — with whom she had two sons after a gala 2005 wedding — had taken a second bride only when she saw pictures of that second wedding on the Facebook page of John’s new wife, Amanda. Lynn asserts she is still married to John, and that he has spirited away their two toddler sons.

But on Thursday, John France appeared on TODAY with Amanda and an attorney to tell a decidedly different story. He asserted his marriage to Lynn was never valid in the first place, and that Lynn knew what he was up to every step of the way.

“I was not carrying on a double life, no way,” France told Matt Lauer. “I’m no angel, OK? But Lynn knew everything I was doing.”
Access the full story........................

Tuesday, August 3, 2010

Best Blogger Tips
Kikwete aomboleza kifo cha Jidulamabambasi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba kutokana na kifo cha Amani Jidulamabambasi kilichotokea juzi.

Jidulamabambasi alikuwa miongoni mwa wanachama wa CCM waliokuwa wamejitokeza kuwania kuteuliwa na kugombea Ubunge Maswa Magharibi.

“Ninakutumia salamu za rambirambi wewe Katibu Mkuu wa CCM na wana– CCM kote nchini kwa kumpoteza mmoja wa makada katika chama chetu”, alisema Kikwete.

Aliongeza, “aidha kupitia kwako, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya marehemu Amani kwa kuondokewa na kiongozi muhimu wa familia yao.”

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Kikwete amemwelezea Amani kuwa miongoni mwa makada jasiri wa CCM wasiokata tamaa katika medani za siasa na mpambanaji hodari aliyekuwa na dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa na umma wa Watanzania.
Source: HabariLeo
Best Blogger Tips
9 dead in shooting at Conn. beer distributor


Officials say gunman shot himself as police approached

MANCHESTER, Conn. — An employee who had been asked to resign for stealing went on a shooting rampage Tuesday at a beer distributing company, killing eight people and wounding others before fatally shooting himself, officials said.

The shooting took place at Hartford Distributors Inc., about 10 miles east of Hartford.

The company identified the shooter as Omar Thornton, a 34-year-old warehouse driver.

The driver had worked at the distributor for a couple of years and been called in for a disciplinary hearing, said John Hollis of the Connecticut Teamsters, who was with company officials at the scene of the shooting.

"The union was bringing him in to meet with the company to remedy the problem," Hollis told the Hartford Courant. "He started shooting."

"He wanted to say goodbye and he loved everybody," said Joanne Hannah, whose daughter Kristi had dated Thornton for eight years.
Access the full story.........................

Monday, August 2, 2010

Best Blogger Tips
Alicia Keys afunga ndoa na Swizz Beatz


 Alicia Keys ameolewa na mtayarishaji wa muziki Swizz Beatz, ambaye ana ujauzito wake, katika hafla iliyofanyika kwa faragha mwishoni mwa wiki.

Wapenzi hao walifunga ndoa siku ya Jumamosi katika eneo moja ambalo halikutangazwa hadharani.

Mwakilishi mmoja wa Keys alithibitisha kufanyika kwa sherehe hiyo ya harusi kwa shirika la habari la AP siku ya Jumapili.

Mwanamziki huyo aliyewahi kushindi tuzo za Grammys na Swizz Beatz- ambaye jina lake halisi ni Kasseem Dean- wamekuwa pamoja tangu mwaka 2008.

Keys, mwenye umri wa miaka 29, ameshinda tuzo 12 za Grammys tangu kutoa albamu yake ya kwanza Songs in A Minor mwaka 2001.

Dean, mwenye umri wa miaka 31, ambaye ana watoto wawili kutoka ndoa yake ya mwanzo, ameandika na kutayarisha nyimbo za wasanii zilizovuma sana akiwemo Beyonce na mumewe Jay-Z.

Key aliimba katika sherehe za ufunguzi za Kombe la Dunia mwezi Juni.
Source: BBC

Sunday, August 1, 2010

Best Blogger Tips
 Bushman - Worries and Problems

Best Blogger Tips
Matokeo ya kura za maoni zanzibar, wengi wasema NDIYO kutaka serikali ya mseto


Registered Voters - 407,669
Valid Votes - 266,064
Invalid Votes - 8,309
Total Turn Out - 274,373
Percent Turn Out - 67.00%
Polling Stations Published 1,210 of 1,292
NDIO / YES = 175,476
HAPANA / NO = 90,588
Taarifa nyingine toka mitaani zinasema kuwa majimbo yaliyoshikilia kura ya HAPANA ni Amani, Chaani, Chwaka, Dole, Kwahani, Makunduchi, Muyuni na Uzini.
Best Blogger Tips
Is he the actual father?


Find more videos like this on mytings
Best Blogger Tips
Vituko Vya Uchaguzi - TZ

AONYWA KUJIITA OBAMA
KATIKA jimbo la Bunda, kulikuwa na habari kuwa mgombea Ginche Kisase, ameonywa akitakiwa kuacha kujinadi kwa kutumia jina la Rais Barack Obama wa Marekani, kwa kuwa hawafanani. Onyo hilo lilitolewa na wanachama wa CCM kata za Kunzugu na Mcharo, wakati mgombea huyo akijinadi kuomba kura. Hilo liliibuka baada ya Kisase kusimama kujinadi na kudai anafahamika zaidi kama Obama, jina ambalo alidai amepewa na wananchi. Baada ya kujinadi hivyo, baadhi ya wanachama waliguna, huku wengine wakizomea na kupaza sauti kuashiria kutokubaliana naye. Kwa upande wake, Kisase alisema mtu akitaka kumuita Obama yuko huru na asipotaka anaweza kumuita vingine.

AJINADI KWA KUOGESHA WAZEE
MGOMBEA ubunge, Peter Msuya, aliwavunja mbavu wanachama wa CCM wakati akinadi sera zake, kwa kusema akichaguliwa atajenga kituo cha kuwaosha vikongwe. Msuya anayewania jimbo la Ubungo, alisema kuanzishwa kituo hicho kutaleta ajira kwa vijana, kwani hata Ulaya watu wanafanya kazi hizo na kujipatia fedha na kununua magari ya kifahari na kuahidi kuwa, fedha za mfuko wa jimbo zitatumika kutatua kero jimboni humo. Naye mgombea Alfred Nchimbi, akijinadi alisema anatakiwa kiongozi atakayeleta maendeleo na si kupiga kelele.
Source: Uhuru

Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits