Tuesday, August 31, 2010

Best Blogger Tips
Shule iliyokumbwa na mashetani

Via darleo

BAADA ya zaidi ya wanafunzi 26 wa Shule ya Msingi Tumaini kuanguka jana na maruhani leo shule hiyo ilionekana kupwaya baada ya wanafunzi kutofika shuleni wakihofia kukumbwa na masaibu hayo.

Gazeti hili leo asubuhi lilishuhudia shule hiyo ikiwa na idadi ndogo ya walimu na wanafunzi, hali ambayo ilizidi kuifanya shule hiyo kuzizima kutokana na ukimya uliokuwapo.

Imebadinika kuwa baadhi ya wazazi wamelazimika kuwakataza watoto wao kwenda shule kwa kuhofia kukumbwa na balaa hilo.

Akizungumza na gazeti hili leo asubuhi, mwalimu mmoja wa shule hiyo ambaye hakupenda jina lake kuandikwa gazetini kwa madai kuwa si msemaji, alidai kuwa tukio hilo si la kwanza na kwamba kuna uwezekano kukawa na tatizo.

“Kuna taarifa kuwa eneo hili lilikuwa ni la makaburi, hivyo kuna maruerue yanayojitokeza,” alidai mwalimu huyo.
Jana mwalimu mmoja wa shule hiyo, Godfrey Wilbard, wakati akifundisha darasani, ghafla alisikia wmanafunzi mmoja akipiga mayowe akidai kuwa anaona watu walioko uchi na huku wakimwita.
Baada ya muda mwanafunzi huyo alizirai huku akifuatiwa na wanafunzi wenzake wadarasa la saba.

Kutokana na hali hiyo kuendelea idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka kuanguka jambo lililozua utata kwa wazazi wa wanafunzi hao kulazimika kukimbilia shuleni hapo.

Imedaiwa kuwa wakati wanafunzi hao walikuwa wakizungumza maneno ya yasiyoeleweka ambapo walimu na wazazi walilazimika kuwakimbiza kwenye kanisa la Assembles of God lililopo jirani kwa ajili ya kuombewa.

Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni saa 4.30, bado idadi ya wanafunzi shuleni hapo ilikuwa ndogo na hata waliokuwepo walionekana kuwa na woga.
Best Blogger Tips
Idadi ya raia Kenya yafikia milioni 38


Idadi ya wakazi nchini Kenya imefikia milioni 38.6 (38,610,097), takwimu hizo ni kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2009. Kati ya takwimu hizi idadi ya wanaume kwa wanawake imeonekana sawa jinsia zote zikifikia milioni 19.4 wanawake na milioni 19.2 wanaume.

Akitangaza matokeo ya sensa waziri wa mipango ya taifa, Wycliffe Oparanya, hata hivyo amesema matokeo ya wilaya nane yalibatilishwa kutokana na dosari katika kukusanya idadi ya raia wa maeneo hayo.

Wilaya ambazo idadi ya raia haikutolewa ni zile za Kaskazini mwa Kenya ikiwa ni pamoja na Lagdera, Wajir Mashariki, Mandera Kati, Mandera Mashariki, Mandera Magharibi, Turkana Kati na Turkana Kusini.

Bw Oparanya amesema dosari hizo zilipatikana baada ya idadi ya raia kuonekana kuwa juu kuliko nakili za watoto wanaozaliwa na ripoti ya vifo.
Endelea kusoma habari hii....................

Sunday, August 29, 2010

Rais Kikwete akiwa Sumbawanga

Best Blogger Tips
Rais Jakaya akishuka kwenye Helkopta mara baada ya kuwasili Sumbawanga mjini tayari kwa mkutano uliofanyika jana kwenye uwanja wa Mandele mjini humo.

                                           
Umati wa wakazi wa Sumbawanga mjini waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni ili kumsikiliza rais Jakaya Kikwete jana wakati alipohutubia wakazi wa mji mhuo.

Tuesday, August 24, 2010

Best Blogger Tips
Akina mama wakilia kwa uchungu baada ya Mgombea wao wa urais kupitia chama cha mapinduzi CCM. Rais Jakaya Kikwete kuanguka ghafla wakati akihutububia wafuasi wa chama hicho jangwani.(Photo: pwaniraha.com)
Best Blogger Tips
JK ahaha kunusuru mpasuko CCM


MWENYEKITI wa CCM Jakaya Kikwete jana alitumia mkutano wa kampeni kwenye jimbo la Buchosa kujaribu kutuliza wimbi la wanachama wanaohamia vyama vya upinzani kupinga matokeo ya kura za maoni za kupata wagombea ubunge na udiwani, akiwataka waige mfano wake wa uvumilivu.

Alikuwa ameshtushwa na kitendo cha mbunge wa zamani wa Jimbo la Busega, Dk Raphael Chegeni kutoonekana katika msafara ulioenda kumlaki alipowasili na pia kutoonekana kwenye mkutano wa hadhara kwenye jimbo hilo ambalo makada wanne wa CCM wamefungua kesi kumpinga mgombea wa CCM, Dk Charles Tizeba.

Kikwete aliongoza awamu ya kwanza ya kura za maoni za kutafuta mgombea urais wa CCM mwaka 1995, lakini katika amu ya pili aliangushwa na Benjamin Mkapa ambaye baadaye alishinda uchaguzi na kuwa rais wa serikali ya awamu ya tatu.
Endelea kusoma habari hii....................

Thursday, August 19, 2010

Best Blogger Tips
Mwanamume akutwa amefia chumbani Dar

MWANAMUME Omari Disomba, maarufu kwa jina la Kitimutimu (54), ambaye kazi yake ilikuwa ni dereva teksi, amekutwa amekufa chumbani kwake huku maiti yake ikiwa kitandani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga, amesema tukio hilo limetokea jana saa 12 jioni, Ubungo Kibo.

Amesema mwili wa marehemu huyo umekutwa hauna jeraha lolote na chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika.

Kwa mujibu wa Athuman Amri (34), mkazi wa Ukonga Magereza, enzi za uhai wake marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu.

Maiti imehifadhiwa chumba cha maiti Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi zaidi na upelelezi unaendelea.

Wakati huo huo, polisi inawashikiliwa wakazi wanane kwa tuhuma za kukutwa na bangi puli 47, miskoto 60 na pombe haramu ya gongo lita 20.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa jana saa 3 asubuhi, Magomeni Mapipa, Bonde la Madaba.

Amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Scola Mambo (43), Ramadhani Saidi (24), Hawa Adamu (18), JUlieth JOhn (34) na wenzao wanne.
Source: Darleo

Wednesday, August 18, 2010

Best Blogger Tips
Kibao chageukia aliyechukua nafasi ya Bashe Nzega

Via ippmedia

 Wakati msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga, akisema kuwa kwa mujibu wa nyaraka zilizoko, mgombea ubunge jimbo la Nzega aliyeenguliwa, Hussein Bashe, ni raia wa Tanzania, aliyepewa nafasi yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM), naye ameibua mambo mapya juu ya uraia wake.

Taarifa kutoka jimboni humo zilieleza Dk. Hamis Andrew Kigwangala ambaye alipitishwa na chama hicho uraia wake unadaiwa kuwa na utata.

Kuna taarifa kwamba Dk. Kigwangala jana alihojiwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji katika ofisi za Wilaya ya Nzega wakati akirudisha fomu ya kuwania ubunge kwa msimamizi wa uchaguzi.

Dk. Kigwangala aliteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kugombea nafasi hiyo baada ya Bashe aliyekuwa mshindi katika kura za maoni kuenguliwa baada ya kudaiwa kwamba sio raia wa Tanzania.

Habari hizo zilieleza kwamba, Dk. Kigwangala naye uraia wake una utata na kwamba jina alilotumia shuleni (Hamis Andrew) sio la kwake na kuwa mwenyewe yupo wilayani humo, lakini hivi sasa inadaiwa kwamba amefichwa.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba jina lake halisi ni Said Nassor Magaile.

Aidha, inadaiwa kwamba baada ya mgombea huyo kushtukia uraia wake, jana alikimbilia katika Mahakama ya Wilaya kukana jina lake halisi ambalo ni Said Nassor.
Endelea kusoma habari hii.........................

Thursday, August 12, 2010

Best Blogger Tips
Rapper buys $2 million sports car

Birdman Shows Off His $2.1 Million Bugatti

Southern rapper Birdman is showing off the kind of toy a few million dollars can buy: the Bugatti Veyron. The European sports car is not only one of the most expensive things you can buy on four wheels, but it's also the fastest street car on the planet.

Birdman, who goes by his real name, Bryan Williams, when he's doing business as the CEO of Cash Money Records, is making sure everyone knows about his $2.1 million mode of transportation, too. The Dirty South rapper and his crew snapped some shots of the all-red sports car while holding a business card that reads "I am expensive," a statement which would be pretty hard to argue with, given the car's estimated $300,000 annual upkeep costs.


Access the full story..............

Saturday, August 7, 2010

Best Blogger Tips
Dk. Slaa ateka Moshi, Tanga

Leo kunguruma jijini Dar

Via ippmedia

Umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Moshi na wilaya za jirani juzi walijitokeza kwa wingi kumlaki mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willbroad Slaa.

Wananchi hao ambao walijitokeza kwa maandamano ya magari, pikipiki na baiskeli walitembea maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi na baadaye majira ya saa tisa alasiri walikwenda kumlaki Dk. Slaa katika uwanja mdogo wa ndege mjini hapa.

Vifijo na nderemo zilizidi pale Dk. Slaa na msafara wake ulipoingia kwenye eneo la mkutano katika viwanja vya Manyema kata ya Bondeni majira ya saa 11:30, huku wananchi wakionyesha ishara ya Chadema na kila aina ya shauku ya kumuona.
Endelea kusoma habari hii......................

Friday, August 6, 2010

Best Blogger Tips
Michaele Salahi Claims Whoopi Goldberg Hit Her?

Michaele Salahi and the other cast members from The Real Housewives of DC were on The View yesterday to promote their show. Michaele started going off with another of those old crows about how they were catty toward each other. They really got off topic. So much, that Whoopi Goldberg
emerged from the back, touched Michaele lightly and asked her if they could get back to the White House. Apparently that made Michaele a bit livid, because after the show, she claimed that Whoopi had hit her.

Or something like that….

Whoopi got wind of the “hitting” lie and confronted Michaele after the show. She proceeded to drop a rambling slew of F-bombs toward the guest, whose husband tried to film on his BlackBerry. Now, their lawyer is claiming that Whoopi defamed and abused Michaele. Go figure. These famewhores will never learn.



Access the full story..................

Thursday, August 5, 2010

Best Blogger Tips
Man accused of Facebook bigamy denies double life

John France claims that Lynn France ‘knew everything I was doing'

In the second part of a tangled he-said, she-said tale of two weddings and a Facebook page, the man accused of bigamy uncovered on the social network claims it’s largely the product of his estranged wife’s imagination.

Tuesday on TODAY, Lynn France said she learned that John France — with whom she had two sons after a gala 2005 wedding — had taken a second bride only when she saw pictures of that second wedding on the Facebook page of John’s new wife, Amanda. Lynn asserts she is still married to John, and that he has spirited away their two toddler sons.

But on Thursday, John France appeared on TODAY with Amanda and an attorney to tell a decidedly different story. He asserted his marriage to Lynn was never valid in the first place, and that Lynn knew what he was up to every step of the way.

“I was not carrying on a double life, no way,” France told Matt Lauer. “I’m no angel, OK? But Lynn knew everything I was doing.”
Access the full story........................

Tuesday, August 3, 2010

Best Blogger Tips
Kikwete aomboleza kifo cha Jidulamabambasi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba kutokana na kifo cha Amani Jidulamabambasi kilichotokea juzi.

Jidulamabambasi alikuwa miongoni mwa wanachama wa CCM waliokuwa wamejitokeza kuwania kuteuliwa na kugombea Ubunge Maswa Magharibi.

“Ninakutumia salamu za rambirambi wewe Katibu Mkuu wa CCM na wana– CCM kote nchini kwa kumpoteza mmoja wa makada katika chama chetu”, alisema Kikwete.

Aliongeza, “aidha kupitia kwako, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya marehemu Amani kwa kuondokewa na kiongozi muhimu wa familia yao.”

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Kikwete amemwelezea Amani kuwa miongoni mwa makada jasiri wa CCM wasiokata tamaa katika medani za siasa na mpambanaji hodari aliyekuwa na dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa na umma wa Watanzania.
Source: HabariLeo
Best Blogger Tips
9 dead in shooting at Conn. beer distributor


Officials say gunman shot himself as police approached

MANCHESTER, Conn. — An employee who had been asked to resign for stealing went on a shooting rampage Tuesday at a beer distributing company, killing eight people and wounding others before fatally shooting himself, officials said.

The shooting took place at Hartford Distributors Inc., about 10 miles east of Hartford.

The company identified the shooter as Omar Thornton, a 34-year-old warehouse driver.

The driver had worked at the distributor for a couple of years and been called in for a disciplinary hearing, said John Hollis of the Connecticut Teamsters, who was with company officials at the scene of the shooting.

"The union was bringing him in to meet with the company to remedy the problem," Hollis told the Hartford Courant. "He started shooting."

"He wanted to say goodbye and he loved everybody," said Joanne Hannah, whose daughter Kristi had dated Thornton for eight years.
Access the full story.........................

Monday, August 2, 2010

Best Blogger Tips
Alicia Keys afunga ndoa na Swizz Beatz


 Alicia Keys ameolewa na mtayarishaji wa muziki Swizz Beatz, ambaye ana ujauzito wake, katika hafla iliyofanyika kwa faragha mwishoni mwa wiki.

Wapenzi hao walifunga ndoa siku ya Jumamosi katika eneo moja ambalo halikutangazwa hadharani.

Mwakilishi mmoja wa Keys alithibitisha kufanyika kwa sherehe hiyo ya harusi kwa shirika la habari la AP siku ya Jumapili.

Mwanamziki huyo aliyewahi kushindi tuzo za Grammys na Swizz Beatz- ambaye jina lake halisi ni Kasseem Dean- wamekuwa pamoja tangu mwaka 2008.

Keys, mwenye umri wa miaka 29, ameshinda tuzo 12 za Grammys tangu kutoa albamu yake ya kwanza Songs in A Minor mwaka 2001.

Dean, mwenye umri wa miaka 31, ambaye ana watoto wawili kutoka ndoa yake ya mwanzo, ameandika na kutayarisha nyimbo za wasanii zilizovuma sana akiwemo Beyonce na mumewe Jay-Z.

Key aliimba katika sherehe za ufunguzi za Kombe la Dunia mwezi Juni.
Source: BBC

Sunday, August 1, 2010

Best Blogger Tips
 Bushman - Worries and Problems

Best Blogger Tips
Matokeo ya kura za maoni zanzibar, wengi wasema NDIYO kutaka serikali ya mseto


Registered Voters - 407,669
Valid Votes - 266,064
Invalid Votes - 8,309
Total Turn Out - 274,373
Percent Turn Out - 67.00%
Polling Stations Published 1,210 of 1,292
NDIO / YES = 175,476
HAPANA / NO = 90,588
Taarifa nyingine toka mitaani zinasema kuwa majimbo yaliyoshikilia kura ya HAPANA ni Amani, Chaani, Chwaka, Dole, Kwahani, Makunduchi, Muyuni na Uzini.
Best Blogger Tips
Is he the actual father?


Find more videos like this on mytings
Best Blogger Tips
Vituko Vya Uchaguzi - TZ

AONYWA KUJIITA OBAMA
KATIKA jimbo la Bunda, kulikuwa na habari kuwa mgombea Ginche Kisase, ameonywa akitakiwa kuacha kujinadi kwa kutumia jina la Rais Barack Obama wa Marekani, kwa kuwa hawafanani. Onyo hilo lilitolewa na wanachama wa CCM kata za Kunzugu na Mcharo, wakati mgombea huyo akijinadi kuomba kura. Hilo liliibuka baada ya Kisase kusimama kujinadi na kudai anafahamika zaidi kama Obama, jina ambalo alidai amepewa na wananchi. Baada ya kujinadi hivyo, baadhi ya wanachama waliguna, huku wengine wakizomea na kupaza sauti kuashiria kutokubaliana naye. Kwa upande wake, Kisase alisema mtu akitaka kumuita Obama yuko huru na asipotaka anaweza kumuita vingine.

AJINADI KWA KUOGESHA WAZEE
MGOMBEA ubunge, Peter Msuya, aliwavunja mbavu wanachama wa CCM wakati akinadi sera zake, kwa kusema akichaguliwa atajenga kituo cha kuwaosha vikongwe. Msuya anayewania jimbo la Ubungo, alisema kuanzishwa kituo hicho kutaleta ajira kwa vijana, kwani hata Ulaya watu wanafanya kazi hizo na kujipatia fedha na kununua magari ya kifahari na kuahidi kuwa, fedha za mfuko wa jimbo zitatumika kutatua kero jimboni humo. Naye mgombea Alfred Nchimbi, akijinadi alisema anatakiwa kiongozi atakayeleta maendeleo na si kupiga kelele.
Source: Uhuru

Saturday, July 31, 2010

Best Blogger Tips
It’s official: Chelsea and Marc tie the knot

Former President Bill Clinton walks his daughter, Chelsea Clinton, down the aisle at her wedding ceremony on Saturday in Rhinebeck, N.Y.

Chelsea Clinton wed her longtime boyfriend under extraordinary security in an interfaith ceremony at an elegant Hudson River estate late Saturday.

Bill Clinton and Hillary Rodham Clinton announced in a statement that their daughter wed investment banker Marc Mezvinsky after weeks of secrecy and buildup that had celebrity watchers flocking to the small village of Rhinebeck for the evening nuptials. The site of the wedding, a Beaux Arts riverside estate called Astor Courts, was sealed off from the general public.

"Today, we watched with great pride and overwhelming emotion as Chelsea and Marc wed in a beautiful ceremony at Astor Courts, surrounded by family and their close friends," the Clintons said. "We could not have asked for a more perfect day to celebrate the beginning of their life together, and we are so happy to welcome Marc into our family. On behalf of the newlyweds, we want to give special thanks to the people of Rhinebeck for welcoming us and to everyone for their well-wishes on this special day."

Chelsea Clinton, wearing a Vera Wang strapless white gown with a full skirt and silver beading around the waist and carrying a bouquet of white flowers, was escorted down the aisle by her father. The former president and the groom wore dark suits, while the mother of the bride wore a fuchsia dress designed by Oscar de la Renta.
Access the full story..................
Best Blogger Tips
50 Cent on The View

Best Blogger Tips
Uchina "ya pili" yenye uchumi bora duniani



Via BBC

Uchina imesema imeipiku Japan na kuwa nchi ya pili yenye uchumi mkubwa duniani kote.

Hatua nyingine ya kihistoria inashuhudiwa katika juhudi za Uchina za kujiipatia hadhi ya kuwa taifa lenye uchumi mkubwa. Kwa ujumla wengi wanakubaliana kuwa Uchina karibu iweze kuipiku Japan na kuwa taifa la pili lenye uchumi bora duniani mwaka uliopita.

Kwa hivyo wanauchumi wachache wataweza kubisha kuhusiana na madai yaliyotolewa na mratibu wa sarafu za nje wa Uchina, kuwa nchi yake tayari imeshafikia hadhi hiyo ya kuwa taifa la pili lenye uchumi mkubwa ulimwenguni.

Lakini hakuna takwimu mpya zinazounga mkono madai hayo wala kuthibitishwa na bodi za kimataifa kama vile Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani, IMF.
Endelea kusoma habari hii...............

Friday, July 30, 2010

Best Blogger Tips
Mama Sitta: Takukuru wana lao

Via Mwananchi

SIKU moja baada ya Takukuru mkoani Tabora kutangaza kuwa imemnasa Margaret Simwanza Sitta kwa tuhuma za rushwa, waziri huyo wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia na Watoto amejitokeza na kudai kuwa taasisi hiyo inawabambikia wananchi makosa ili ionekane wanafanya kazi.

Alisema kutokana na tukio lililompata juzi, sasa anawasiliana na wanasheria wake kuona achukue hatua gani dhidi ya maafisa wa Takukuru waliodai kumkamata kwa rushwa.

Waziri Sitta alisema kwamba juzi saa 7:30 usiku aliamshwa kwa mlio wa simu ya Catheri Sepetu iliyomwomba afike gesti ya Camise kuona mtoto mgonjwa.

"Niliomba anielekeze gesti hiyo iko wapi ili niende kumwona huyo mgonjwa," alisema Mama Sitta.

Mama Sitta alidai kwamba kutokana kutoyafahamu maeneo hayo alimwomba katibu mwenenzi CCM wa Tabora wafuatane katika maeneo hayo aliyoambiwa na Sepetu.

Alisema alipofika karibu na njia ya kwenda katika gesti hiyo, wakatokea vijana zaidi ya sita na kusimamisha gari alipowahoji nyie ni nani ndipo walipotoa vitambulisho na kujitambulisha kwamba wao ni Takukuru na kumweka chini ya ulinzi.

Alisema walimchukua hadi ofisini kwao na kuanza kumpekua huku wakimwambia alikuwa akigawa rushwa kwa wajumbe.

"Nikahoji huyo ndio mgonjwa mliokuwa mnaniitia? Hawakumjibu badala yake waliendelea kunipekua mkoba wangu na mkoba wa mdogo wangu na kumwamrisha katibu mwenezi, Rashid Ramadhan akubali kwamba alikuwa akigawa fedha," alisema Sitta.

"Katibu huyo alibaki anaduwaa kwani alichokuwa anajua ni kumsindikiza waziri kwa mgonjwa. Alishangaa kulazimishwa aandike maelezo kueleza kina nanni alikuwa anawagawia fedha. Akajibu siwezi kuandika wongo," alisema.
Endelea kusoma habari hii...................

Thursday, July 29, 2010

Best Blogger Tips
CCM kwawaka moto

Via Tanzania Daima

ZOMEAZOMEA kwa wagombea wanaowania nafasi ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye nafasi ya udiwani na ubunge, zimezidi kushamiri, safari hii zikiangukia kwa vigogo wa siasa, John Samwel Malecela na Mbunge wa Manyoni, John Chiligati.

Katika Kijiji cha Igungili, Kata ya Mtera, Malecela, alizomewa na wananchi kwa madai ya kukodi mamluki ili kuvuruga shughuli za kampeni kwa baadhi ya wagombea.

Inadaiwa kuwa kigogo huyo anawatumia mamluki kila kijiji, ambapo Kijiji cha Loje, wagombea wenzake walishtukia njama hiyo na kuhoji uhalali wa watu wale wale kuhudhuria kwenye mikutano tofauti tofauti.

Livingstone Lusinde, ambaye ni miongoni mwa wagombea waliojitokeza kuwania ubunge unaoshikiliwa na Malecela, alitishia kutoendelea na kampeni hizo mpaka mamluki hao waondolewe.

Alisema anashangazwa na hali hiyo, ambayo anaamini kwamba Malecela ni mwanasiasa wa siku nyingi, hivyo hakustahili kufanya kampeni chafu za namna hiyo.

“Hatuwezi kuendelea kujinadi hapa wakati watu hawa (mamluki), tuliwaona katika kijiji kingine ambapo waliuliza maswali hayahaya, iweje waruhusiwe mahali hapa?” alihoji Lusinde.

Akijibu tuhuma hizo, Malecela alidai tuhuma hizo hazina ukweli, kwani hawatambui mamluki hao na ndiyo mara yake ya kwanza kukutana nao.

Wagombea wakimbiwa

Wakazi wa Kijiji cha Matumbulu mkoani, Dodoma walisusia kwenda kwenye mikutano ya wagombea kujinadi, jambo lililowafanya wagombea kuwahutubia wanafunzi wa shule ya msingi.

Inadaiwa kwamba wagombea hao 19, walilazimika kufanya kioja hicho juzi, huku wakijinadi kwa wanafunzi ambao hawaruhusiwi kushiriki katika zoezi la kupiga kura kutokana na umri wao, wakiwataka wawaombee kura kwa wazazi wao.

“Wanafunzi mkaniombee kura kwa mama, mmesikia, mimi naweza kuwa mbunge na kuleta maendeleo ya kijiji na nyinyi wanafunzi pia…,” alisema mmoja wa wagombea hao.
Endelea kusoma habari hii.....................

Tuesday, July 27, 2010

Best Blogger Tips
Owens, Bengals agree to one-year deal

Terrell Owens has found an NFL home.


The Cincinnati Bengals and the controversial wide receiver agreed to a one-year contract Tuesday, according to multiple reports. The deal is worth $4 million ($2 million in base salary, $2 million in incentives), according to Profootballtalk.com.

Fellow Bengals wide receiver Chad Ochocinco confirmed the news on his Twitter account with: "My homeboy is a Bengal all our games have been moved to pay-per-view."

The Bengals report for training camp Wednesday in Georgetown, Ky. Owens is expected to arrive for the first day of workouts Thursday.

The 36-year-old Owens is playing for his sixth NFL team. He played for the 49ers from 1996-2003, the Eagles from 2004-2005, the Cowboys from 2006-2008 and the Bills in 2009.

The Bengals signed free-agent WR Antonio Bryant to a four-year, $29 million deal back in March and were seemingly looking good at the receiver position. Bryant was signed to start opposite Ochocinco, but Bryant dealt with knee problems most of last season.
Access the full story.......................

Monday, July 26, 2010

Best Blogger Tips
Hail To The Fugee? Wyclef To Run For President Of Haiti?


Singer Wyclef Jean is considering a run for president of Haiti but has not decided whether to seek a five-year term as leader of the quake-ravaged nation, the musician’s family said Monday.

There have been rumors for some time the Haitian-born entertainer might enter the 2010 presidential contest, ever since his 2007 appointment as ambassador-at-large for the Caribbean nation by President Rene Preval, who cannot seek re-election.

In a statement e-mailed to reporters, the family said, “Wyclef’s commitment to his homeland and its youth is boundless, and he will remain its greatest supporter regardless of whether he is part of the government moving forward … If and when a decision is made, media will be alerted immediately.”

The letter was signed “The Jean Family.” A spokeswoman for the musician confirmed the message’s authenticity.

Jean, 37, was born on the outskirts of Port-au-Prince but left the hemisphere’s poorest country as a child and grew up in New York City’s borough of Brooklyn.

He told The Associated Press in a recent interview he intended to be involved in the Nov. 28 election, but not necessarily as a candidate.
Access the full story...................
Best Blogger Tips
Kocha mpya Stars aja Ijumaa

Via ippmedia

Kocha mpya wa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, Jan Poulsen, anatarajiwa kuwasili nchini Ijumaa kwa ajili ya kuanza kibarua hicho kipya.

Poulsen ambaye ni raia wa Denmark, aliteuliwa kuwa kocha mpya baada ya Mbrazil, Marcio Maximo, kumaliza mkataba wake wa kuifundisha Stars uliodumu kwa miaka minne.

Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki, Rais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga, alisema kuwa mara baada ya kufika nchini, kocha huyo ataanza majukumu yake rasmi Agosti Mosi.

Tenga alisema kuwa anaamini kuwa wadau wa soka watampa ushirikiano kocha huyo mpya ili afikie malengo na Tanzania ifuzu kwa mashindano makubwa yajayo.

"Atakuja kati ya Ijumaa na Jumamosi, ila tulimweleza kwamba anatakiwa kuanza kazi Agosti Mosi, kikubwa ni kupewa ushirikiano kwa sababu yeye ni mgeni na mazingira ya hapa," alisema Tenga.

Kocha huyo ambaye alipita katika mchujo uliowashirikisha makocha 59 kutoka nchi mbalimbali, mtihani wake wa kwanza ni kampeni ya kuipeleka Tanzania katika fainali zijazo za Kombe la Mataifa ya Afrika, ambapo Stars imepangwa kundi moja na nchi za Morocco, Afrika ya Kati na Algeria ambaye ilicheza fainali za Kombe la Dunia zilizomalizika nchini Afrika Kusini.
Endelea kusoma habari hii......................
Best Blogger Tips
Rubani mmoja atekwa nyara na waasi

Via BBC

Rubani mmoja raia wa India, ametekwa nyara na waasi, Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Kwa mujibu wa jeshi la nchi hiyo, waasi hao walishambulia uwanja mmoja mdogo wa ndege katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

Generali Baigwa Dieudonne Amuli, ameiambia shirika la habari la Reuters, kuwa waasi wa Kihutu waliishambulia ndege moja kwa ushirikiano na waasi wengine katika eneo hilo na kumteka nyara rubani huyo, kabla ya kutoweka na kiasi cha pesa kisichojulikana.

Amulli amesema kikosi chake kwa sasa kinaendeleza msako dhidi ya waasi hao.

Waandishi wa habari wanasema uwanja huo wa ndege ulioko katika eneo la walikale hutumiwa kusafirisha madini ya chuma, kutoka mgodi ulioko katika eneo hilo.

Sunday, July 25, 2010

Best Blogger Tips
General Defao - Animation

Enjoy!

Best Blogger Tips
More big shots in court


Via ippmedia

More big shots will be taken to court on Monday in connection with the online frauds that saw Tanzania Revenue Authority losing an estimated Sh115 billion ($77million), The Guardian on Sunday has reliably learnt.

The big shots will join other six suspects who were taken to court on Thursday and Friday, this week in connection with theft of the taxman’s billions.

According to a reliable source within the Prevention and Combating of Corruption Bureau(PCCB), the four more suspects are accused of conspiring to steal billions of shillings through forged documents, money laundering and frauds.

However our source declined to name the suspects who will be taken to court tomorrow, saying that would jeopardise the planned procesutions.

Contacted for comment on Friday, the PCCB Chief, Dr Edward Hosea, said, “It’s true…more big shots will be charged on Monday after we have fully completed our indepth investigation.”

“We have established massive frauds involving local banks, public owned corporations and private companies…But I think it was high time the local bank changed its recruitment system because the current one is full of fraudsters.” The PCCB Chief told The Guardian on Sunday.

The big shots are part of the syndicate that planned and executed a massive financial fraud that saw the Tanzania Revenue Authority lose an estimated $77million between June 2008 and May 2009.

Five local companies operating in Dar es Salaam received the big chunk of stolen billions, acting in the same capacity in which the 13 companies that looted taxpayers’ billions in the External Payment Arrears account (EPA) scandal benefited.
Access the full story.....................

Friday, July 23, 2010

Best Blogger Tips
Mwanamke ajifungua mayai badala ya mtoto

Via Mwananchi 

KATIKA hali isiiyokuwa ya kawaida, Mkazi wa kijiji cha Mwisole wilayani Uyui Mkoa wa Tabora, Kabula Kayungilo (20) amejifungua mayai mawili kama kuku badala ya mtoto.

Tukio hilo ambalo liliwaduwaza wakazi wengi wa Mji wa Tabora huku wengine wakitaka mayai hayo yafanyiwe uchunguzi wa kitalaamu ili kubaini kulikoni, lilitokea jana katika Hospitali ya Misheni ya Ndalla wilayani Nzega.

Mganga mkuu wa hospitali hiyo inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Dk Reuben Nyaruga, alisema tukio hilo lilitokea jana asubuhi wakati mama huyo alipofika kwa ajili ya huduma ya kujifungua mtoto.

Dk Nyaruga alimtaja mkazi huyo kuwa ni Kabula kayungilo (20) ambaye ni mkazi wa kijiji cha Mwisole wilayani Uyui.

Alieleza kuwa msichana huyo alipokewa hospitalini hapo jana asubuhi akidai ni mjamzito anayejisikia uchungu wa kujifungua.
Endelea kusoma habari hii.................

Thursday, July 22, 2010

Best Blogger Tips
Obama apologizes to Sherrod


President Barack Obama called Shirley Sherrod Thursday to apologize for her dismissal and urge her to accept a promotion, but the Agriculture Department official, who was forced out on unfounded charges of racism, kept mum on her future plans.

Obama had tried to call her twice on Wednesday night but couldn’t connect with Sherrod, according to an administration official. West Wing staffers were attempting to call her again when she returned the president’s calls at about 12:35 p.m.

White House spokesman Robert Gibbs said Sherrod and Obama talked for about seven minutes, and “the president expressed his apology about the events of the past several days.” Obama also told the 62-year-old grandmother that Agriculture Secretary Tom Vilsack “had been extremely sincere” when he publicly apologized to Sherrod and offered to rehire her.

Vilsack forced Sherrod to resign on the basis of a heavily edited Web video posted on a conservative website that purportedly showed Sherrod confessing to reverse discrimination. After Vilsack’s apology Wednesday, Sherrod took to the airwaves to say she’d appreciate a call from the president.
Access the full story.......................

Wednesday, July 21, 2010

Best Blogger Tips
Michael Jordan, Charles Barkley bash LeBron James for teaming with Wade and Bosh with Miami Heat


Michael Jordan wasn't just a six-time champion who ended up on the NBA's Mount Rushmore. He left a legacy of being one of the greatest competitors in professional sports history.

Jordan wanted to beat the competition every time, whether it was Magic Johnson, Larry Bird, Isiah Thomas, Patrick Ewing or whomever he faced on a basketball court. So it's no surprise that the Chicago Bulls' immortal didn't exactly endorse LeBron James' stunning decision to leave Cleveland to go to Miami to play with Dwyane Wade and Chris Bosh.

"There's no way, with hindsight, I would've ever called up Larry, called up Magic and said, 'Hey, look, let's get together and play on one team,'" Jordan said after playing in a celebrity golf tournament in Nevada over the weekend. "But that's ... things are different. I can't say that's a bad thing. It's an opportunity these kids have today. In all honesty, I was trying to beat those guys."

Once Jordan and the Bulls finally solved his chief nemesis, and their archrivals, Thomas' Pistons, in 1991, Jordan did beat all comers in the '90s, with the Bulls winning six titles over eight seasons.
Access the full story.................
Best Blogger Tips
Vilsack, White House apologize to former USDA official




Agriculture Secretary Tom Vilsack said Wednesday he apologized to Shirley Sherrod for forcing her to resign from her government job in Georgia based on incomplete and misleading reports of a speech she gave.

Vilsack told reporters that he alone made the decision regarding Sherrod, with no White House involvement.

He spoke to Sherrod earlier Wednesday and said he asked for her forgiveness, which she gave. Vilsack also said he offered Sherrod another job in the department, and she was taking a few days to think about it.

"She's a good woman -- she's been put through hell," Vilsack said of Sherrod. He admitted acting too hastily in the case, acknowledging that he was focused on reversing a history of racial discrimination at the agriculture department.

In an interview with CNN later Wednesday, Sherrod said she told Vilsack she accepted his apology and that "we could move on." She also acknowledged being "really hurt" earlier this week by accusations of racism due to the portions of her speech made public.

Sherrod, who is African-American, was forced out after conservative website blogger Andrew Breitbart posted a portion of a speech she gave in which she spoke of not offering her full help to a white farmer. The original post by Breitbart indicated the incident Sherrod mentioned occurred when she worked for the agriculture department, and news outlets quickly picked up on the story.
Access the full story....................

Tuesday, July 20, 2010

Best Blogger Tips
Dk Slaa atajwa Urais Chadema

KAMATI kuu ya Chadema jana ilikutana jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mkakati wa kumpata mgombea urais wa chama hicho baada ya mwenyekiti wake, Freeman Mbowe kuamua kugombea ubunge.
 
Habari kutoka kwa viongozi wa chama hicho zinasema kuwa mbunge wa Karatu, Dk Wilbroad Slaa ndiye anayeangaliwa zaidi kushauriwa kujitosa kwenye nafasi hiyo baada ya mjumbe wa kamati kuu, Profesa Mwesiga Baregu kugoma kugombea urais.
 
Tayari Dk Slaa ameshachukua fomu za kutetea kiti chake cha ubunge cha Karatu, lakini habari zinasema kuwa Chadema inamtaka katibu huyo mkuu kugombea urais baada ya kulichangamsha Bunge kwa hoja nzito katika vipindi vyake alivyolitumikia jimbo hilo.
 
Chadema, ambacho kimeongezeka nguvu katika kipindi cha miaka mitano baada ya kuingiza wanachama machachari ndani ya Bunge, imekuwa ikisaka mgombea urais ambaye ataweza kuendeleza umaarufu wa chama hicho na vyombo vya habari vimekihusisha chama hicho na mipango ya kumshawishi waziri mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye na Spika wa Bunge, Samuel Sitta kuingia kwenye mbio za urais kwa tiketi ya chama hicho.
Hata hivyo, taarifa za vyombo vya habari zimeeleza kuwa vigogo hao wawili wa CCM wamekataa kukiasi chama chao.
 

Saturday, July 17, 2010

Best Blogger Tips
Mel Gibson's Family Stands by Him During Oksana Drama


Even as Mel Gibson is embroiled in a nasty legal battle with his former girlfriend Oksana Grigorieva and faces fall-out from a series of rage-filled leaked audiotapes, the embattled actor can count on at least one thing: his family.

"He has a good support system in his friends and family," a pal tells PEOPLE, adding that his kids are "absolutely" standing by their father.

Gibson regularly speaks to his soon-to-be-ex wife, Robyn, with whom he has seven children from their nearly 30-year marriage. "They are continuing to raise their kids together," a source says of the former couple, who split in April 2009.

It was Robyn who came to Gibson's defense, filing an affidavit last Thursday swearing he was never abusive during his ongoing custody battle with Grigorieva, who is accusing the actor of hitting her.

According to the source, "Mel didn't ask Robyn for the affidavit,
 where she says that he never engaged in any physical abuse towards her. 
Robyn just felt that enough is enough and stepped in to show that she
 still values her marriage to Mel and that she is sick of the media 
portraying Mel as a heartless and abusive monster."

"Robyn feels that Mel
 was and is an amazing dad," the source says, "and she is still very protective of him."

A Gibson family source says the actor's family has long seen Oksana as calculating. “She pushed him over the edge," the source says. "While they do think he needs help for his anger issues, Mel's family is supportive of him."
Source: people.com

Friday, July 16, 2010

Best Blogger Tips
Uendawazimu wa kisiasa

Hebu fikiria: Mwenyekiti wa TLP (Mrema) anasema Kikwete na CCM yake ni kiboko na hawakamatiki; tena anasema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM ambako anafikia hata hatua ya kucheza jukwaani anaposhangiliwa na wajumbe, halafu baada ya hapo anarudi Dar na kuongoza kikao cha TLP cha kuchagua mgombea urais wa kuchuana na Kikwete! Kama huu si uendawazimu wa kisiasa ni nini? - Johnson Mbwambo (Raia Mwema)
Best Blogger Tips
Thierry Henry astaafu soka ya kimataifa


Mchezaji mashuhuri wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Barcelona Thierry Henry ametangaza kustaafu soka ya kimataifa na timu ya Taifa.

Henry mwenye umri wa miaka 32 ametangaza uamuzi huo wakati wa mahojiano na shirika la habari AP kabla ya kufikia uamuzi wa kujiunga na klabu ya mpira wa miguu ya New York Red Bulls.

Amesema kuwa anajiunga na klabu ya Red Bulls nchini Marekani, siyo kwa kutaka kumuiga David Beckham kwa kusafiri mara kwa mara baina ya Ulaya na Marekani.

Amesema huu ndiyo mwisho kwake kushiriki timu ya Taifa.

Tangu ajiunge na timu ya Taifa, Henry amefunga magoli 51 mara 123 alizoshiriki michuano ya kimataifa kwa niaba ya Ufaransa kuanzia mwaka 1997.

Alitia fora wakati akichezea klabu ya Arsenal ambako alikuwa nahodha na anatazamiwa kushiriki pambano la Red Bulls dhidi ya mahasimu wakuu wa klabu yake ya zamani, Tottenham hotspurs hapo tarehe 22 Julai.

Alipohama kutoka Arsenal mnamo mwaka 2007, Henry alijiunga na Barcelona ya Uhispania na alikuwa na mwaka mmoja uliosalia kwenye mkataba wake aliporuhusiwa na Barcelona kuweza kuihama.
Source: BBC
Best Blogger Tips
Mbunge wa CUF ajiunga CCM

MBUNGE wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama cha Wananchi(CUF), Mercy Mussa Emmanuel ambaye pia alikuwa Katibu wa Wilaya ya Maswa kwa chama hicho, jana alikihama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, ndiye aliyempokea Mercy na kumkabidhi kadi mpya ya uanachama wa CCM mjini hapa, muda mfupi kabla ya Rais Kikwete hajaagana rasmi na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Uamuzi wa Mercy ambao bila shaka ni pigo kwa CUF, aliuchukua jana asubuhi saa 4:30 na alimkabidhi Rais Kikwete kadi ya CUF na Rais alimpa kadi mpya ya uanachama wa CCM.

Akizungumza na HABARILEO kwa hisia kali, mbunge huyo alisema kwamba, katika maisha yake hapendi unafiki, hivyo amefanya uamuzi kulingana na dhamira yake ilivyomtuma.

Alisisitiza kwamba, hakushawishiwa na yeyote, bali amevutwa na utendaji mzuri wa CCM inayotekeleza kwa vitendo Ilani zake, chini ya ujemedari wa Rais Kikwete.

Akifafanua, alisema alitamani kufanya hivyo siku nyingi, lakini alishindwa kutokana na kuwa kiongozi katika chama, hivyo alikata shauri na kuvuta subira hadi amalize miaka mitano ya ubunge.

“Nilipata wazo la kuihama CUF nikiwa bungeni, kikubwa kilichonisukuma ni woga wa unafiki. Unakuta kuna mambo ya msingi kabisa yanayostahili kuungwa mkono, lakini kwa kigezo cha upinzani, mengi hupingwa.

“Kwa kweli sikuifurahia hali hii kwa sababu kama mbunge, niliona kuna mengi mazuri yanayofanywa na CCM. Nilivumilia nikidhani kunaweza kuwa na mabadiliko, lakini mambo yakawa yale yale …,” alisema na kuongeza kwamba, hana ugomvi na CUF, chama alichokitumikia kwa moyo mmoja na hata kukiimarisha wilayani Maswa alikokuwa Katibu wake.

Aidha, alichukua fursa hiyo kuishukuru CUF kwa kumpa ushirikiano na heshima ya kuwa mmoja wa wabunge wake katika kipindi chote alichokuwa na chama hicho.

“Nawashukuru sana, tulipendana, kuheshimiana na kushirikiana, ila wakati umefika nimeamua kuondoka kwa hiari yangu. Naitakia CUF kila la heri,” alisema mbunge huyo ambaye hakuweka wazi kama atajitosa kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao, akidai anahitaji muda wa kutafakari.
Source: HabariLeo

Thursday, July 15, 2010

Best Blogger Tips
Levi Johnston’s Sister: Mom ‘Very Upset’ Over Engagement To Bristol Palin


LOS ANGELES, Calif. -- Sherry Johnston shed tears when she learned that her son, Levi Johnston, was getting engaged to on-off girlfriend Bristol Palin.

However, they weren’t tears of joy.

In a blog entry titled “Who needs coffee when you wake up to find news this shocking,” Levi’s younger sister, Mercede, described her family’s outrage at having to find out about Levi’s upcoming nuptials from a magazine.

Mercede, 18, recounted how she woke up on Wednesday to find her mother, Sherry, with her laptop and a “beautiful picture of Levi, Brisol, and Tripp on the cover of US Weekly.” The magazine had reported the news of the couple’s engagement that same day.

“I looked up to see that my mom was upset, with tears running down her face, yet still trying to console my other family members who were texting her and sending messages via Facebook saying they were very upset that they had to find out about this engagement from the media and not from Levi himself. I sent a message telling them not to feel too badly since even his own mother and sister had to find out that way,” Mercede wrote.

Despite her family’s shock and dismay, Mercede took some time to reflect upon the situation and offer her brother some advice.

“I sure hope this is a sincere decision that you have thought through carefully Levi, and that it will bring you happiness,” she wrote.

Mercede also questioned the couple’s motives for getting married.
Access the full story..........................

Wednesday, July 14, 2010

Best Blogger Tips
Al Shabaab kamwe hawana utu - Obama


Rais Barack Obama amesema kuwa kundi la wapiganaji wa Al Shabaab linalojigamba kuhusika na mashambulio yaa mabomu nchini Uganda halithamini maisha ya waafrika wenzao.

Obama alisema kuwa inahuzunisha kuwa shambulio hilo lilitokea wakati watu wanasherehekea tukio muhimu kama Kombe la Dunia lililofanyika Afrika Kusini.

Awali balozi wa Marekani nchini Uganda, alisema kuwa kuna haja ya kuongeza usaidizi wa kijeshi wa Marekani nchini Uganda kufuatia shambulio la kigaidi lililofanyika nchini humo.

Balozi Jerry Lanier amesema kuwa shambulio hilo ni ishara kuwa kundi la wapiganaji wa Al Shabaab linalenga hata raia nje ya Somalia.
Source: BBC

Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits