Dallas - Texas
Monday, May 31, 2010
Tuesday, May 25, 2010

President Obama projecting a Lakers win in Finals
President Barack Obama is projecting a Los Angeles Lakers win in the NBA finals.
Obama told TNT in an interview that he's been surprised by Boston, but believes Kobe Bryant, Pau Gasol and coach Phil Jackson would be too much for the Celtics.
"I've got to go with the Lakers again," Obama said. "I think Gasol may be the best big man in the league right now. He's different from Dwight Howard, but he's (got) unbelievable footwork, speed, savvy, he's playing magnificently.
"Kobe is the fiercest competitor in the league and they've got what I continue to believe is the best coach in the NBA right now in Phil Jackson, so they're going to be formidable and I think it'll be a tough series. Boston's a veteran club, but the Lakers are looking pretty good."
Access the full story................
President Barack Obama is projecting a Los Angeles Lakers win in the NBA finals.
Obama told TNT in an interview that he's been surprised by Boston, but believes Kobe Bryant, Pau Gasol and coach Phil Jackson would be too much for the Celtics.
"I've got to go with the Lakers again," Obama said. "I think Gasol may be the best big man in the league right now. He's different from Dwight Howard, but he's (got) unbelievable footwork, speed, savvy, he's playing magnificently.
"Kobe is the fiercest competitor in the league and they've got what I continue to believe is the best coach in the NBA right now in Phil Jackson, so they're going to be formidable and I think it'll be a tough series. Boston's a veteran club, but the Lakers are looking pretty good."
Access the full story................

Nicole Scherzinger Wins 'Dancing With The Stars'
In the end, it was billed as a battle beteween "the supreme performer versus the supreme athlete."
Pussycat Doll Nicole Scherzinger (the performer) was pitted against Olympic figure skater Evan Lysacek (the athelete) in the tenth season finale of "Dancing With the Stars" Tuesday night. ESPN sportscaster Erin Andrews had been eliminated halfway through the two-hour finale.
And it would be the Doll who would bring home the ball. The coveted mirror ball trophy was, finally, awarded to Scherzinger and her pro partner Derek Hough, the season ten DWTS champs.
"It's been such a blast. We were totally satisfied with everything we gave," said a gracious Lysacek. "They deserve it."
The grand finale also brought former contestants Pam Anderson, Niecy Nash, Jake Pavelka, Buzz Aldrin and Kate Gosselin back onto the floor for command performances (none of which did much to convince anyone that their being voted off had been a mistake).
Source: abc news
In the end, it was billed as a battle beteween "the supreme performer versus the supreme athlete."
Pussycat Doll Nicole Scherzinger (the performer) was pitted against Olympic figure skater Evan Lysacek (the athelete) in the tenth season finale of "Dancing With the Stars" Tuesday night. ESPN sportscaster Erin Andrews had been eliminated halfway through the two-hour finale.
And it would be the Doll who would bring home the ball. The coveted mirror ball trophy was, finally, awarded to Scherzinger and her pro partner Derek Hough, the season ten DWTS champs.
"It's been such a blast. We were totally satisfied with everything we gave," said a gracious Lysacek. "They deserve it."
The grand finale also brought former contestants Pam Anderson, Niecy Nash, Jake Pavelka, Buzz Aldrin and Kate Gosselin back onto the floor for command performances (none of which did much to convince anyone that their being voted off had been a mistake).
Source: abc news

Ajali ya Kikwete yaivuruga Ikulu
Via Tanzania Daima
TAASISI za usalama zimeanza kufanya uchunguzi kubaini kiini hasa kilichosababisha magari mawili aliyoyapanda Rais Jakaya Kikwete kukumbwa na hitilafu kwa nyakati tofauti, wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja, jijini Dar es Salaam juzi.
Kikubwa kinachoonekana kuvishtua vyombo vya habari ni kuchomoka kwa gurudumu la nyuma la gari mojawapo, muda mfupi tu baada ya rais kuteremka kwa dharura na kupanda gari jingine.
Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya serikali, vimelieleza Tanzania Daima Jumatano kuwa kinachochunguzwa ni kubaini iwapo hitilafu hizo zilitokea kwa uzembe, hitilafu za kawaida au hujuma.
Katika siku za hivi karibuni, Rais Kikwete amekuwa akijikuta katika taarifa zisizo sahihi kwa kupotoshwa na wasaidizi wake, hali ambayo baadhi ya wadadisi wa mambo ya kisiasa, wakiamini kama ni hujuma dhidi ya kiongozi huyo.
Vyanzo vyetu vya habari kutoka duru za usalama, ziliiambia Tanzania Daima Jumatano jana kuwa idara ya usalama imekuwa ikifanya vikao nyeti juu ya tukio hilo ambalo limechukuliwa kwa uzito mkubwa na serikali.
Wakati idara ya usalama ikihaha kupata chanzo cha tukio hilo, Ikulu kwa upande wake nayo ilikuwa ikihaha kubaini chanzo cha tukio hilo na ikiwezekana kuchukua hatua.
Msemaji Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdallah Msika, alipoulizwa na Tanzania Daima Jumatano kuhusiana na tukio hilo, kwanza alisita kusema kwa madai kuwa liko ngazi ya juu zaidi na kumtaka mwandishi wa habari hizi aonane naye saa saba mchana.
Hata ilipofika muda huo, Msika alisema polisi imelichukulia tukio hilo kama ajali ya kawaida na halina mpango wa kuunda kamati kulichunguza.
Huku akiwa makini kuchagua maneno ya kuzungumza, Msika alisema tatizo hilo ni la kawaida kwani uchunguzi umebaini kuwa lilitokana na hitifalu za kiufundi na si vinginevyo.
Endelea kusoma habari hii..............
Via Tanzania Daima
TAASISI za usalama zimeanza kufanya uchunguzi kubaini kiini hasa kilichosababisha magari mawili aliyoyapanda Rais Jakaya Kikwete kukumbwa na hitilafu kwa nyakati tofauti, wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja, jijini Dar es Salaam juzi.
Kikubwa kinachoonekana kuvishtua vyombo vya habari ni kuchomoka kwa gurudumu la nyuma la gari mojawapo, muda mfupi tu baada ya rais kuteremka kwa dharura na kupanda gari jingine.
Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya serikali, vimelieleza Tanzania Daima Jumatano kuwa kinachochunguzwa ni kubaini iwapo hitilafu hizo zilitokea kwa uzembe, hitilafu za kawaida au hujuma.
Katika siku za hivi karibuni, Rais Kikwete amekuwa akijikuta katika taarifa zisizo sahihi kwa kupotoshwa na wasaidizi wake, hali ambayo baadhi ya wadadisi wa mambo ya kisiasa, wakiamini kama ni hujuma dhidi ya kiongozi huyo.
Vyanzo vyetu vya habari kutoka duru za usalama, ziliiambia Tanzania Daima Jumatano jana kuwa idara ya usalama imekuwa ikifanya vikao nyeti juu ya tukio hilo ambalo limechukuliwa kwa uzito mkubwa na serikali.
Wakati idara ya usalama ikihaha kupata chanzo cha tukio hilo, Ikulu kwa upande wake nayo ilikuwa ikihaha kubaini chanzo cha tukio hilo na ikiwezekana kuchukua hatua.
Msemaji Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdallah Msika, alipoulizwa na Tanzania Daima Jumatano kuhusiana na tukio hilo, kwanza alisita kusema kwa madai kuwa liko ngazi ya juu zaidi na kumtaka mwandishi wa habari hizi aonane naye saa saba mchana.
Hata ilipofika muda huo, Msika alisema polisi imelichukulia tukio hilo kama ajali ya kawaida na halina mpango wa kuunda kamati kulichunguza.
Huku akiwa makini kuchagua maneno ya kuzungumza, Msika alisema tatizo hilo ni la kawaida kwani uchunguzi umebaini kuwa lilitokana na hitifalu za kiufundi na si vinginevyo.
Endelea kusoma habari hii..............
Monday, May 24, 2010

Mnigeria Dangote akanusha hisa Arsenal
Mfanyabiashara raia wa Nigeria Aliko Dangote amekanusha kwamba ana mipango ya kununua asilimia 15 ya hisa za klabu ya Ligi Kuu ya England ya Arsenal.
Awali kulikuwa na uvumi anakusudia kujiingiza katika mchakato wa hisa za Lady Nina Bracewell-Smith zenye thamani ya paundi milioni 100.
Katika taarifa yake, Dangote amethibitisha, "alihusishwa katika mazungumzo juu ya kuwekeza siku zilizopita".
Lakini akaongeza: "Kimsingi ninachoweza kusema kwa wakati huu sina nia ya kuwekeza katika klabu hiyo na sitaomba hisa."
Dangote, ambaye ni Rais na mtendaji mkuu wa kampuni ya Dangote Group, anaheshimika kuwa Mwafrika tajiri zaidi, huku gazeti la Forbes nchini Marekani likikadiria miaka miwili iliyopita alikuwa na utajiri wa dola bilioni 3.3 sawa na paundi bilioni 2.3.
Utajiri wake unatokana na himaya kubwa ya biashara aliyojijengea tangu mwaka 1977 na sasa anamiliki kampuni kubwa ya sukari nchini Nigeria, kiwanda cha saruji na cha nguo.
Hivi karibuni aliliambia gazeti moja la Nigeria amekuwa mpenzi wa Arsenal kwa muda mrefu na akaongeza: "Ilikuwa mwaka 1980 wakati nilipofanya urafiki na Bw David Dein, makamu mwenyekiti wa zamani wa bodi ya Arsenal."
Endelea kusoma habari hii..............
Mfanyabiashara raia wa Nigeria Aliko Dangote amekanusha kwamba ana mipango ya kununua asilimia 15 ya hisa za klabu ya Ligi Kuu ya England ya Arsenal.
Awali kulikuwa na uvumi anakusudia kujiingiza katika mchakato wa hisa za Lady Nina Bracewell-Smith zenye thamani ya paundi milioni 100.
Katika taarifa yake, Dangote amethibitisha, "alihusishwa katika mazungumzo juu ya kuwekeza siku zilizopita".
Lakini akaongeza: "Kimsingi ninachoweza kusema kwa wakati huu sina nia ya kuwekeza katika klabu hiyo na sitaomba hisa."
Dangote, ambaye ni Rais na mtendaji mkuu wa kampuni ya Dangote Group, anaheshimika kuwa Mwafrika tajiri zaidi, huku gazeti la Forbes nchini Marekani likikadiria miaka miwili iliyopita alikuwa na utajiri wa dola bilioni 3.3 sawa na paundi bilioni 2.3.
Utajiri wake unatokana na himaya kubwa ya biashara aliyojijengea tangu mwaka 1977 na sasa anamiliki kampuni kubwa ya sukari nchini Nigeria, kiwanda cha saruji na cha nguo.
Hivi karibuni aliliambia gazeti moja la Nigeria amekuwa mpenzi wa Arsenal kwa muda mrefu na akaongeza: "Ilikuwa mwaka 1980 wakati nilipofanya urafiki na Bw David Dein, makamu mwenyekiti wa zamani wa bodi ya Arsenal."
Endelea kusoma habari hii..............

Mwinyi: Sikuishutumu awamu ya nne
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, mzee Ali Hassani Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa amesema kuwa hakuikandia serikali ya awamu ya nne wala kuihusisha na kukithiri kwa rushwa kwa kuwa rushwa ilianza tangu zamani.
Mzee Ruksa alisema hayo Ijumaa iliyopita alipozungungumza na wahariri wa gazeti hili nyumbani kwake, jijini Dar es Salaam kufafanua alichozungumza katika mahafali ya 12 ya Chuo cha Teknologia ya Habari (IIT) alikoalikwa kama mgeni rasmi.
Mzee Mwinyi alisisitiza kwamba; alipotangaza zama za ruksa, takribani miongo miwili iliyopita hakuruhusu rushwa iwemo katika zama hizo, lakini wajanja wachache wasiokuwa na mapenzi mema na taifa waliingiza tafsiri zao na kutumia vibaya nafasi hiyo.
"Wakati ule (alipotangaza) ruksa kwa uhakika kabisa suala rushwa halikuwa miongoni mwa mambo yaliyoingia katika azma hiyo. Wabinafsi wachache wasiokuwa na mapenzi mema na nchi hii waliitumia ruksa hiyo vibaya. Ni lazima wakomeshwe, tuseme inatosha na lazima tushinde vita hivi," alisema Mzee Ruksa.
Aliwataka Watanzania wazalendo walioshikilia nafasi zozote na popote walipo kujiunga katika mapambano dhidi ya rushwa, kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, wafikirie juu ya Watanzania wenzao walioathiriwa na umasikini na kuwasaidia kuondokana na madhila hayo.
"Kuweni wazalendo kwa mustakabali wa vizazi vijavyo. Kuweni jasiri, pigeni kelele mkiweza. Neno litakaloongoza maisha yenu liwe uadilifu," alisema Mzee Mwinyi.
Aliwataka Watanzania kuwa raia wema na wawajibikaji wanaoipenda nchi yao na walio tayari kwa njia yoyote kuijenga nchi bila kuingiza ubinafsi.
"Nina uhakika juu ya mapambano yanayoendelea dhidi ya rushwa nchini Tanzania. Kwa muda sasa wananchi wetu wamekuwa wakilalamika maafisa wa serikali kuwaomba rushwa ili maafisa hao watekeleze wajibu wao. Inaonekana utamaduni wa rushwa unaota miziz taratibu katika jamii yetu," alisema.
Endelea kusoma habari hii..............
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, mzee Ali Hassani Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa amesema kuwa hakuikandia serikali ya awamu ya nne wala kuihusisha na kukithiri kwa rushwa kwa kuwa rushwa ilianza tangu zamani.
Mzee Ruksa alisema hayo Ijumaa iliyopita alipozungungumza na wahariri wa gazeti hili nyumbani kwake, jijini Dar es Salaam kufafanua alichozungumza katika mahafali ya 12 ya Chuo cha Teknologia ya Habari (IIT) alikoalikwa kama mgeni rasmi.
Mzee Mwinyi alisisitiza kwamba; alipotangaza zama za ruksa, takribani miongo miwili iliyopita hakuruhusu rushwa iwemo katika zama hizo, lakini wajanja wachache wasiokuwa na mapenzi mema na taifa waliingiza tafsiri zao na kutumia vibaya nafasi hiyo.
"Wakati ule (alipotangaza) ruksa kwa uhakika kabisa suala rushwa halikuwa miongoni mwa mambo yaliyoingia katika azma hiyo. Wabinafsi wachache wasiokuwa na mapenzi mema na nchi hii waliitumia ruksa hiyo vibaya. Ni lazima wakomeshwe, tuseme inatosha na lazima tushinde vita hivi," alisema Mzee Ruksa.
Aliwataka Watanzania wazalendo walioshikilia nafasi zozote na popote walipo kujiunga katika mapambano dhidi ya rushwa, kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, wafikirie juu ya Watanzania wenzao walioathiriwa na umasikini na kuwasaidia kuondokana na madhila hayo.
"Kuweni wazalendo kwa mustakabali wa vizazi vijavyo. Kuweni jasiri, pigeni kelele mkiweza. Neno litakaloongoza maisha yenu liwe uadilifu," alisema Mzee Mwinyi.
Aliwataka Watanzania kuwa raia wema na wawajibikaji wanaoipenda nchi yao na walio tayari kwa njia yoyote kuijenga nchi bila kuingiza ubinafsi.
"Nina uhakika juu ya mapambano yanayoendelea dhidi ya rushwa nchini Tanzania. Kwa muda sasa wananchi wetu wamekuwa wakilalamika maafisa wa serikali kuwaomba rushwa ili maafisa hao watekeleze wajibu wao. Inaonekana utamaduni wa rushwa unaota miziz taratibu katika jamii yetu," alisema.
Endelea kusoma habari hii..............
Sunday, May 23, 2010

Ethiopia yapiga kura
Raia wa Ethiopia wanapiga kura kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa mwaka 2005 uliogubikwa na maandamano yaliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 200.
Misururu mirefu ya wapiga kura ilionekana kwenye vituo vya kupigia kura katika mji mkuu, Addis Ababa, kabla ya vituo kufunguliwa.
Waziri mkuu Meles Zenawi, washirika wa karibu wa nchi za magharibi ambao hupambana dhidi ya wapiganaji wa Somalia, wanapigania kuchaguliwa tena.
Lakini upinzani umeshaanza kulalamika juu ya uchaguzi huo.
Msemaji wa muungano wa upinzani, Medrek, amesema waangalizi wake wamekuwa wakitishiwa na kukamatwa katika baadhi ya maeneo nchini humo.
Nagesso Gidada ameliambia shirika la habari la AP, "Tunadhani hatutakubaliana na matokeo."
Msemaji wa serikali amepuuza madai hayo, akisema upinzani lazima ukubali kushindwa.
Mwandishi wa BBC Will Ross aliyopo Addis Ababa amesema vituo vya kupigia kura alivyotembelea kwenye mji mkuu vilikuwa na mpangilio mzuri, na wapiga kura wakijitokeza wa kutosha.
Upinzani umedai kulifanyika hila wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005 ili kukipitisha chama tawala cha Bw Meles cha Ethiopian People's Revolutionary Democratic Front (EPRDF).
Bw Meles anatarajiwa kwa kiasi kikubwa kuchaguliwa tena, huku upinzani ukionekana kugawanyika na kutokuwa na mpangilio mzuri.
Kwa habari zaidi ingia hapa................
Raia wa Ethiopia wanapiga kura kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa mwaka 2005 uliogubikwa na maandamano yaliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 200.
Misururu mirefu ya wapiga kura ilionekana kwenye vituo vya kupigia kura katika mji mkuu, Addis Ababa, kabla ya vituo kufunguliwa.
Waziri mkuu Meles Zenawi, washirika wa karibu wa nchi za magharibi ambao hupambana dhidi ya wapiganaji wa Somalia, wanapigania kuchaguliwa tena.
Lakini upinzani umeshaanza kulalamika juu ya uchaguzi huo.
Msemaji wa muungano wa upinzani, Medrek, amesema waangalizi wake wamekuwa wakitishiwa na kukamatwa katika baadhi ya maeneo nchini humo.
Nagesso Gidada ameliambia shirika la habari la AP, "Tunadhani hatutakubaliana na matokeo."
Msemaji wa serikali amepuuza madai hayo, akisema upinzani lazima ukubali kushindwa.
Mwandishi wa BBC Will Ross aliyopo Addis Ababa amesema vituo vya kupigia kura alivyotembelea kwenye mji mkuu vilikuwa na mpangilio mzuri, na wapiga kura wakijitokeza wa kutosha.
Upinzani umedai kulifanyika hila wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005 ili kukipitisha chama tawala cha Bw Meles cha Ethiopian People's Revolutionary Democratic Front (EPRDF).
Bw Meles anatarajiwa kwa kiasi kikubwa kuchaguliwa tena, huku upinzani ukionekana kugawanyika na kutokuwa na mpangilio mzuri.
Kwa habari zaidi ingia hapa................
Thursday, May 20, 2010

Our adoption story was a 'Facebook Fairytale'
As a newly married couple, in July 2005 my wife Melissa and I began thinking right away about having a family. After several months of trying on our own, we learned that we needed to pursue our family through fertility treatments. Although the world of fertility treatments was new to us, we both embraced the process. Melissa read everything she could get her hands on, asked lots of questions, and without hesitation, took all the shots, went to her doctor’s appointments, and adjusted quickly to the changes in her daily routine. As the husband, I supported her in every way that I could. Through our positive approach, the first treatment worked and we thought we were on our way to starting our family. WATCH VIDEO
However, when Melissa was 20 weeks pregnant with identical twin boys, she began experiencing strange back pains. She called the doctor on a Tuesday and they told her that her pains were normal. Since she was still uncomfortable a few days later, she called the doctor again and decided to go in to the office. She wanted to make sure everything was fine before the weekend.
During the doctor’s physical examination, he said, “Oh crap. You’re 2 centimeters dilated and 80 to 90 percent effaced. You have to go the hospital right now!
Access the full story..............
As a newly married couple, in July 2005 my wife Melissa and I began thinking right away about having a family. After several months of trying on our own, we learned that we needed to pursue our family through fertility treatments. Although the world of fertility treatments was new to us, we both embraced the process. Melissa read everything she could get her hands on, asked lots of questions, and without hesitation, took all the shots, went to her doctor’s appointments, and adjusted quickly to the changes in her daily routine. As the husband, I supported her in every way that I could. Through our positive approach, the first treatment worked and we thought we were on our way to starting our family. WATCH VIDEO
However, when Melissa was 20 weeks pregnant with identical twin boys, she began experiencing strange back pains. She called the doctor on a Tuesday and they told her that her pains were normal. Since she was still uncomfortable a few days later, she called the doctor again and decided to go in to the office. She wanted to make sure everything was fine before the weekend.
During the doctor’s physical examination, he said, “Oh crap. You’re 2 centimeters dilated and 80 to 90 percent effaced. You have to go the hospital right now!
Access the full story..............

Campbell huenda akaitwa mahakamani
Via BBC
Waendesha mashtaka wa uhalifu wa kivita huko Hague wamesema mlimbwende Naomi Campbell anatakiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya Rais wa zamani wa Libya Charles Taylor.
Wanasema Bi Campbell "aligaiwa almasi ambayo haikuchongwa" na Bw Taylor mwaka 1997 katika nyumba ya Nelson Mandela Afrika Kusini.
Bw Taylor anatuhumiwa kutumia "almasi zinazotoka kwenye nchi zenye migogoro ya kivita" iliyochochea uasi Sierra Leone iliyosababisha vifo vya maelfu ya watu.
Awali Bi Campbell alikataa kutoa ushahidi kwa waendesha mashtaka.
Taarifa iliyokusanywa na upande wa mashtaka kutoka mahakama maalum ya Sierra Leone imesema, " Taarifa ya Bi Campbell ni muhimu kwa vile kuna ushahidi kuwa Bi Campbell alipewa almasi ambazo hazikuchongwa na mtuhumiwa (Taylor) Septemba 1997."
Endelea kusoma habari hii....................
Via BBC
Waendesha mashtaka wa uhalifu wa kivita huko Hague wamesema mlimbwende Naomi Campbell anatakiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya Rais wa zamani wa Libya Charles Taylor.
Wanasema Bi Campbell "aligaiwa almasi ambayo haikuchongwa" na Bw Taylor mwaka 1997 katika nyumba ya Nelson Mandela Afrika Kusini.
Bw Taylor anatuhumiwa kutumia "almasi zinazotoka kwenye nchi zenye migogoro ya kivita" iliyochochea uasi Sierra Leone iliyosababisha vifo vya maelfu ya watu.
Awali Bi Campbell alikataa kutoa ushahidi kwa waendesha mashtaka.
Taarifa iliyokusanywa na upande wa mashtaka kutoka mahakama maalum ya Sierra Leone imesema, " Taarifa ya Bi Campbell ni muhimu kwa vile kuna ushahidi kuwa Bi Campbell alipewa almasi ambazo hazikuchongwa na mtuhumiwa (Taylor) Septemba 1997."
Endelea kusoma habari hii....................

Wanaume wapendanao wafungwa Malawi
Jaji mmoja nchini Malawi amewahukumu kifungo cha miaka 14 jela ikiambatana na kufanya kazi ngumu kwa wanaume wawili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja kwa kosa la kufanya vitendo kinyume cha maumbile na vitendo vya aibu.
Jaji huyo amesema anataka "kuulinda" umma.
Steven Monjeza, 26, na Tiwonge Chimbalanga, 20, walikuwa gerezani tangu walipokamatwa Desemba 2009 baada ya kufanya sherehe ya uchumba.
Kukamatwa kwao kulipingwa na nchi za kimataifa na kusababisha mjadala mkubwa juu ya mapenzi ya jinsia moja nchini Malawi.
Kwa habari zaidi ingia hapa...................
Jaji mmoja nchini Malawi amewahukumu kifungo cha miaka 14 jela ikiambatana na kufanya kazi ngumu kwa wanaume wawili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja kwa kosa la kufanya vitendo kinyume cha maumbile na vitendo vya aibu.
Jaji huyo amesema anataka "kuulinda" umma.
Steven Monjeza, 26, na Tiwonge Chimbalanga, 20, walikuwa gerezani tangu walipokamatwa Desemba 2009 baada ya kufanya sherehe ya uchumba.
Kukamatwa kwao kulipingwa na nchi za kimataifa na kusababisha mjadala mkubwa juu ya mapenzi ya jinsia moja nchini Malawi.
Kwa habari zaidi ingia hapa...................

Karume: Mseto lazima
• Ataka wananchi wajifunze kilichotokea Uingereza
na Mauwa Mohammed, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume, amesema Wazanzibari wanapaswa kuamka na kujifunza kutoka nje kuhusu mabadiliko ya kisiasa yanayotokea na kuhimiza umoja na mshikamano.
Alisema hakuna hata mtu mmoja aliyetarajia kwamba nchi kama Uingereza ingekubali mabadiliko ya kisiasa kama yanayotokea katika nchi za Bara la Afrika kwa kuunda serikali za umoja.
Rais Karume alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na waalikwa katika hafla ya makabidhiano ya Uwanja wa mpira wa Amani uliokuwa ukifanyiwa matengenezo na Serikali ya Watu wa China mjini Unguja.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na ujumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) ulioongozwa na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, msaidizi wake, Ismail Jussa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma, Salum Bimani, wabunge na wawakilishi wa chama hicho.
“Amkeni ndugu zangu na nyinyi mambo yanabadilika siku hizi mnaona huko Uingereza mambo yamekuwa vingine, kwa hivyo hili si huko tu, kila pahala katika nchi zetu hizi sasa wale wenye ndoto ya kuwa huku hayafiki shauri zao,” aliwaambia waalikwa hao.
Akikumbushia Zanzibar ilipotoka, alisema ilikuwa haina utulivu kama ilivyo sasa, na kwamba hali ya sasa imetokana na maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa kati yake na Maalim Seif Sharif Hamad.
“Mambo mnayaona wenyewe sasa, hali imetulia, hekima na busara zimetawala jazba na ndiyo ukaona maendeleo hivi sasa yanaonekana vizuri na haya yote yamepatikana kwa sababu ya maelewano. Hakuna sababu ya kuendelea kulumbana, hili nalisema wazi kabisa na kwa nia safi, kwa sababu tunataka maendeleo na maendeleo hayaji kama hakuna umoja na mshikamano,” alisisitiza Rais Karume.
Kwa habari zaidi ingia hapa...................
• Ataka wananchi wajifunze kilichotokea Uingereza
na Mauwa Mohammed, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume, amesema Wazanzibari wanapaswa kuamka na kujifunza kutoka nje kuhusu mabadiliko ya kisiasa yanayotokea na kuhimiza umoja na mshikamano.
Alisema hakuna hata mtu mmoja aliyetarajia kwamba nchi kama Uingereza ingekubali mabadiliko ya kisiasa kama yanayotokea katika nchi za Bara la Afrika kwa kuunda serikali za umoja.
Rais Karume alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na waalikwa katika hafla ya makabidhiano ya Uwanja wa mpira wa Amani uliokuwa ukifanyiwa matengenezo na Serikali ya Watu wa China mjini Unguja.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na ujumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) ulioongozwa na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, msaidizi wake, Ismail Jussa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma, Salum Bimani, wabunge na wawakilishi wa chama hicho.
“Amkeni ndugu zangu na nyinyi mambo yanabadilika siku hizi mnaona huko Uingereza mambo yamekuwa vingine, kwa hivyo hili si huko tu, kila pahala katika nchi zetu hizi sasa wale wenye ndoto ya kuwa huku hayafiki shauri zao,” aliwaambia waalikwa hao.
Akikumbushia Zanzibar ilipotoka, alisema ilikuwa haina utulivu kama ilivyo sasa, na kwamba hali ya sasa imetokana na maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa kati yake na Maalim Seif Sharif Hamad.
“Mambo mnayaona wenyewe sasa, hali imetulia, hekima na busara zimetawala jazba na ndiyo ukaona maendeleo hivi sasa yanaonekana vizuri na haya yote yamepatikana kwa sababu ya maelewano. Hakuna sababu ya kuendelea kulumbana, hili nalisema wazi kabisa na kwa nia safi, kwa sababu tunataka maendeleo na maendeleo hayaji kama hakuna umoja na mshikamano,” alisisitiza Rais Karume.
Kwa habari zaidi ingia hapa...................
Wednesday, May 19, 2010

JK: Masauni kajimaliza mwenyewe
Via Mwananchi
MWENYEKITI wa CCM Rais Jakaya Kikwete, amepiga msumari wa mwisho kwa aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM Hamad Yusuph Masauni, akisema alijimaliza mwenyewe kwa kutokuwa mkweli kuhusu umri wake na watu wasitafute mchawi.
*ADAI HATUA ALIYOCHUKULIWA KAMA YA NAPE, BENNO MALISA ASEMA NI USHUJAA KUWANG’OA VIGOGO
Leon Bahati, Iringa
Kauli hiyo ya mwenyekiti wa CCM taifa ilizidi kummaliza kijana huyo ambaye tayari alijikuta katika tuhuma nzito za kughushi umri ili achaguliwe mwaka 2008.
Rais Kikwete aliweka bayana hilo mjini hapa wakati akifunga mkutano tete wa Baraza Kuu la UVCCM, ambao ulifanya vigogo wawili wa juu wote kutoka Tanzania Zanzibar, ambao ni Masauni na Naibu Katibu Mkuu Nassoro Moyo, kujiuzulu.
Mwenyekiti huyo wa CCM, awali katika hotuba yake hakutaka kuzungumzia kwa undani sakata hilo, lakini baada ya kumaliza aliruhusu maswali na ndipo baadaye akauliuza wajumbe:, "Hivi mlielezwa vizuri kilichomfanya Masauni ajiuzulu?"
Baada ya swali hilo ukumbi ulipuka kwa wajumbe kusema:, "hatujuiii...hatujuiii...hatujuiii."
Jibu hilo lilimfanya Rais kuanza kufafanua kwa kifupi na kuwambia wajumbe:, " Kilichomponza Masauni ni kutokuwa mkweli kuhusu umri wake...Alikuwa na tuhuma za kughushi umri uliomwezesha kushinda uchaguzi mwaka 2008."
"Tulipochunguza ilibainika ni kweli alighushi, wakati wa uchaguzi alisema alizaliwa mwaka 1979, lakini ukweli alizaliwa mwaka 1973 na alianza darasa la kwanza mwaka 1979."
Rais Kikwete alisisitiza:, "Kwa hiyo hakuna aliyeonewa, aliyefitini na wala watu wasitafute mchawi katika hili. Hatua kama hii ilikwishafanyika kwa watu kama akina Nape (Nnauye)." Nape naye alienguliwa katika uchaguzi wa UVCCM uliopita.
Alisema taratibu za UVCCM mtu akishakuwa na umri wa zaidi ya miaka 31, hawezi kugombea nafasi kutaka kuchaguliwa kwani anakuwa amepoteza sifa inayohusika.
Endelea kusoma habari hii..................
Via Mwananchi
MWENYEKITI wa CCM Rais Jakaya Kikwete, amepiga msumari wa mwisho kwa aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM Hamad Yusuph Masauni, akisema alijimaliza mwenyewe kwa kutokuwa mkweli kuhusu umri wake na watu wasitafute mchawi.
*ADAI HATUA ALIYOCHUKULIWA KAMA YA NAPE, BENNO MALISA ASEMA NI USHUJAA KUWANG’OA VIGOGO
Leon Bahati, Iringa
Kauli hiyo ya mwenyekiti wa CCM taifa ilizidi kummaliza kijana huyo ambaye tayari alijikuta katika tuhuma nzito za kughushi umri ili achaguliwe mwaka 2008.
Rais Kikwete aliweka bayana hilo mjini hapa wakati akifunga mkutano tete wa Baraza Kuu la UVCCM, ambao ulifanya vigogo wawili wa juu wote kutoka Tanzania Zanzibar, ambao ni Masauni na Naibu Katibu Mkuu Nassoro Moyo, kujiuzulu.
Mwenyekiti huyo wa CCM, awali katika hotuba yake hakutaka kuzungumzia kwa undani sakata hilo, lakini baada ya kumaliza aliruhusu maswali na ndipo baadaye akauliuza wajumbe:, "Hivi mlielezwa vizuri kilichomfanya Masauni ajiuzulu?"
Baada ya swali hilo ukumbi ulipuka kwa wajumbe kusema:, "hatujuiii...hatujuiii...hatujuiii."
Jibu hilo lilimfanya Rais kuanza kufafanua kwa kifupi na kuwambia wajumbe:, " Kilichomponza Masauni ni kutokuwa mkweli kuhusu umri wake...Alikuwa na tuhuma za kughushi umri uliomwezesha kushinda uchaguzi mwaka 2008."
"Tulipochunguza ilibainika ni kweli alighushi, wakati wa uchaguzi alisema alizaliwa mwaka 1979, lakini ukweli alizaliwa mwaka 1973 na alianza darasa la kwanza mwaka 1979."
Rais Kikwete alisisitiza:, "Kwa hiyo hakuna aliyeonewa, aliyefitini na wala watu wasitafute mchawi katika hili. Hatua kama hii ilikwishafanyika kwa watu kama akina Nape (Nnauye)." Nape naye alienguliwa katika uchaguzi wa UVCCM uliopita.
Alisema taratibu za UVCCM mtu akishakuwa na umri wa zaidi ya miaka 31, hawezi kugombea nafasi kutaka kuchaguliwa kwani anakuwa amepoteza sifa inayohusika.
Endelea kusoma habari hii..................
Monday, May 17, 2010

Vitisho dhidi ya filamu ya Winnie
Via BBC
Utengenezaji wa filamu kuhusu maisha ya Winnie Madikizela-Mandela inayoigizwa na Jennifer Hudson inatarajiwa kuanza licha ya kuwepo vitisho vya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza katika tamasha la filamu la Cannes, mtengenezaji wa filamu hiyo Andre Pieterse amesema mawakili wa aliyekuwa mke wa Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela alimwandikia barua.
Amesema barua hiyo ilikuwa na vitisho vinavyoweza kuzuia utengenezaji huo.
Filamu hiyo, iitwayo Winnie, pia inamhusisha Terrence Howard akiigiza kama Nelson Mandela.
Barua isiyo na madhara
Pieterse amesema barua hiyo pia imesema Bi Madikizela-Mandela "atapenda kuona mswada wa filamu na aidhinishe."
Lakini Pieterse amesema yeye na mkurugenzi Darrell Roodt waliamua filamu hiyo itazingatia utafiti yakinifu bila ya kuwa na ushawishi wowote kutoka wahusika wakuu.
" Ilikuwa barua dhaifu lakini pia ilikuwa na vitisho vya kushtakiwa, jambo linaloweza kuzuia filamu hiyo isitengenezwe."
Amesema: " Iwapo filamu hiyo itamkashifu kwa namna yeyote basi ataweza kuchukua hatua za kisehria."
Utengenezaji huo wa Winnie unatarajiwa kuanza tarehe 31 Mei nchini Afrika Kusini, itakayodumu kwa wiki 10.
Endelea kusoma habari hii kwa undani................
Via BBC
Utengenezaji wa filamu kuhusu maisha ya Winnie Madikizela-Mandela inayoigizwa na Jennifer Hudson inatarajiwa kuanza licha ya kuwepo vitisho vya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza katika tamasha la filamu la Cannes, mtengenezaji wa filamu hiyo Andre Pieterse amesema mawakili wa aliyekuwa mke wa Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela alimwandikia barua.
Amesema barua hiyo ilikuwa na vitisho vinavyoweza kuzuia utengenezaji huo.
Filamu hiyo, iitwayo Winnie, pia inamhusisha Terrence Howard akiigiza kama Nelson Mandela.
Barua isiyo na madhara
Pieterse amesema barua hiyo pia imesema Bi Madikizela-Mandela "atapenda kuona mswada wa filamu na aidhinishe."
Lakini Pieterse amesema yeye na mkurugenzi Darrell Roodt waliamua filamu hiyo itazingatia utafiti yakinifu bila ya kuwa na ushawishi wowote kutoka wahusika wakuu.
" Ilikuwa barua dhaifu lakini pia ilikuwa na vitisho vya kushtakiwa, jambo linaloweza kuzuia filamu hiyo isitengenezwe."
Amesema: " Iwapo filamu hiyo itamkashifu kwa namna yeyote basi ataweza kuchukua hatua za kisehria."
Utengenezaji huo wa Winnie unatarajiwa kuanza tarehe 31 Mei nchini Afrika Kusini, itakayodumu kwa wiki 10.
Endelea kusoma habari hii kwa undani................

Vijana CCM wamtisha Makamba, MWENYEWE AWABEZA, ASEMA NI WAJINGA
Via Mwananchi
HALI ya umoja na mshikamano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM imezidi kuwa mbaya kutokana na makundi mawili yanayosigana kusambaza taarifa zinazomuonya katibu mkuu wa chama hicho, Yusuph Makamba kutojihusisha na upande wowote wakati wa kikao cha leo cha baraza kuu.
Tayari semina ya jana ya vijana hao, ambao ni moja ya nguzo za ushindi wa CCM, imefanyika katika wakati mgumu kutokana na makundi hayo kuvutana mara kwa mara ndani ya ukumbi huku kukiwa na hali ya wasiwasi ya kung'oloewa ama mwenyekiti Hamad Yusuph Masauni au Nassoro Moyo, ambaye ni naibu katibu mkuu wa jumuiya hiyo kwa Zanzibar.
Huku cheche hizo zikionekana mapema, wajumbe 357 wa baraza kuu, akiwemo Makamba, leo watakutana huku kukiwa na taarifa kuwa mtendaji huyo mkuu wa chama ameonywa asithubutu kushinikiza Masauni kujiuzulu.
Sehemu ya taarifa inasomeka: "Usiku wa kuamkia jana (juzi), tumekaa (wenyeviti wa wilaya 20 na wajumbe 19 wa baraza kuu). Tumeweka msimamo kuwa kama Makamba atajaribu kuingilia kati na kumlazimisha Masauni ajiuzulu, tutamwachia UVCCM."
Hata hivyo, haijulikani kama wajumbe waliosalia kwenye baraza hilo, ambalo lina wajumbe 357, wanamuunga mkono Masauni.
Majira ya saa 11:30 jioni, Makamba alipatikana na kusema: "Mimi niko Iringa ndiyo nimeingia kutoka Tabora... nimekuja kushiriki mkutano wa baraza kuu kwa kuwa mimi ni mjumbe.
"Nimepata taarifa nyingi ikiwemo ya 'meseji', lakini wanaosema naweza kuamua Masauni au fulani ajiuzulu ni wajinga."
Makamba atakuwa kigogo pekee wa chama atakayeshiriki kikao hicho baada ya taarifa kuwa mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete ametoa udhuru.
Endelea kusoma habari hii.............
Via Mwananchi
HALI ya umoja na mshikamano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM imezidi kuwa mbaya kutokana na makundi mawili yanayosigana kusambaza taarifa zinazomuonya katibu mkuu wa chama hicho, Yusuph Makamba kutojihusisha na upande wowote wakati wa kikao cha leo cha baraza kuu.
Tayari semina ya jana ya vijana hao, ambao ni moja ya nguzo za ushindi wa CCM, imefanyika katika wakati mgumu kutokana na makundi hayo kuvutana mara kwa mara ndani ya ukumbi huku kukiwa na hali ya wasiwasi ya kung'oloewa ama mwenyekiti Hamad Yusuph Masauni au Nassoro Moyo, ambaye ni naibu katibu mkuu wa jumuiya hiyo kwa Zanzibar.
Huku cheche hizo zikionekana mapema, wajumbe 357 wa baraza kuu, akiwemo Makamba, leo watakutana huku kukiwa na taarifa kuwa mtendaji huyo mkuu wa chama ameonywa asithubutu kushinikiza Masauni kujiuzulu.
Sehemu ya taarifa inasomeka: "Usiku wa kuamkia jana (juzi), tumekaa (wenyeviti wa wilaya 20 na wajumbe 19 wa baraza kuu). Tumeweka msimamo kuwa kama Makamba atajaribu kuingilia kati na kumlazimisha Masauni ajiuzulu, tutamwachia UVCCM."
Hata hivyo, haijulikani kama wajumbe waliosalia kwenye baraza hilo, ambalo lina wajumbe 357, wanamuunga mkono Masauni.
Majira ya saa 11:30 jioni, Makamba alipatikana na kusema: "Mimi niko Iringa ndiyo nimeingia kutoka Tabora... nimekuja kushiriki mkutano wa baraza kuu kwa kuwa mimi ni mjumbe.
"Nimepata taarifa nyingi ikiwemo ya 'meseji', lakini wanaosema naweza kuamua Masauni au fulani ajiuzulu ni wajinga."
Makamba atakuwa kigogo pekee wa chama atakayeshiriki kikao hicho baada ya taarifa kuwa mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete ametoa udhuru.
Endelea kusoma habari hii.............

Polisi watano watiwa mbaroni kwa mauaji
Via Tanzania Daima
ASKARI polisi watano wa Kituo cha Oysterbay cha jijini Dar es Salaam, wametiwa mbaroni wakihusishwa na kifo cha kupigwa risasi cha raia, Octavian Kashita (38) kilichotokea juzi Jumapili.
Kashita anaaminika aliuawa kwa risasi na polisi wakati yeye na wenzake wengine wanne walipokuwa wakipinga kitendo cha polisi hao cha kutaka kuwakamata, wakiwahusisha na tuhuma za kuhusika katika tukio la utekeji nyara.
Habari za kipolisi zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, zinaeleza kuwa, tukio hilo la mauaji lilitokea katika eneo la Victoria katika eneo la nyumba za serikali.
Kova aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa, polisi hao walikwenda eneo la tukio majira ya saa 1:00 jioni baada ya kupata taarifa za kutekwa nyara kwa mtu aliyetajwa kwa jina la Bariki Minja.
Kwa mujibu wa Kamanda Kova, polisi hao walikwenda eneo hilo la tukio baada ya kupokea malalamiko ya dada wa Bariki anayedaiwa kutekwa nyara, aliyemtaja kwa jina la Sia Minja.
Alieleza kuwa kutokana na taarifa hizo, mlalamikaji aliwaongoza askari hadi eneo la Victoria walipokuwa wameelekea watekaji hao.
Kova alieleza kuwa walipofika eneo hilo, waliliona gari aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T 864 BHC ambalo ndilo lililodaiwa kutumiwa na watekaji nyara hao.
“Kwa kupitia mlalamikaji (Sia), polisi waliwakamata vijana wanne waliosadikiwa kuhusika na utekaji huo kwa lengo la kuwahoji,” alisema Kova.
Alisema mara baada ya kuwakamata watuhumiwa hao wa utekaji, ikiwa ni pamoja na kumkuta mateka mwenyewe akiwa ndani ya gari hilo, kuliibuka mvutano kati ya polisi na watuhumiwa.
Endelea kusoma habari hii kwa undani............
Via Tanzania Daima
ASKARI polisi watano wa Kituo cha Oysterbay cha jijini Dar es Salaam, wametiwa mbaroni wakihusishwa na kifo cha kupigwa risasi cha raia, Octavian Kashita (38) kilichotokea juzi Jumapili.
Kashita anaaminika aliuawa kwa risasi na polisi wakati yeye na wenzake wengine wanne walipokuwa wakipinga kitendo cha polisi hao cha kutaka kuwakamata, wakiwahusisha na tuhuma za kuhusika katika tukio la utekeji nyara.
Habari za kipolisi zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, zinaeleza kuwa, tukio hilo la mauaji lilitokea katika eneo la Victoria katika eneo la nyumba za serikali.
Kova aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa, polisi hao walikwenda eneo la tukio majira ya saa 1:00 jioni baada ya kupata taarifa za kutekwa nyara kwa mtu aliyetajwa kwa jina la Bariki Minja.
Kwa mujibu wa Kamanda Kova, polisi hao walikwenda eneo hilo la tukio baada ya kupokea malalamiko ya dada wa Bariki anayedaiwa kutekwa nyara, aliyemtaja kwa jina la Sia Minja.
Alieleza kuwa kutokana na taarifa hizo, mlalamikaji aliwaongoza askari hadi eneo la Victoria walipokuwa wameelekea watekaji hao.
Kova alieleza kuwa walipofika eneo hilo, waliliona gari aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T 864 BHC ambalo ndilo lililodaiwa kutumiwa na watekaji nyara hao.
“Kwa kupitia mlalamikaji (Sia), polisi waliwakamata vijana wanne waliosadikiwa kuhusika na utekaji huo kwa lengo la kuwahoji,” alisema Kova.
Alisema mara baada ya kuwakamata watuhumiwa hao wa utekaji, ikiwa ni pamoja na kumkuta mateka mwenyewe akiwa ndani ya gari hilo, kuliibuka mvutano kati ya polisi na watuhumiwa.
Endelea kusoma habari hii kwa undani............
Saturday, May 15, 2010

Kigogo auziwa shangingi la Sh155milioni kwa Sh6 milioni
Daniel Mjema, Moshi
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Hilda Gondwe anadaiwa kuomba auziwe kwa Sh6 milioni gari la serikali aina ya Toyota Landcruiser VX maarufu kama shangingi lililonunuliwa miaka mitatu iliyopita kwa Sh96 milioni.
Taarifa za biashara hiyo zimeibua hisia kwa wakazi wa mkoa huo huku wengi wakihoji imekuaje gari hilo la serikali liuzwe kwa bei hiyo ndogo wakati bado liko kwenye hali nzuri.
Mwishoni mwa mwaka jana, gari hilo lenye namba za usajili STK 1867 lililokuwa likitumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC), Monica Mbega lilikarabatiwa na kampuni ya Toyota ya jijini Dar es Salaam kwa Sh11 milioni.
Vyanzo vya habari vimedokeza kuwa gari hilo lililonunuliwa miaka mitatu iliyopita kwa Sh96 milioni, halikustahili kuuzwa kwa bei hiyo kutokana na matengenezo makubwa lililofanyiwa Agosti mwaka jana.
Kwa kawaida magari ya serikali huwa hayalipiwi kodi, lakini kama gari hilo lingenunuliwa kwa bei ya soko, kuingizwa nchini na kulipiwa kodi mbalimbali ikiwamo ile ya 0ngezeko la Thamani(VAT), lingekuwa na thamani ya Sh155.7 milioni.
Shangingi lenye bei kama hiyo likiingizwa nchini linatakiwa kulipiwa Sh24 milioni kama kodi ya uagizaji (Import duty), Sh23.7 milioni kama VAT na Sh12 milioni ambazo ni kodi ya ushuru wa forodha.
“Kila mtu ameshangaa sana kwa sababu hilo gari ni kama jipya kwa sababu mwishoni mwa mwaka jana lilifanyiwa matengenezo makubwa kwa Sh11 milioni, leo linauzwaje kwa bei ya kutupa kiasi hicho?” Kimehoji chanzo hicho.
Gari hilo lilifanyiwa ukarabati mkubwa baada ya RC Mbega kukataa kutumia gari lililokuwa likitumiwa na mtangulizi wake, Mohamed Babu ambaye sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Alitaka lifanyiwe matengenezo na kurejea katika hali yake ya upya kabla ya kuanza kulitumia.
Kwa sasa serikali imenunua gari jipya aina ya Toyota Landcruicer V8 VX kwa thamani ya Sh190 milioni ambalo ndilo linalotumiwa na RC Mbega ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Habari zimedai kuwa tayari Katibu Tawala huyo ambaye ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za ofisi ya RC, na ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya kabla ya kushushwa cheo na kuwa RAS, ameshalipia gari hilo.
Vyanzo hivyo vya habari vimedai kuwa japo yapo magari mengine ya serikali likiwamo Toyota Landcruiser VX lenye namba STK 2634 ambayo yamechakaa, lakini aliliandikia STK 1867 kuwa limechakaa na halifai tena.
Taarifa hizo zimedai kuwa zipo dalili kuwa kigogo huyo wa serikali ana mpango wa kulitumia gari hilo katika kampeni za kuusaka ubunge katika Jimbo jipya la Tunduru katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Gondwe ambaye anatarajia kustaafu serikalini Novemba mwaka huu, alitumia kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) kilichofanyika juzi chini ya Uenyekiti wa RC Mbega kutangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea ubunge mwaka huu.
Lakini akizungumza na gazeti hili, Gondwe alisema kwa wadhifa wake, hana mamlaka ya kujiuzia gari la serikali.
Alisema alifuata taratibu zote katika kuomba kununua na hatimaye kupata bali cha kununua gari ambalo amesema hadi sasa hajaanza kulitumia.
Kwa habari zadi utazipata hapa.........
Daniel Mjema, Moshi
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Hilda Gondwe anadaiwa kuomba auziwe kwa Sh6 milioni gari la serikali aina ya Toyota Landcruiser VX maarufu kama shangingi lililonunuliwa miaka mitatu iliyopita kwa Sh96 milioni.
Taarifa za biashara hiyo zimeibua hisia kwa wakazi wa mkoa huo huku wengi wakihoji imekuaje gari hilo la serikali liuzwe kwa bei hiyo ndogo wakati bado liko kwenye hali nzuri.
Mwishoni mwa mwaka jana, gari hilo lenye namba za usajili STK 1867 lililokuwa likitumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC), Monica Mbega lilikarabatiwa na kampuni ya Toyota ya jijini Dar es Salaam kwa Sh11 milioni.
Vyanzo vya habari vimedokeza kuwa gari hilo lililonunuliwa miaka mitatu iliyopita kwa Sh96 milioni, halikustahili kuuzwa kwa bei hiyo kutokana na matengenezo makubwa lililofanyiwa Agosti mwaka jana.
Kwa kawaida magari ya serikali huwa hayalipiwi kodi, lakini kama gari hilo lingenunuliwa kwa bei ya soko, kuingizwa nchini na kulipiwa kodi mbalimbali ikiwamo ile ya 0ngezeko la Thamani(VAT), lingekuwa na thamani ya Sh155.7 milioni.
Shangingi lenye bei kama hiyo likiingizwa nchini linatakiwa kulipiwa Sh24 milioni kama kodi ya uagizaji (Import duty), Sh23.7 milioni kama VAT na Sh12 milioni ambazo ni kodi ya ushuru wa forodha.
“Kila mtu ameshangaa sana kwa sababu hilo gari ni kama jipya kwa sababu mwishoni mwa mwaka jana lilifanyiwa matengenezo makubwa kwa Sh11 milioni, leo linauzwaje kwa bei ya kutupa kiasi hicho?” Kimehoji chanzo hicho.
Gari hilo lilifanyiwa ukarabati mkubwa baada ya RC Mbega kukataa kutumia gari lililokuwa likitumiwa na mtangulizi wake, Mohamed Babu ambaye sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Alitaka lifanyiwe matengenezo na kurejea katika hali yake ya upya kabla ya kuanza kulitumia.
Kwa sasa serikali imenunua gari jipya aina ya Toyota Landcruicer V8 VX kwa thamani ya Sh190 milioni ambalo ndilo linalotumiwa na RC Mbega ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Habari zimedai kuwa tayari Katibu Tawala huyo ambaye ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za ofisi ya RC, na ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya kabla ya kushushwa cheo na kuwa RAS, ameshalipia gari hilo.
Vyanzo hivyo vya habari vimedai kuwa japo yapo magari mengine ya serikali likiwamo Toyota Landcruiser VX lenye namba STK 2634 ambayo yamechakaa, lakini aliliandikia STK 1867 kuwa limechakaa na halifai tena.
Taarifa hizo zimedai kuwa zipo dalili kuwa kigogo huyo wa serikali ana mpango wa kulitumia gari hilo katika kampeni za kuusaka ubunge katika Jimbo jipya la Tunduru katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Gondwe ambaye anatarajia kustaafu serikalini Novemba mwaka huu, alitumia kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) kilichofanyika juzi chini ya Uenyekiti wa RC Mbega kutangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea ubunge mwaka huu.
Lakini akizungumza na gazeti hili, Gondwe alisema kwa wadhifa wake, hana mamlaka ya kujiuzia gari la serikali.
Alisema alifuata taratibu zote katika kuomba kununua na hatimaye kupata bali cha kununua gari ambalo amesema hadi sasa hajaanza kulitumia.
Kwa habari zadi utazipata hapa.........
Friday, May 14, 2010

LeBron and Cavaliers didn't lose series; Celtics won it
Most of the words written from the TD Garden on Thursday night will be about LeBron James, his performance in this series, his health, and his future. A full contingent of New York media made their way up to Boston for this game, and they got the story they came for: James, the free-agent-to-be, falling well short of a championship
And you know what? The Boston Celtics don't care.
They don't care if James' elbow was bothering him. They don't care if he's frustrated with his teammates, head coach or front office. And they don't care if he's played his last game as a Cav.
From the start of this conference semifinals series to the finish, the Celtics knew that if they just took care of their own business, played hard and played together, they'd be in good shape.
In the end, the Cavs didn't lose this series. The Celtics won it.
"I thought our guys' effort, our focus was phenomenal," coach Doc Rivers said. "Everybody was on the same page."
This was a team that looked mediocre at best throughout the second half of the season, a team that lost to the Nets and Wizards at home after the All-Star break. But when the postseason began, they became the team that won a championship two seasons ago, or at least a close facsimile.
Access the full story...................
Most of the words written from the TD Garden on Thursday night will be about LeBron James, his performance in this series, his health, and his future. A full contingent of New York media made their way up to Boston for this game, and they got the story they came for: James, the free-agent-to-be, falling well short of a championship
And you know what? The Boston Celtics don't care.
They don't care if James' elbow was bothering him. They don't care if he's frustrated with his teammates, head coach or front office. And they don't care if he's played his last game as a Cav.
From the start of this conference semifinals series to the finish, the Celtics knew that if they just took care of their own business, played hard and played together, they'd be in good shape.
In the end, the Cavs didn't lose this series. The Celtics won it.
"I thought our guys' effort, our focus was phenomenal," coach Doc Rivers said. "Everybody was on the same page."
This was a team that looked mediocre at best throughout the second half of the season, a team that lost to the Nets and Wizards at home after the All-Star break. But when the postseason began, they became the team that won a championship two seasons ago, or at least a close facsimile.
Access the full story...................
Wednesday, May 12, 2010

David Cameron Waziri Mkuu mpya Uingereza
Kiongozi wa chama cha Conservative, David Cameron, ndiye Waziri Mkuu wa Uingereza baada ya Gordon Brown kujiuzulu Jumanne jioni.
Maelezo mafupi kuhusu David Cameron
David Cameron wakati fulani alijitaja kama ‘mrithi wa Tony Blair’. Hakika kuna mfanano wa namna alivyoweza kwa kutumia kikundi kidogo cha wanasiasa wa ‘kisasa’ kulazimisha mabadiliko ndani ya chama ambacho husita kufanya mabadiliko.
Pia bwana Cameron mwenye umri wa miaka 43 anafanana na Waziri Mkuu wa zamani bwana Blair kwa umahiri wake wa kuongea mbele ya kamera za runinga.
Akiwa ni mtoto wa dalali wa hisa (stock broker), Bwana Cameron alikua katika eneo la Newbury, Berkshire, pamoja na kaka yake aitwaye Alec na dada wawili Tania na Claire.
Baada ya elimu ya awali, akafuata jadi ya kifamilia na kusoma Eton na baadae chuo kikuu cha Oxford, ambapo alipata daraja la juu kabisa (la kwanza) katika Falsafa, Siasa na Uchumi. Mhadhiri wake wa Oxford aitwaye Vernon Bogdanor anamtaja bwana Cameron kama mmoja wa wanafunzi wenye uwezo mkubwa aliowahi kufundisha.
Chuoni Oxford hakujishughulisha na siasa za wanafunzi, lakini alikuwa mwananchama wa klabu ya Bullingdon dining, maarufu kwa unywaji wa pombe na mienendo mibaya. Hata hivyo bwana Cameron siku zote ameepuka kuongelea suala hili la unywaji mkali wa pombe chuoni na amekanusha kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya wakati akiwa mwanafunzi. Lakini inaweza kuwa ni makosa kufikiri kuwa bwana Cameron alikuwa tu mtu wa tabaka la aina ya viongozi wa chama cha Tory wa zama zilizopita. Hii ni kwa kuwa sehemu muhimu ya mvuto wake kisiasa imekuwa ni madai yake ya yeye kuwa sambamba na Uingereza ya leo kuliko wapinzani wake kutoka chama cha Labour. Anakamilisha maneno yake haya pale anapokiongoza chama chake kukumbatia dhana zenye mvutano wa kisiasa leo hii kama vile mabadiliko ya hewa duniani na haki za wasenge (gay rights).
Endelea kusoma habari hii............
Maelezo mafupi kuhusu David Cameron
David Cameron wakati fulani alijitaja kama ‘mrithi wa Tony Blair’. Hakika kuna mfanano wa namna alivyoweza kwa kutumia kikundi kidogo cha wanasiasa wa ‘kisasa’ kulazimisha mabadiliko ndani ya chama ambacho husita kufanya mabadiliko.
Pia bwana Cameron mwenye umri wa miaka 43 anafanana na Waziri Mkuu wa zamani bwana Blair kwa umahiri wake wa kuongea mbele ya kamera za runinga.
Akiwa ni mtoto wa dalali wa hisa (stock broker), Bwana Cameron alikua katika eneo la Newbury, Berkshire, pamoja na kaka yake aitwaye Alec na dada wawili Tania na Claire.
Baada ya elimu ya awali, akafuata jadi ya kifamilia na kusoma Eton na baadae chuo kikuu cha Oxford, ambapo alipata daraja la juu kabisa (la kwanza) katika Falsafa, Siasa na Uchumi. Mhadhiri wake wa Oxford aitwaye Vernon Bogdanor anamtaja bwana Cameron kama mmoja wa wanafunzi wenye uwezo mkubwa aliowahi kufundisha.
Chuoni Oxford hakujishughulisha na siasa za wanafunzi, lakini alikuwa mwananchama wa klabu ya Bullingdon dining, maarufu kwa unywaji wa pombe na mienendo mibaya. Hata hivyo bwana Cameron siku zote ameepuka kuongelea suala hili la unywaji mkali wa pombe chuoni na amekanusha kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya wakati akiwa mwanafunzi. Lakini inaweza kuwa ni makosa kufikiri kuwa bwana Cameron alikuwa tu mtu wa tabaka la aina ya viongozi wa chama cha Tory wa zama zilizopita. Hii ni kwa kuwa sehemu muhimu ya mvuto wake kisiasa imekuwa ni madai yake ya yeye kuwa sambamba na Uingereza ya leo kuliko wapinzani wake kutoka chama cha Labour. Anakamilisha maneno yake haya pale anapokiongoza chama chake kukumbatia dhana zenye mvutano wa kisiasa leo hii kama vile mabadiliko ya hewa duniani na haki za wasenge (gay rights).
Endelea kusoma habari hii............
Thursday, May 6, 2010

Rais Yar'Adua wa Nigeria afariki Dunia
Rais Umaru Yar'Adua wa Nigeria amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaimu rais, Goodluck Johnathan ameapishwa rasmi kuwa kiongozi wa taifa hilo la magharibi mwa Afrika.
Umaru Musa Yar'Adua aliapishwa kushika hatamu za uongozi mwezi wa Aprili mwaka 2007 na kuwa kiongozi wa 13 wa Nigeria. Kabla ya hapo marehemu alikuwa ametangazwa mshindi kwenye uchaguzi uliozua ubishi mkubwa kutoka upinzani, kutokana na hali ya kutatanisha iliyotangulia kutangazwa matokeo hayo.
Bw Yar'Adua alikuwa chaguo la mtangulizi wake Olusegun Obasanjo kuwa mgombea wa chama tawala cha Peoples Democratic Party, na wadadisi wengi waliona hilo kama jaribio la Bw Obasanjo kuendelea kuhodhi mambo hata baada ya kustaafu.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza nchini Ngeria kwa kiongozi aliyechaguliwa na raia kukabidhi madaraka kwa kiongozi mwingine wa kuchaguliwa na raia, baada ya kukumbwa na miongo mitatu ya utawala wa kijeshi.
Endelea kusoma habari hii..........
Rais Umaru Yar'Adua wa Nigeria amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaimu rais, Goodluck Johnathan ameapishwa rasmi kuwa kiongozi wa taifa hilo la magharibi mwa Afrika.
Umaru Musa Yar'Adua aliapishwa kushika hatamu za uongozi mwezi wa Aprili mwaka 2007 na kuwa kiongozi wa 13 wa Nigeria. Kabla ya hapo marehemu alikuwa ametangazwa mshindi kwenye uchaguzi uliozua ubishi mkubwa kutoka upinzani, kutokana na hali ya kutatanisha iliyotangulia kutangazwa matokeo hayo.
Bw Yar'Adua alikuwa chaguo la mtangulizi wake Olusegun Obasanjo kuwa mgombea wa chama tawala cha Peoples Democratic Party, na wadadisi wengi waliona hilo kama jaribio la Bw Obasanjo kuendelea kuhodhi mambo hata baada ya kustaafu.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza nchini Ngeria kwa kiongozi aliyechaguliwa na raia kukabidhi madaraka kwa kiongozi mwingine wa kuchaguliwa na raia, baada ya kukumbwa na miongo mitatu ya utawala wa kijeshi.
Endelea kusoma habari hii..........
Tuesday, May 4, 2010

Kikwete azikataa kura za TUCTA
• Asema wasipompa, wengine watampigia
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amewatisha wafanyakazi ambao wamepanga kushiriki kwenye mgomo ulioitishwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) uliopangwa kuanza kesho kuwa watakumbana na mkono wa sheria endapo watathubutu kutekeleza azma yao hiyo.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana jioni jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na wazee wa mkoa huo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo alisema kuwa mgomo unaoshinikizwa washiriki ni batili na kinyume cha sheria kwa kuwa umeitishwa katikati ya mazungumzo.
“Mie ndiye muajiri mkuu nisikilizeni mimi, msimsikilize Mgaya (Kaimu Katibu Mkuu TUCTA) mtafukuzwa kazi wala Mgaya hamtamuona! Mtapoteza haki zenu…akili ni nywele kila mtu ana zake mtu mzima dawa,” alisema Kikwete ambaye alikuwa akishangiliwa na wazee hao.
Akiwa ameongozana na Makamu wa Rais, Dk, Ali Mohamed Shein, Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi na viongozi wengine wa chama na serikali, Rais Kikwete alianza kwa kusema kuwa ana mambo mawili ya kuzungumza na wazee hao, na akatamka moja kati ya hayo kuwa ni tishio la mgomo wa TUCTA.
Wengine waliohudhuria mkutano huo wa Kikwete ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema na viongozi wengine wa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Rais Kikwete alisema kuwa hakupenda kulizungumzaia suala hilo kwa sababu alikwishalitolea ufafanuzi mwezi Machi mwaka huu lakini amelazimika kulizungumzia baada ya kuwasilikiliza viongozi wa TUCTA wakiwashawishi wafanyakazi kugoma katika maadhimisho ya sherehe za wafanyakazi za Mei mosi za mwaka huu.
“Nimesikia wakiwashawishi kugoma wakitutuhumu sisi kuwa ni serikali isiyoambilika, huo ni uongo na hawa viongozi wa TUCTA ni waongo, wanafiki…nilieleza katika hotuba yangu ya mwezi Machi jinsi serikali ilivyochukua hatua kuboresha maslahi ya wafanyakazi, na dhamira ya kuendelea kuwajali.
Endelea kusoma habari hii kwa undani...........
Sunday, May 2, 2010

Usher: Talent shows are killing music
Just weeks after the singer appeared as a mentor on the current season of "American Idol," Usher
has blasted the show and its rivals for making talented singers celebrities and then casting them aside.
He says, "The true art form of music is being lost, because it seems so easy that everyone can do it, and that it can happen overnight. Television is a lie. It can't happen overnight. The artist who thinks that it can just comes and goes. The reason why great singers cannot exist in this time is maybe because they're not properly managed, and maybe they don't understand the full gamut of what being an entertainer is.
Saturday, May 1, 2010

Kiota
Binti anataka kwenda Dar kufanya kazi za ndani, Mama yake hakubaliani nae kabisa na ombi hilo. Binti anaamua kutoroka na rafiki yake ambaye anafanya kazi huko.
Endelea kula raha....
Source: wavuti
Binti anataka kwenda Dar kufanya kazi za ndani, Mama yake hakubaliani nae kabisa na ombi hilo. Binti anaamua kutoroka na rafiki yake ambaye anafanya kazi huko.
Endelea kula raha....
Source: wavuti

Mwanaume asimulia mkewe alivyoua watoto
SIKU moja baada ya mwanamke mmoja, ambaye anadhaniwa kuwa mgonjwa wa akili, kuua watoto wake watatu kwa shoka, mambo makubwa zaidi yaliyojificha yameibuka, huku ikidaiwa kuwa awali watoto hao walikuwa wauawe kwa panga.
Katika tukio la kikatili lililotikisa mji wa Moshi, mwanamke huyo, Benadicta Thadei, 44, mkazi wa Kariwa, Kata ya Longuo aliwaua kwa kuwakata na shoka watoto wake watatu na kumjeruhi vibaya mmoja usiku wa kuamkia juzi.
Wakati mauaji hayo yakifanyika, mume wa mwanamke huyo, Thadei Aloyce Kihanda, ambaye ni mlinzi wa Hospitali ya KCMC, alikuwa zamu ya usiku na aligundua mauaji hayo mara alipofika nyumbani kwake asubuhi.
Akizungumza na Mwananchi jana, Kihanda alisema Jumatano jioni kabla ya kwenda kazini, mkewe alimuomba amwachie panga, ombi ambalo alisema lilimshitua sana.
Kihanda alimuomba mkewe amueleze analitaka kwa kazi gani na kwa kuwa ilikuwa inakaribia saa 1:00 usiku na kulikuwa hakuna kazi ya kufanya na mkewe alimjibu kuwa alikuwa analihitaji kwa ajili ya kukabiliana na maadui zake.
“Nakumbuka kabla sijaenda kazini aliniambia nimwachie panga na nilipomuuliza kuwa anataka la kufanyia nini aliniambia kuwa anataka kulitumia kupambana na maadui zake,” alisema Kihanda katika mahojiano hayo.
“Baada ya kuona hivyo, niliamua kuficha vifaa vyote ambavyo vinaweza kuwa silaha kwa kuwa nilijua hali ya mke wangu wakati mwingine huwa hana akili timamu kwa hiyo niliona nichukue tahadhari.
“Baada ya kuhakikisha nimeficha vifaa vyote vinavyoweza kutumika kama silaha niliamua kwenda kazini, lakini kwa bahati mbaya sana bila kujua nilisahau shoka kwenye gogo na ndilo alilotumia kuwaua watoto wetu,” alisema.
Kwa habari zaidi ingia hapa............
SIKU moja baada ya mwanamke mmoja, ambaye anadhaniwa kuwa mgonjwa wa akili, kuua watoto wake watatu kwa shoka, mambo makubwa zaidi yaliyojificha yameibuka, huku ikidaiwa kuwa awali watoto hao walikuwa wauawe kwa panga.
Katika tukio la kikatili lililotikisa mji wa Moshi, mwanamke huyo, Benadicta Thadei, 44, mkazi wa Kariwa, Kata ya Longuo aliwaua kwa kuwakata na shoka watoto wake watatu na kumjeruhi vibaya mmoja usiku wa kuamkia juzi.
Wakati mauaji hayo yakifanyika, mume wa mwanamke huyo, Thadei Aloyce Kihanda, ambaye ni mlinzi wa Hospitali ya KCMC, alikuwa zamu ya usiku na aligundua mauaji hayo mara alipofika nyumbani kwake asubuhi.
Akizungumza na Mwananchi jana, Kihanda alisema Jumatano jioni kabla ya kwenda kazini, mkewe alimuomba amwachie panga, ombi ambalo alisema lilimshitua sana.
Kihanda alimuomba mkewe amueleze analitaka kwa kazi gani na kwa kuwa ilikuwa inakaribia saa 1:00 usiku na kulikuwa hakuna kazi ya kufanya na mkewe alimjibu kuwa alikuwa analihitaji kwa ajili ya kukabiliana na maadui zake.
“Nakumbuka kabla sijaenda kazini aliniambia nimwachie panga na nilipomuuliza kuwa anataka la kufanyia nini aliniambia kuwa anataka kulitumia kupambana na maadui zake,” alisema Kihanda katika mahojiano hayo.
“Baada ya kuona hivyo, niliamua kuficha vifaa vyote ambavyo vinaweza kuwa silaha kwa kuwa nilijua hali ya mke wangu wakati mwingine huwa hana akili timamu kwa hiyo niliona nichukue tahadhari.
“Baada ya kuhakikisha nimeficha vifaa vyote vinavyoweza kutumika kama silaha niliamua kwenda kazini, lakini kwa bahati mbaya sana bila kujua nilisahau shoka kwenye gogo na ndilo alilotumia kuwaua watoto wetu,” alisema.
Kwa habari zaidi ingia hapa............

Halle Berry and Gabriel Aubry Split
Halle Berry and Gabriel Aubry have broken up after four years together, according to multiple reports.
The Oscar winner and the Canadian model are reportedly in negotiations to work out a custody agreement regarding their 2-year-old daughter Nahla, TMZ.com reports.
Berry, 43, and Aubry, 34, met at a Versace store opening in Manhattan in February 2006. Their daughter was born two years later.
In February 2009, Berry told Essence magazine about motherhood, "I'm complete. I have more to offer my craft because [my daughter] makes me indelibly better every day." That same month, Aubry told PEOPLE that Nahla "needs a sibling. I think it's important."
Berry’s rep couldn’t be reached for comment.
RadarOnline was first to report the story.
Halle Berry and Gabriel Aubry have broken up after four years together, according to multiple reports.
The Oscar winner and the Canadian model are reportedly in negotiations to work out a custody agreement regarding their 2-year-old daughter Nahla, TMZ.com reports.
Berry, 43, and Aubry, 34, met at a Versace store opening in Manhattan in February 2006. Their daughter was born two years later.
In February 2009, Berry told Essence magazine about motherhood, "I'm complete. I have more to offer my craft because [my daughter] makes me indelibly better every day." That same month, Aubry told PEOPLE that Nahla "needs a sibling. I think it's important."
Berry’s rep couldn’t be reached for comment.
RadarOnline was first to report the story.

Hillary Clinton talks about AZ immigration law
Secretary of State Hillary Clinton said Arizona's new immigration law is an invitation to racial profiling.
In an interview to air Sunday morning on NBC's Meet the Press, moderator David Gregory asked Secretary Clinton about some of the controversy.
She stops short of saying the new law is illegal.
"This law, which is clearly a result of the frustration that people in Arizona and their elected officials feel about the difficulty of enforcing the law along our border and preventing the continued immigration people who are not documented, but on the other hand, it is written so broadly that if you were visiting in Arizona and you had an accent, and you were a citizen from, you know, my state of New York, you could be subjected to the kind of inquiry that is call, that this law permits," Clinton said.
"You think it invites profiling? Racial profiling?" Gregory said.
"I don't think there's any doubt about that because clearly, you, as I understand the way the law is being explained, if you're a legal resident, you still have to carry papers," Clinton said. "Well, how, how is a law enforcement official supposed to know? So, again, we have to try to balance the very legitimate concerns that Americans, not just people in Arizona, but across the country have about safe and secure borders, about trying to have comprehensive immigration reform. With a law that, I think does what a state doesn't have the authority to do. Try to impose their own immigration law that is really the province of the federal government."
Access the full story...............
Secretary of State Hillary Clinton said Arizona's new immigration law is an invitation to racial profiling.
In an interview to air Sunday morning on NBC's Meet the Press, moderator David Gregory asked Secretary Clinton about some of the controversy.
She stops short of saying the new law is illegal.
"This law, which is clearly a result of the frustration that people in Arizona and their elected officials feel about the difficulty of enforcing the law along our border and preventing the continued immigration people who are not documented, but on the other hand, it is written so broadly that if you were visiting in Arizona and you had an accent, and you were a citizen from, you know, my state of New York, you could be subjected to the kind of inquiry that is call, that this law permits," Clinton said.
"You think it invites profiling? Racial profiling?" Gregory said.
"I don't think there's any doubt about that because clearly, you, as I understand the way the law is being explained, if you're a legal resident, you still have to carry papers," Clinton said. "Well, how, how is a law enforcement official supposed to know? So, again, we have to try to balance the very legitimate concerns that Americans, not just people in Arizona, but across the country have about safe and secure borders, about trying to have comprehensive immigration reform. With a law that, I think does what a state doesn't have the authority to do. Try to impose their own immigration law that is really the province of the federal government."
Access the full story...............
Monday, April 26, 2010

Denzel Washington Opens ‘Fences’ On Broadway
Family, particularly fathers and sons. Can there be a more inexhaustible topic for great playwrights?
From Shakespeare (think all those “Henry” history plays) to Arthur Miller (consider “All My Sons” and “Death of a Salesman”), the subject has been potent dramatic fodder. And in “Fences,” August Wilson made his own unmistakable, powerful contribution to the genre in what is perhaps his most personal play.
First seen in New York in 1987 with James Earl Jones, “Fences” has now returned with an equally starry actor, Denzel Washington in the lead. Washington, last on Broadway in 2005 in a production of “Julius Caesar,” acquits himself well in this blistering revival, directed with a sure, steady hand by Wilson veteran Kenny Leon. It’s a big, bold performance in a big, bold play, rife with emotion-drenched soliloquies for its star about life, love, death and the devil.
The production opened Monday at Broadway’s Cort Theatre for a limited engagement through July 11.
Washington portrays Troy Maxson, a 53-year-old black sanitation worker who once had dreams of professional baseball glory. The time is the late 1950s, when black baseball players were beginning to make names for themselves in the major white leagues. Troy came along too soon, and his aspirations died hard but his anger never cooled.
Instead, he channeled his life into his family: wife Rose (Viola Davis) and teenage son Cory (Chris Chalk). The key word here is responsibility, a word Troy reveres above all else. That responsibility runs headlong into his son’s desire to play football and win a possible college scholarship.
A clash is inevitable, and the tension builds slowly as Troy reveals details about his past life — his volatile dealings with his own father, his time in prison (a stint that cost him his first wife) and the chance to be around hisoldest son (Russell Hornsby).
Access the full story
Family, particularly fathers and sons. Can there be a more inexhaustible topic for great playwrights?
From Shakespeare (think all those “Henry” history plays) to Arthur Miller (consider “All My Sons” and “Death of a Salesman”), the subject has been potent dramatic fodder. And in “Fences,” August Wilson made his own unmistakable, powerful contribution to the genre in what is perhaps his most personal play.
First seen in New York in 1987 with James Earl Jones, “Fences” has now returned with an equally starry actor, Denzel Washington in the lead. Washington, last on Broadway in 2005 in a production of “Julius Caesar,” acquits himself well in this blistering revival, directed with a sure, steady hand by Wilson veteran Kenny Leon. It’s a big, bold performance in a big, bold play, rife with emotion-drenched soliloquies for its star about life, love, death and the devil.
The production opened Monday at Broadway’s Cort Theatre for a limited engagement through July 11.
Washington portrays Troy Maxson, a 53-year-old black sanitation worker who once had dreams of professional baseball glory. The time is the late 1950s, when black baseball players were beginning to make names for themselves in the major white leagues. Troy came along too soon, and his aspirations died hard but his anger never cooled.
Instead, he channeled his life into his family: wife Rose (Viola Davis) and teenage son Cory (Chris Chalk). The key word here is responsibility, a word Troy reveres above all else. That responsibility runs headlong into his son’s desire to play football and win a possible college scholarship.
A clash is inevitable, and the tension builds slowly as Troy reveals details about his past life — his volatile dealings with his own father, his time in prison (a stint that cost him his first wife) and the chance to be around hisoldest son (Russell Hornsby).
Access the full story

Nick Cannon and Mariah Carey to Renew Their Vows … Again!
Via people.com
Renewing one's wedding vows is typically a once-in-a-lifetime experience. But Nick Cannon and Mariah Carey prefer to do it a little more frequently than that – like every year!
"I encourage everybody to do it. If you are happy and in love, celebrate it!" Cannon, 29, said Friday on his New York radio show, confirming that he and his pop-star wife, 40, will renew their vows – for a second time – to celebrate their second wedding anniversary.
"Don't everybody do that?" the America's Got Talent host asked. "Don't, like, Heidi Klum and Seal do the same thing every year? It's just something fun to celebrate. We renew our vows and exchange gifts."
Via people.com
Renewing one's wedding vows is typically a once-in-a-lifetime experience. But Nick Cannon and Mariah Carey prefer to do it a little more frequently than that – like every year!
"I encourage everybody to do it. If you are happy and in love, celebrate it!" Cannon, 29, said Friday on his New York radio show, confirming that he and his pop-star wife, 40, will renew their vows – for a second time – to celebrate their second wedding anniversary.
"Don't everybody do that?" the America's Got Talent host asked. "Don't, like, Heidi Klum and Seal do the same thing every year? It's just something fun to celebrate. We renew our vows and exchange gifts."
Friday, April 23, 2010

7 Things You Should Say in an Interview
Today's job market is as competitive as ever. You need to be able to effectively communicate you skill set so that you will give yourself the best competitive advantage to secure employment. During the interview process, you want to highlight as many of your strengths as possible. An easy way to do this is by slipping a few simple phrases into your next job interview. Here are seven things you should say in an interview.
1. I am very familiar with what your company does.
Letting a prospective employer know that you are familiar with what a company does shows that you have a legitimate interest in the business and are not just wasting their time. Do your homework before arriving for an interview. Check out the company website for information about products and services. Search for the latest transactions and pertinent business news.
Be sure to let the interviewer know that you are familiar with the newest company acquisition or the latest product that was just developed. Explain how your skills and experience are a perfect fit for the employer.
2. I am flexible.
Work environments are always changing. Prospective employers are looking for candidates that are open to change and can adapt at a moment's notice. In today's fast paced business world, employees must have the ability to multi-task.
Stating that you are adaptable lets an employer know that you are willing to do whatever is necessary to get the job done. This may mean working additional hours or taking on additional job duties in a crunch. Show your potential employer that you are equipped to deal with any crisis situation that may arise.
Access the full article.......
Today's job market is as competitive as ever. You need to be able to effectively communicate you skill set so that you will give yourself the best competitive advantage to secure employment. During the interview process, you want to highlight as many of your strengths as possible. An easy way to do this is by slipping a few simple phrases into your next job interview. Here are seven things you should say in an interview.
1. I am very familiar with what your company does.
Letting a prospective employer know that you are familiar with what a company does shows that you have a legitimate interest in the business and are not just wasting their time. Do your homework before arriving for an interview. Check out the company website for information about products and services. Search for the latest transactions and pertinent business news.
Be sure to let the interviewer know that you are familiar with the newest company acquisition or the latest product that was just developed. Explain how your skills and experience are a perfect fit for the employer.
2. I am flexible.
Work environments are always changing. Prospective employers are looking for candidates that are open to change and can adapt at a moment's notice. In today's fast paced business world, employees must have the ability to multi-task.
Stating that you are adaptable lets an employer know that you are willing to do whatever is necessary to get the job done. This may mean working additional hours or taking on additional job duties in a crunch. Show your potential employer that you are equipped to deal with any crisis situation that may arise.
Access the full article.......
Thursday, April 22, 2010

Liyumba ainanga serikali
Amtupia mzigo marehemu Balali
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (62), ambaye sasa anakabiliwa na shtaka moja la matumuzi mabaya ya ofisi ya umma, amedai serikali haijui itendalo dhidi ya kesi iliyomfungulia.
Liyumba ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, izingatie ukweli wakati wa kutoa hukumu dhidi yake Mei 24 badala ya kuwasikiliza watu wasiojua watendalo.
Maneno hayo mawili ‘hawajui watendalo’ yanafanana na yale aliyotumia Yesu Kristo, anayeaminika kuwa ni Mwokozi wa waumini wa Kikristo wakati akieleza kitendo cha Wayahudi waliokuwa wakimsulubisha (Luka 23:34).
Mshtakiwa huyo jana alipanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kutoa utetezi wake mbele ya Kiongozi wa Jopo la Mahakimu Wakazi, Edson Mkasimongwa, aliyekuwa akisaidiwa na Lameck Mlacha na Benedict Mwingwa.
Kesi hiyo ambayo imevuta hisia za watu wengi ndani na nje ya jiji la Dar es Salaam ilifikishwa mahakamani hapo Januari 26 mwaka jana ambapo Liyumba alikuwa akikabiliwa na makosa mawili ambayo ni matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kuisababishia hasara serikali ya sh bilioni 221.
Hata hivyo Aprili 9 mwaka huu, mahakama hiyo ilimfutia shtaka la kuisababishia hasara serikali baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha hasara kwa namba kama ilivyokuwa ikitakiwa.
Liyumba, aliongozwa kutoa ushahidi wake na wakili mahiri wa kujitegemea Majura Magafu aliyekuwa akisaidiwa na Jaji Mstaafu Hillary Mkate, Onesmo Kyauke na Hudson Ndusyepo huku upande wa mashitaka ulikuwa ukiongozwa na mawakili waandamizi Juma Mzarau, Ben Lincoln na Tabu Mzee.
Endelea kusoma habari hii............
Amtupia mzigo marehemu Balali

Liyumba ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, izingatie ukweli wakati wa kutoa hukumu dhidi yake Mei 24 badala ya kuwasikiliza watu wasiojua watendalo.
Maneno hayo mawili ‘hawajui watendalo’ yanafanana na yale aliyotumia Yesu Kristo, anayeaminika kuwa ni Mwokozi wa waumini wa Kikristo wakati akieleza kitendo cha Wayahudi waliokuwa wakimsulubisha (Luka 23:34).
Mshtakiwa huyo jana alipanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kutoa utetezi wake mbele ya Kiongozi wa Jopo la Mahakimu Wakazi, Edson Mkasimongwa, aliyekuwa akisaidiwa na Lameck Mlacha na Benedict Mwingwa.
Kesi hiyo ambayo imevuta hisia za watu wengi ndani na nje ya jiji la Dar es Salaam ilifikishwa mahakamani hapo Januari 26 mwaka jana ambapo Liyumba alikuwa akikabiliwa na makosa mawili ambayo ni matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kuisababishia hasara serikali ya sh bilioni 221.
Hata hivyo Aprili 9 mwaka huu, mahakama hiyo ilimfutia shtaka la kuisababishia hasara serikali baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha hasara kwa namba kama ilivyokuwa ikitakiwa.
Liyumba, aliongozwa kutoa ushahidi wake na wakili mahiri wa kujitegemea Majura Magafu aliyekuwa akisaidiwa na Jaji Mstaafu Hillary Mkate, Onesmo Kyauke na Hudson Ndusyepo huku upande wa mashitaka ulikuwa ukiongozwa na mawakili waandamizi Juma Mzarau, Ben Lincoln na Tabu Mzee.
Endelea kusoma habari hii............
Wednesday, April 21, 2010

Rihanna 'Okay' After Being Hospitalized For Injured Rib
Rihanna is feeling fine after being briefly hospitalized Monday night.
The singer, 22, who was taken to a private clinic after performing a concert in Zurich, Switzerland, "had an injured rib and went to have it looked at to be sure it was nothing serious, and it wasn't," her rep tells PEOPLE.
Rihanna continued the European leg of her "Last Girl on Earth" tour Tuesday night with a concert in Lyon, France, and is expected to play in Marseille on Wednesday, according to reports.
Source: People
Rihanna is feeling fine after being briefly hospitalized Monday night.
The singer, 22, who was taken to a private clinic after performing a concert in Zurich, Switzerland, "had an injured rib and went to have it looked at to be sure it was nothing serious, and it wasn't," her rep tells PEOPLE.
Rihanna continued the European leg of her "Last Girl on Earth" tour Tuesday night with a concert in Lyon, France, and is expected to play in Marseille on Wednesday, according to reports.
Source: People

'Nusu ya mawaziri wa Kikwete hawachaguliki'
Utafiti wawataja, waponzwa na kaulimbiu ya 'maisha bora'
Via Tanzania Daima
UTAFITI umeonyesha kuwa zaidi ya nusu ya mawaziri waliotajwa kuwa makamanda katika Serikali ya Awamu ya Nne wanaweza kupoteza nafasi zao za ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2010.
Kwa mujibu wa asasi isiyo ya kiserikali, Nyota, iliyofanya utafiti huo katika kipindi cha miezi sita iliyopita, hali ni tete katika majimbo ya mawaziri hao.
Mawaziri hao wako hatarini kukosa ubunge kutokana na wananchi wengi wa majimbo hayo kukosa imani nao, baada ya kaulimbinu ya ‘maisha bora kwa kila Mtanzania’ kushindwa kuonekana kwa vitendo majimboni mwao.
Taarifa ya awali iliyotolewa na Mratibu wa asasi hiyo, Vincent Kornald Mkisi, ilisema kuwa mazingira ya mawaziri na manaibu hao kupoteza nafasi zao yalianza kuonekana tangu Januari mwaka huu.
Mkisi alitaja majina ya mawaziri walio katika hali mbaya kurudi bungeni kuwa ni pamoja na Profesa Peter Msolla ambaye anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Venance Mwamoto ‘Motto’.
Duru za kisiasa zinasema kuwa Profesa Msolla alitarajia kudra za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuligawa Jimbo la Kilolo na kuwa mawili, hivyo alijipanga kuwania ubunge katika eneo la Ilula ambako anakubalika zaidi kuliko maeneo mengine.
Endelea kusoma habari hii...........
Utafiti wawataja, waponzwa na kaulimbiu ya 'maisha bora'
Via Tanzania Daima
UTAFITI umeonyesha kuwa zaidi ya nusu ya mawaziri waliotajwa kuwa makamanda katika Serikali ya Awamu ya Nne wanaweza kupoteza nafasi zao za ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2010.
Kwa mujibu wa asasi isiyo ya kiserikali, Nyota, iliyofanya utafiti huo katika kipindi cha miezi sita iliyopita, hali ni tete katika majimbo ya mawaziri hao.
Mawaziri hao wako hatarini kukosa ubunge kutokana na wananchi wengi wa majimbo hayo kukosa imani nao, baada ya kaulimbinu ya ‘maisha bora kwa kila Mtanzania’ kushindwa kuonekana kwa vitendo majimboni mwao.
Taarifa ya awali iliyotolewa na Mratibu wa asasi hiyo, Vincent Kornald Mkisi, ilisema kuwa mazingira ya mawaziri na manaibu hao kupoteza nafasi zao yalianza kuonekana tangu Januari mwaka huu.
Mkisi alitaja majina ya mawaziri walio katika hali mbaya kurudi bungeni kuwa ni pamoja na Profesa Peter Msolla ambaye anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Venance Mwamoto ‘Motto’.
Duru za kisiasa zinasema kuwa Profesa Msolla alitarajia kudra za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuligawa Jimbo la Kilolo na kuwa mawili, hivyo alijipanga kuwania ubunge katika eneo la Ilula ambako anakubalika zaidi kuliko maeneo mengine.
Endelea kusoma habari hii...........
Tuesday, April 20, 2010

Jela miaka 30 kwa kumbaka Bi kizee
MKAZI wa Kijiji cha Kitowo Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, Priscus Peter Kimario amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka bibi kizee mwenye umri wa miaka 87.
Hukumu ya kesi hiyo iliyovuta hisia za wananchi wengi wa wilayani hapa ilisomwa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya ya Rombo, Aziza Temu ambaye aliamuru pia mshitakiwa kuchapwa viko 12 na kulipa faini ya Sh100,000.
Bibi kizee huyo, Lucia Lokela alifariki dunia Oktoba 17, 2007 hata kabla ya kutoa ushahidi wake lakini mahakama ikachukua maelezo yake ya awali kuwa ushahidi, kwa mujibu wa kifungu namba 34(D) cha sheria ya ushahidi.
Upande wa mashitaka ukiongozwa na Inspekta Richard Busimba ulidai kuwa Julai 2,2007 mshitakiwa huyo alimbaka bibi kizee huyo, kitu ambacho ni kinyume na sheria ya makosa ya kujamiiana.
Tangu mwanzo wa usikilizwaji wa kesi hiyo hadi hatua ya utetezi, mshitakiwa huyo alikuwa akikanusha kutenda kosa hilo ingawa alikuwa akikiri kwamba siku hiyo na muda huo alikuwa katika kijiji hicho kwenye sherehe ya kijadi.
Hata hivyo, Hakimu Temu alisema mashahidi wanne wa upande wa mashitaka katika kesi hiyo wameithibitishia mahakama bila shaka yoyote kwamba mshitakiwa huyo ndiye mshiriki mkuu wa tukio hilo.
“Mahakama inatupilia mbali utetezi wa mshitakiwa kwa sababu upo ushahidi kuwa alikamatwa red handed (alifumaniwa) akiwa amemlalia bibi kizee huyo ambaye kwa bahati mbaya sana sasa ni marehemu,” alisema Temu.
Kwa mujibu wa hakimu huyo, mahakama ilikubaliana na hoja ya upande wa mashitaka ya kutaka kutolewa kwa adhabu kali kwa kuwa vitendo vya ubakaji na udhalilishaji wanawake na watoto ambavyo vinazidi kuongezeka kwenye jamii.
Monday, April 19, 2010

Simba kiboko yao
Simba imefanya kweli baada ya kuifunga Yanga katika mchezo ambao ulikuwa ukisubiliwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa timu zote mbili.
Kwa habari na picha za tukio hilo ingia hapa
Simba imefanya kweli baada ya kuifunga Yanga katika mchezo ambao ulikuwa ukisubiliwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa timu zote mbili.
Kwa habari na picha za tukio hilo ingia hapa
Friday, April 16, 2010

Sophia:Nimejifungua watoto watatu sina cha kuwapa
"Hivi kama msaada upo ni ufahari gani kujitangaza kuomba wakati najua kwamba watu wengi kwanza watanicheka na wengine hata kunidharau lakini yote hayo mimi sijali, muhimu ninachoona ni kuinusuru familia yangu. Najua wenye moyo safi watanisaidia."
KAMA kuna jambo ambalo wanawake wengi duniani wanalitamani ni kupata watoto na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Sophia Salum (28) mkazi wa Ukonga Mombasa, Dar es Salaam.
Lakini baada ya kujifungua watoto watatu kwa mara moja, Sabra, Sabri na Swabri mnamo Februari 5, mwaka huu, maisha ya Sophia yamebadilika. Hivi sasa anaishi kwa mashaka makubwa, akipata chochote mchana, hana uhakika wa kupata kingine usiku au kesho yake.
Licha ya kutokuwa na uhakika wa kupata lishe lakini hilo halimwondolei jukumu la kuwanyonyesha malaika hao na hilo ndilo lililomfanya kujitokeza na kupaza sauti akilia.
Nimeamua kuomba msaada kwa jamii, inisaidie kulea watoto wangu. Wanangu hawa watatu niliojifungua wana afya njema lakini sina maziwa ya kutosha kuwanyonyesha wakashiba hii inanipa simamzi nzito. Sina uwezo wa kuwanunulia maziwa ya makopo.
Endelea kusoma habari hii..............
Wednesday, April 14, 2010

Larry King Declares 8th Divorce
What a royal pain: ancient interviewer Larry King [pictured right]has filed for divorce from his wife of 13 years, Shawn Southwick, citing "irreconcilable differences." The L.A. Time's Ministry of Gossip blog noted that Southwick is King's seventh wife, but his eighth marriage because he wed and divorced wife Alene Akins twice.
Shawn Southwick, a former actress who is 26 years his junior, is now a part-time country singer under the stage name Shawn King. TMZ says she's claiming their family home in Beverly Hills as property separate from the marriage and notes that "Back in 2007, Shawn had bragged about being the only one of Larry's wives to have made it into 'the two digits.'"
"It's a very sad day in Larry's life and he hopes the divorce will be amicable," said King's attorney Susan Carter.
The couple has two sons, Chance, 11, and Cannon, 9. King is said to be requesting joint custody of the children.

Siasa na biashara kuzuiwa bungeni
WAKATI upepo wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ukiwa haujatulia hasa baada ya Mbunge wa Karatu, Dk. Wilbroad Slaa, kudai kuwa Rais Jakaya Kikwete alisaini sheria iliyochomekwa vifungu ambavyo havikujadiliwa au kupitishwa na Bunge, Muswada wa Sheria nyingine mpya ya Kutenganisha siasa na Biashara unaweza kubisha hodi katika mkutano huu wa Bunge, Raia Mwema, imeelezwa.Sheria hiyo ya kutenganisha siasa na biashara inatarajiwa kuathiri maudhui ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 iliyotungwa baada ya kuanguka kwa Azimio la Arusha, na hasa kipengele chake cha kutangaza mali kuendelea kufanywa siri na kuwa kosa la jinai kwa anayefichua siri hizo.
Tayari Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utawala Bora, Sofia Simba katika mkutano uliopita wa Bunge aliweka bayana kuwa mkutano huu ulioanza wiki hii mjini Dodoma, utajadili na hata kupitisha Muswada wa Sheria ya Kutenganisha Siasa na Biashara ambao ni pacha na Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
Muswada huo wa sheria hiyo ya siasa na biashara unakuja katika wakati ambao swali kubwa linalosubiriwa na wabunge wengi ni je, biashara gani ambayo kiongozi anazuiwa kuendelea kuifanya wakati wa utumishi wake kwa umma, ikizingatiwa kuwa viongozi wengi ambao ni pamoja na mawaziri ni wanahisa katika kampuni kubwa nchini. Hata hivyo, swali ambalo linajitokeza huku kukiwa na taarifa kuwa serikali tayari imekwishabainisha aina ya biashara husika.
Endelea kusoma habari hii............

Wabunge wauasa Ubalozi kuajiri wa Tanzania
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje ya bunge la Tanzania Wilson Massilingi amezitaka balozi za Tanzania kutoa nafasi za ajira kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi hiyo na wenye vibali vya kuwawezesha kuishi na kufanyakazi katika nchi hizo.
Akizungumza katika mahojiano maalum na idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Amerika VOA mjini Washington, Masilingi anasema itakuwa si busara kwa balozi za Tanzania kutoa ajira kwa wageni katika kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania wanaoishi katika nchi hizo.
Amewataka Watanzania kujitokeza pale inapotokea fursa ya nafasi ya kazi katika balozi za Tanzania zilizoko nje ya nchi hiyo.
Akiwa na wajumbe wenzake wa kamati ya bunge ya mambo ya nje Juma Kilimba na Khalifa Khalifa inayotembelea Marekani kukagua miundo mbinu ya balozi za Tanzania mjini Washington DC na New York mwenyekiti huyo ambaye pia ni mbunge wa Muleba mashariki amesema itakuwa ni kichekesho kwa wageni kuajiriwa hata katika kazi kama za uhudumu wa ofisi au udereva wakati wapo Watanzania wanaofanya kazi kama hizo katika nchi hizo.
Aidha Masilingi ameitaka wizara ya mambo ya nje ya Tanzania kuangalia uwezekano wa kuongeza watumishi katika ubalozi wa Tanzania mjini Washington kutokana na ofisi hiyo kukabiliwa na uchache wa watumishi ukilinganisha na kazi zilizopo.
Source: VOA
Subscribe to:
Posts (Atom)