Saturday, November 19, 2011

Orodha ya watu matajiri Afrika yatolewa

Best Blogger Tips
Jarida la Forbes limechapisha orodha ya kwanza ya watu matajiri barani Afrika.

Wa kwanza ni mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote mwenye kumiliki kampuni za saruji ambao utajiri wake unazidi dola za kimarekani bilioni 10.

Nicky Oppenheimer mwenyekiti wa kampuni ya madini ya almasi nchini Afrika Kusini, De Beers ni wa pili.

Orodha hiyo ya Forbes ina majina ya watu 40 matajiri zaidi barani Afrika ambapo utajiri wa hao wote kwa pamoja unafikia zaidi ya dola bilioni 65.


40

Paul Harris

25061
39

Markus Jooste

26050
38

Mohamed Bensalah

27041
36

Cyril Ramaphosa

27559
36

Giovanni Ravazzotti

27568
34

Adrian Gore

28047
34

Strive Masiyiwa

28051
33

Michiel Le Roux

29062
31

Chris Kirubi

30070
31

Jannie Mouton

30064
30

Mohammed Indimi

33063
29

Abdulsamad Rabiu

400NA
28

Hakeem Belo-Osagie

45056
27

Gerrit Thomas (GT) Ferreira

46063
26

Uhuru Kenyatta

50050
25

Raymond Ackerman

54580
24

Oba Otudeko

55067
23

Samih Sawiris

56054
22

Alami Lazraq

57561
21

Theophilus Danjuma

60072
20

Stephen Saad

64047
19

Shafik Gabr

73059
18

Lauritz (Laurie) Dippenaar

75063
17

Jim Ovia

77557
16

Mohamed Al Fayed

1,30078
14

Yasseen Mansour

1,55050
14

Youssef Mansour

1,55066
13

Mohamed Mansour

1,70063
12

Anas Sefrioui

1,75054
11

Othman Benjelloun

2,40079
10

Patrice Motsepe

2,50049
9

Onsi Sawiris

2,60081
8

Christoffel Wiese

2,70070
7

Naguib Sawiris

2,90057
6

Miloud Chaabi

3,00082
5

Mike Adenuga

4,30058
4

Johann Rupert & family

4,70061
3

Nassef Sawiris

4,75050
2

Nicky Oppenheimer & family

6,50066
1

Aliko Dangote

10,10054

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits