Monday, April 26, 2010

Best Blogger Tips
Denzel Washington Opens ‘Fences’ On Broadway


Family, particularly fathers and sons. Can there be a more inexhaustible topic for great playwrights?

From Shakespeare (think all those “Henry” history plays) to Arthur Miller (consider “All My Sons” and “Death of a Salesman”), the subject has been potent dramatic fodder. And in “Fences,” August Wilson made his own unmistakable, powerful contribution to the genre in what is perhaps his most personal play.

First seen in New York in 1987 with James Earl Jones, “Fences” has now returned with an equally starry actor, Denzel Washington in the lead. Washington, last on Broadway in 2005 in a production of “Julius Caesar,” acquits himself well in this blistering revival, directed with a sure, steady hand by Wilson veteran Kenny Leon. It’s a big, bold performance in a big, bold play, rife with emotion-drenched soliloquies for its star about life, love, death and the devil.

The production opened Monday at Broadway’s Cort Theatre for a limited engagement through July 11.

Washington portrays Troy Maxson, a 53-year-old black sanitation worker who once had dreams of professional baseball glory. The time is the late 1950s, when black baseball players were beginning to make names for themselves in the major white leagues. Troy came along too soon, and his aspirations died hard but his anger never cooled.

Instead, he channeled his life into his family: wife Rose (Viola Davis) and teenage son Cory (Chris Chalk). The key word here is responsibility, a word Troy reveres above all else. That responsibility runs headlong into his son’s desire to play football and win a possible college scholarship.

A clash is inevitable, and the tension builds slowly as Troy reveals details about his past life — his volatile dealings with his own father, his time in prison (a stint that cost him his first wife) and the chance to be around hisoldest son (Russell Hornsby).
Access the full story
Best Blogger Tips
Nick Cannon and Mariah Carey to Renew Their Vows … Again!

Via people.com

Renewing one's wedding vows is typically a once-in-a-lifetime experience. But Nick Cannon and Mariah Carey prefer to do it a little more frequently than that – like every year!

"I encourage everybody to do it. If you are happy and in love, celebrate it!" Cannon, 29, said Friday on his New York radio show, confirming that he and his pop-star wife, 40, will renew their vows – for a second time – to celebrate their second wedding anniversary.

"Don't everybody do that?" the America's Got Talent host asked. "Don't, like, Heidi Klum and Seal do the same thing every year? It's just something fun to celebrate. We renew our vows and exchange gifts."
Best Blogger Tips
Sherehe za Muungano katika picha

Via blog ya jamii



Friday, April 23, 2010

Best Blogger Tips
7 Things You Should Say in an Interview

Today's job market is as competitive as ever. You need to be able to effectively communicate you skill set so that you will give yourself the best competitive advantage to secure employment. During the interview process, you want to highlight as many of your strengths as possible. An easy way to do this is by slipping a few simple phrases into your next job interview. Here are seven things you should say in an interview.

1. I am very familiar with what your company does.
Letting a prospective employer know that you are familiar with what a company does shows that you have a legitimate interest in the business and are not just wasting their time. Do your homework before arriving for an interview. Check out the company website for information about products and services. Search for the latest transactions and pertinent business news.

Be sure to let the interviewer know that you are familiar with the newest company acquisition or the latest product that was just developed. Explain how your skills and experience are a perfect fit for the employer.

2. I am flexible.
Work environments are always changing. Prospective employers are looking for candidates that are open to change and can adapt at a moment's notice. In today's fast paced business world, employees must have the ability to multi-task.

Stating that you are adaptable lets an employer know that you are willing to do whatever is necessary to get the job done. This may mean working additional hours or taking on additional job duties in a crunch. Show your potential employer that you are equipped to deal with any crisis situation that may arise.
Access the full article.......

Thursday, April 22, 2010

Best Blogger Tips
Liyumba ainanga serikali

Amtupia mzigo marehemu Balali

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (62), ambaye sasa anakabiliwa na shtaka moja la matumuzi mabaya ya ofisi ya umma, amedai serikali haijui itendalo dhidi ya kesi iliyomfungulia.

Liyumba ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, izingatie ukweli wakati wa kutoa hukumu dhidi yake Mei 24 badala ya kuwasikiliza watu wasiojua watendalo.

Maneno hayo mawili ‘hawajui watendalo’ yanafanana na yale aliyotumia Yesu Kristo, anayeaminika kuwa ni Mwokozi wa waumini wa Kikristo wakati akieleza kitendo cha Wayahudi waliokuwa wakimsulubisha (Luka 23:34).

Mshtakiwa huyo jana alipanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kutoa utetezi wake mbele ya Kiongozi wa Jopo la Mahakimu Wakazi, Edson Mkasimongwa, aliyekuwa akisaidiwa na Lameck Mlacha na Benedict Mwingwa.

Kesi hiyo ambayo imevuta hisia za watu wengi ndani na nje ya jiji la Dar es Salaam ilifikishwa mahakamani hapo Januari 26 mwaka jana ambapo Liyumba alikuwa akikabiliwa na makosa mawili ambayo ni matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kuisababishia hasara serikali ya sh bilioni 221.

Hata hivyo Aprili 9 mwaka huu, mahakama hiyo ilimfutia shtaka la kuisababishia hasara serikali baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha hasara kwa namba kama ilivyokuwa ikitakiwa.

Liyumba, aliongozwa kutoa ushahidi wake na wakili mahiri wa kujitegemea Majura Magafu aliyekuwa akisaidiwa na Jaji Mstaafu Hillary Mkate, Onesmo Kyauke na Hudson Ndusyepo huku upande wa mashitaka ulikuwa ukiongozwa na mawakili waandamizi Juma Mzarau, Ben Lincoln na Tabu Mzee.
Endelea kusoma habari hii............

Wednesday, April 21, 2010

Best Blogger Tips
Rihanna 'Okay' After Being Hospitalized For Injured Rib


Rihanna is feeling fine after being briefly hospitalized Monday night.

The singer, 22, who was taken to a private clinic after performing a concert in Zurich, Switzerland, "had an injured rib and went to have it looked at to be sure it was nothing serious, and it wasn't," her rep tells PEOPLE.

Rihanna continued the European leg of her "Last Girl on Earth" tour Tuesday night with a concert in Lyon, France, and is expected to play in Marseille on Wednesday, according to reports.
Source: People
Best Blogger Tips
'Nusu ya mawaziri wa Kikwete hawachaguliki'

Utafiti wawataja, waponzwa na kaulimbiu ya 'maisha bora'

Via Tanzania Daima

UTAFITI umeonyesha kuwa zaidi ya nusu ya mawaziri waliotajwa kuwa makamanda katika Serikali ya Awamu ya Nne wanaweza kupoteza nafasi zao za ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2010.

Kwa mujibu wa asasi isiyo ya kiserikali, Nyota, iliyofanya utafiti huo katika kipindi cha miezi sita iliyopita, hali ni tete katika majimbo ya mawaziri hao.

Mawaziri hao wako hatarini kukosa ubunge kutokana na wananchi wengi wa majimbo hayo kukosa imani nao, baada ya kaulimbinu ya ‘maisha bora kwa kila Mtanzania’ kushindwa kuonekana kwa vitendo majimboni mwao.

Taarifa ya awali iliyotolewa na Mratibu wa asasi hiyo, Vincent Kornald Mkisi, ilisema kuwa mazingira ya mawaziri na manaibu hao kupoteza nafasi zao yalianza kuonekana tangu Januari mwaka huu.

Mkisi alitaja majina ya mawaziri walio katika hali mbaya kurudi bungeni kuwa ni pamoja na Profesa Peter Msolla ambaye anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Venance Mwamoto ‘Motto’.

Duru za kisiasa zinasema kuwa Profesa Msolla alitarajia kudra za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuligawa Jimbo la Kilolo na kuwa mawili, hivyo alijipanga kuwania ubunge katika eneo la Ilula ambako anakubalika zaidi kuliko maeneo mengine.
Endelea kusoma habari hii...........

Tuesday, April 20, 2010

Best Blogger Tips
Jela miaka 30 kwa kumbaka Bi kizee


MKAZI wa Kijiji cha Kitowo Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, Priscus Peter Kimario amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka bibi kizee mwenye umri wa miaka 87.

Hukumu ya kesi hiyo iliyovuta hisia za wananchi wengi wa wilayani hapa ilisomwa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya ya Rombo, Aziza Temu ambaye aliamuru pia mshitakiwa kuchapwa viko 12 na kulipa faini ya Sh100,000.

Bibi kizee huyo, Lucia Lokela alifariki dunia Oktoba 17, 2007 hata kabla ya kutoa ushahidi wake lakini mahakama ikachukua maelezo yake ya awali kuwa ushahidi, kwa mujibu wa kifungu namba 34(D) cha sheria ya ushahidi.

Upande wa mashitaka ukiongozwa na Inspekta Richard Busimba ulidai kuwa Julai 2,2007 mshitakiwa huyo alimbaka bibi kizee huyo, kitu ambacho ni kinyume na sheria ya makosa ya kujamiiana.

Tangu mwanzo wa usikilizwaji wa kesi hiyo hadi hatua ya utetezi, mshitakiwa huyo alikuwa akikanusha kutenda kosa hilo ingawa alikuwa akikiri kwamba siku hiyo na muda huo alikuwa katika kijiji hicho kwenye sherehe ya kijadi.

Hata hivyo, Hakimu Temu alisema mashahidi wanne wa upande wa mashitaka katika kesi hiyo wameithibitishia mahakama bila shaka yoyote kwamba mshitakiwa huyo ndiye mshiriki mkuu wa tukio hilo.

“Mahakama inatupilia mbali utetezi wa mshitakiwa kwa sababu upo ushahidi kuwa alikamatwa red handed (alifumaniwa) akiwa amemlalia bibi kizee huyo ambaye kwa bahati mbaya sana sasa ni marehemu,” alisema Temu.

Kwa mujibu wa hakimu huyo, mahakama ilikubaliana na hoja ya upande wa mashitaka ya kutaka kutolewa kwa adhabu kali kwa kuwa vitendo vya ubakaji na udhalilishaji wanawake na watoto ambavyo vinazidi kuongezeka kwenye jamii.

Eternity Riddim 2010

Best Blogger Tips

Monday, April 19, 2010

Best Blogger Tips
Simba kiboko yao

Simba imefanya kweli baada ya kuifunga Yanga katika mchezo ambao ulikuwa ukisubiliwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa timu zote mbili.
Kwa habari na picha za tukio hilo ingia hapa






Friday, April 16, 2010

Best Blogger Tips
Sophia:Nimejifungua watoto watatu sina cha kuwapa

 Via Mwananchi

"Hivi kama msaada upo ni ufahari gani kujitangaza kuomba wakati najua kwamba watu wengi kwanza watanicheka na wengine hata kunidharau lakini yote hayo mimi sijali, muhimu ninachoona ni kuinusuru familia yangu. Najua wenye moyo safi watanisaidia."

KAMA kuna jambo ambalo wanawake wengi duniani wanalitamani ni kupata watoto na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Sophia Salum (28) mkazi wa Ukonga Mombasa, Dar es Salaam.

 Lakini baada ya kujifungua watoto watatu kwa mara moja, Sabra, Sabri na Swabri mnamo Februari 5, mwaka huu, maisha ya Sophia yamebadilika. Hivi sasa anaishi kwa mashaka makubwa, akipata chochote mchana, hana uhakika wa kupata kingine usiku au kesho yake.

 Licha ya kutokuwa na uhakika wa kupata lishe lakini hilo halimwondolei jukumu la kuwanyonyesha malaika hao na hilo ndilo lililomfanya kujitokeza na kupaza sauti akilia.

Nimeamua kuomba msaada kwa jamii, inisaidie kulea watoto wangu. Wanangu hawa watatu niliojifungua wana afya njema lakini sina maziwa ya kutosha kuwanyonyesha wakashiba hii inanipa simamzi nzito. Sina uwezo wa kuwanunulia maziwa ya makopo.
Endelea kusoma habari hii..............

Wednesday, April 14, 2010

Best Blogger Tips
Larry King Declares 8th Divorce


What a royal pain: ancient interviewer Larry King [pictured right]has filed for divorce from his wife of 13 years, Shawn Southwick, citing "irreconcilable differences." The L.A. Time's Ministry of Gossip blog noted that Southwick is King's seventh wife, but his eighth marriage because he wed and divorced wife Alene Akins twice.
Shawn Southwick, a former actress who is 26 years his junior, is now a part-time country singer under the stage name Shawn King. TMZ says she's claiming their family home in Beverly Hills as property separate from the marriage and notes that "Back in 2007, Shawn had bragged about being the only one of Larry's wives to have made it into 'the two digits.'"
"It's a very sad day in Larry's life and he hopes the divorce will be amicable," said King's attorney Susan Carter.
The couple has two sons, Chance, 11, and Cannon, 9. King is said to be requesting joint custody of the children.
Best Blogger Tips

Siasa na biashara kuzuiwa bungeni

WAKATI upepo wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ukiwa haujatulia hasa baada ya Mbunge wa Karatu, Dk. Wilbroad Slaa, kudai kuwa Rais Jakaya Kikwete alisaini sheria iliyochomekwa vifungu ambavyo havikujadiliwa au kupitishwa na Bunge, Muswada wa Sheria nyingine mpya ya Kutenganisha siasa na Biashara unaweza kubisha hodi katika mkutano huu wa Bunge, Raia Mwema, imeelezwa.

Sheria hiyo ya kutenganisha siasa na biashara inatarajiwa kuathiri maudhui ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 iliyotungwa baada ya kuanguka kwa Azimio la Arusha, na hasa kipengele chake cha kutangaza mali kuendelea kufanywa siri na kuwa kosa la jinai kwa anayefichua siri hizo.

Tayari Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utawala Bora, Sofia Simba katika mkutano uliopita wa Bunge aliweka bayana kuwa mkutano huu ulioanza wiki hii mjini Dodoma, utajadili na hata kupitisha Muswada wa Sheria ya Kutenganisha Siasa na Biashara ambao ni pacha na Sheria ya Gharama za Uchaguzi.

Muswada huo wa sheria hiyo ya siasa na biashara unakuja katika wakati ambao swali kubwa linalosubiriwa na wabunge wengi ni je, biashara gani ambayo kiongozi anazuiwa kuendelea kuifanya wakati wa utumishi wake kwa umma, ikizingatiwa kuwa viongozi wengi ambao ni pamoja na mawaziri ni wanahisa katika kampuni kubwa nchini. Hata hivyo, swali ambalo linajitokeza huku kukiwa na taarifa kuwa serikali tayari imekwishabainisha aina ya biashara husika.
Endelea kusoma habari hii............

 

Best Blogger Tips
Wabunge wauasa Ubalozi kuajiri wa Tanzania

Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje ya bunge la Tanzania Wilson Massilingi amezitaka balozi za Tanzania kutoa nafasi za ajira kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi hiyo na wenye vibali vya kuwawezesha kuishi na kufanyakazi katika nchi hizo.

Akizungumza katika mahojiano maalum na idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Amerika VOA mjini Washington, Masilingi anasema itakuwa si busara kwa balozi za Tanzania kutoa ajira kwa wageni katika kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania wanaoishi katika nchi hizo.

Amewataka Watanzania kujitokeza pale inapotokea fursa ya nafasi ya kazi katika balozi za Tanzania zilizoko nje ya nchi hiyo.

Akiwa na wajumbe wenzake wa kamati ya bunge ya mambo ya nje Juma Kilimba na Khalifa Khalifa inayotembelea Marekani kukagua miundo mbinu ya balozi za Tanzania mjini Washington DC na New York mwenyekiti huyo ambaye pia ni mbunge wa Muleba mashariki amesema itakuwa ni kichekesho kwa wageni kuajiriwa hata katika kazi kama za uhudumu wa ofisi au udereva wakati wapo Watanzania wanaofanya kazi kama hizo katika nchi hizo.

  Aidha Masilingi ameitaka wizara ya mambo ya nje ya Tanzania kuangalia uwezekano wa kuongeza watumishi katika ubalozi wa Tanzania mjini Washington kutokana na ofisi hiyo kukabiliwa na uchache wa watumishi ukilinganisha na kazi zilizopo.
Source: VOA

Sunday, April 11, 2010

Best Blogger Tips
Arobaini ya Saidaty Mfilinge, R.I.P

We love you but Allah loves you more.














Picha kwa hisani ya Yusuph Hamidu
Best Blogger Tips
Former NBA star in the poorhouse


It's not a good time to be a hyper-skilled forward who never really made the most of their considerable talent. First, it was Antoine Walker(notes), his casino debts, and a short stint in Puerto Rico. Now, it's Derrick Coleman, failed business investments, and fur coats.

According to the Wall Street Journal's Bankruptcy Beat, Coleman has filed for bankruptcy and owes creditors $4.7 million, most of which he lost in failed attempts to stimulate Detroit's struggling local economy. His lawyer Mark B. Berke explained the reasons for Coleman's financial struggles.

"Mr. Coleman was focused on investing in various communities throughout the city of Detroit by developing real estate, creating jobs and revitalizing business opportunities," Berke said. "Due to the state of the economy, including the decline in the real estate market, Mr. Coleman's investments could not be sustained."

According to Basketball Reference, Coleman made more than $87 million during his 15 year career with the Nets, 76ers, Hornets, and Pistons. But now he has only about $1 million in assets, including a 1997 Bentley convertible, five fur coats, and $3,000 in jewelry. Not exactly appreciating assets.
Read the rest of this story.............

Wednesday, April 7, 2010

Best Blogger Tips
Dallas Easter Party










Tuesday, April 6, 2010

Best Blogger Tips
JK ampa U-DC 'hasimu' wa Sophia Simba

Via Mwananchi

RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa wilaya nchini kwa kumfukuza aliyeshindwa kusimamia sera ya Kilimo Kwanza, huku akimteua tena Husna Mwilima, ambaye alijikuta kwenye uhasama na Sophia Simba katika kipindi kifupi alichofanya naye kazi kwenye Umoja wa Wanawake wa CCM.

Mwilima, ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, na Martin Shigela, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Lindi, waliteuliwa kuwa makatibu wa jumuiya za CCM za vijana na wanawake mapema mwaka jana, lakini Husna akajikuta kwenye mgogoro mkubwa ambao vyombo vya habari viliripoti kuwa ulitokana na tofauti kati yake na Simba, ambaye ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Utawala Bora).

Mgogoro huo uliishia kwa UWT kutangaza kusimamishwa kwa Mwilima mwishoni mwa mwezi Februari ikieleza kuwa uamuzi huo ulifanywa na baraza kuu la umoja huo baada ya kuridhika kuwa kulikuwa na udhaifu katika utendaji wake, huku ikikanusha kuwepo kwa tofauti kati yake na Simba.

Lakini jana, taaaarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imeeleza mabadiliko yaliyofanywa na rais, yakiwemo ya kumrejesha Mwilima kwenye ukuu wa wilaya, yanalenga kuongeza ufanisi.

Akitangazwa kusimamishwa kwa Mwilima, makamu mwenyekiti wa UWT, Asha Bakari Makame alisema uamuzi huo ulifikiwa katika kikao cha Baraza la UWT kilichofanyika Dodoma Novemba 17 hadi 20 mwaka jana.

Alisema Baraza lilimsimamisha kwa kuwa msingi wa UWT ni maadili ya kiutendaji na ukweli, kwa kuwa jumuiya hiyo ndio mama na baba wa CCM.
Kwa habari zaidi ingia hapa.........

Friday, April 2, 2010

Best Blogger Tips
JK awapoza hasira wafanyakazi nchini

Via Tanzania Daima

RAIS Jakaya Kikwete amelisihi Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) lisiitishe mgomo wa wafanyakazi kwa nchi nzima kama lilivyotangaza, bali wakae kwenye meza ya mazungumzo na serikali kwa lengo la kumaliza tofauti zao na kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Katika hotuba yake ya kila mwezi kwa taifa iliyotolewa jana, Rais Kikwete alisema ametishwa na kauli za viongozi wa TUCTA kuhusu mgomo ulioitishwa unaotarajiwa kuanza Mei 5, akisema iwapo utafanyika, unaweza kuwa na athari kubwa kwa taifa.

Aliongeza kuwa miongoni mwa mambo yaliyomshtua ni kauli za jazba na kejeli za baadhi ya viongozi wa TUCTA, jambo lililomfanya achelee kulizungumzia kwa hofu ya kuingizwa katika zogo la kutupiana maneno.

Hata hivyo, alionya kuwa iwapo mgomo huo utafanyika, shughuli zote nchini zinazofanywa na watu walioajiriwa zitasimama kwa muda usiojulikana kuanzia siku hiyo, jambo ambalo limemfanya awasihi wasitishe mgomo wao.

“Nawasihi viongozi wa TUCTA kuufikiria upya uamuzi wao, waachane na mgomo na wakubali kufanya mazungumzo na serikali na waajiri wengine kwa kutumia mfumo uliopo kisheria.

“Nawasihi tuchague kuzungumza sasa kuliko kuzungumza baada ya mgomo kwani kuna hatari ya mahusiano yetu kuchafuliwa na misuguano inayotokana na mgomo,” alisema.

Rais Kikwete alidokeza kwamba serikali inawajali na kuwathamini wafanyakazi wa sekta ya umma au binafsi na mara kadhaa kumekuwa na hatua za kuboresha maslahi yao.

Alisema tangu iingie madarakani, serikali imeongeza mshahara wa kima chini mara tatu kuanzia mwaka 2006 kutoka shilingi 65,000 hadi 104,000 sasa, na hivi sasa inajiandaa kuongeza tena katika bajeti ijayo.
Endelea kusoma habari hii..........
Best Blogger Tips
Wabunge wataka rais anunuliwe ndege nyingine

Via Mwananchi

WAKATI kelele kuhusu gharama za ndege ya rais zikiwa hazijapata majibu ya kuridhisha, Kamati ya Bunge ya Miundombinu sasa inataka mkuu huyo wa nchi anunuliwe ndege nyingine mpya kwa ajili yake na viongozi wengine.

Wabunge hao wanataka ndege hizo zitumike kwenye majanga ya kitaifa.Wabunge wa kamati hiyo walitoa ushauri huo licha ya kupewa taarifa fupi ya Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), iliyoeleza kuwa taasisi hiyo inaidai serikali deni linalofikia Sh6 bilioni.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mohammed Missanga alibainisha hayo jana mbele ya waandishi wa habari kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam ambako vikao vya kamati mbalimbali za bunge vinaendelea.

"Labda niseme 'observation', yetu (tulichokiona), sijui nisemeje lakini, haya ni ya ndani. Kwa kifupi tumeridhishwa na ufanisi wa wakala hasa suala la usalama. Kwa upande wa ushauri tumeishauri TGFA kuwe na helkopta itakayotumika na viongozi wa kitaifa, kuwezesha kutua hata pasipo na uwanja wa ndege," alisema Misanga.

Alifafanua kuwa pamoja na helkopta, tunashauri serikali inunue ndege mbili ili ziwe mbadala wa ndege nyingine mbili aina ya Fokker 28 na Fokker 50 ambazo ni za siku nyingi.

“Kwa mujibu wa taarifa ya TGFA tumegundua kuna ndege mbili za siku nyingi, Fokker 28 na Fokker 50, ingawa bado zinafanya kazi vizuri, ushauri wa kamati ni kuwa serikali inunue ndege nyingine ‘kureplace’ (mbadala wa hizo) hizo kwani zimetimiza muda wa kubadilishwa," alisema Missanga.

"Tunatahadharisha katika ununuzi huo isitokee kama ilivyokuwa kwa ndege ya rais. Zinunuliwe zinazoweza kutua viwanja vingi kulingana na mazingira ya nchi."

Taarifa iliyowasilishwa na ofisa mtendaji wa TGFA , Keenan Mhaiki inaonyesha kuwa Fokker 28, iliyonunuliwa mwaka 1978, ina zaidi ya miaka 30 na kwamba imeruka asilimia 48 ya saa zilizotarajiwa kitaalamu.
Endelea kusoma habari hii.........
Best Blogger Tips
'Serikali hii kiziwi'

Via Raia mwema

UAMUZI wa Mbunge wa Kishapu, Fred Mpendazoe, kutangaza nia ya kujiuzulu ubunge na uanachama wa CCM na kujiunga na Chama Cha Jamii (CCJ) kama ilivyoandikwa kwa mara ya kwanza na Raia Mwema kwamba nyuma ya chama hicho kuna vigogo wa CCM, kimezidi kukitikisa chama hicho kikongwe nchini kinachozongwa na baadhi ya viongozi wenye tuhuma za ufisadi, ikielezwa orodha ya watakaohama ni ndefu na vigezo vinavyosubiriwa ni muda na ‘jukwaa’ muafaka.

Katika hatua yake ya kutangaza nia hiyo jana Jumanne, Mpendazoe aliita Serikali ya sasa kuwa ni kiziwi kwa kilio cha wananchi, ikibaki kusikiliza zaidi wafanyabiashara na matajiri haramu na wakati huo huo, akisema Kamati ya Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi ya kusuluhisha wabunge wa CCM ni upotezaji muda.

Lakini wakati hayo yakiendelea kwa upande wa Mpendazoe, Makamu Mwenyekiti wa CCM – Tanzania Bara, Pius Msekwa, katika hali isiyokuwa ya kawaida, amelazimika kuweka bayana kuwa kikao cha Kamati Kuu ya chama chake, kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, hakikujadili kumfukuza mwanachama yeyote, kwa sababu yoyote.

Mpendazoe alitangaza jana Jumanne, jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo), mbele ya waandishi wa habari, uamuzi wake huo wa kujivua uanachama wa CCM na ubunge. Miongoni mwa sababu za kujiengua alizozitaja ni pamoja na CCM kupoteza dira, sababu ambazo ziliwahi kuzungumzwa na aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba.

Kolimba alitoa kauli hiyo akiwa bado ndani ya CCM, kauli ambayo ilimgharimu kiasi cha kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya CCM, ambako kutokana na sababu za kiafya, alianguka na kukimbizwa hospitalini na baadaye kupoteza maisha.
Endelea kusoma habari hii.........

Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits