Wednesday, March 31, 2010

Best Blogger Tips
SAKATA LA KUHAMIA CCJ: Mtoto wa JK ajitosa kwa Mpendazoe

HATUA ya mbunge wa Kishapu Fred Mpendazoe kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Jamii (CCJ) imekipa kiwewe chama hicho tawala baada ya makada wake kutoa kauli zinazoashiria kumkebehi huku Ridhiwan Kikwete akiwatoa hofu wanachama wa chama chake.

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Mohammed Mbonde, aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa mikoa wa CCM, Pancras Ndejembi, mtoto wa Rais Kikwete, Ridhiwan na wapigakura wa Jimbo la Kishapu jana walitoa kauli zinazotofautiana kuhusu uamuzi huo wa kihistoria.

Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM, Ridhiwan Kikwete alisema kujiondoa kwa Mpendazoe kumeonyesha kuwa wananchi walikuwa na mbunge wa aina yake na kuwasihi wamwache aende zake.

Ridhiwan ambaye alikuwa katika ziara ya siku mbili mkoani Shinyanga kuhudhuria sherehe za kusimikwa kwa makamanda wa UVCCM wa wilaya, ziara ambayo imefanyika siku moja baada ya mbunge huyo kutangaza kuihama CCM na kujiunga na CCJ.

Alisema kuondoka kwa mbunge huyo kutoka CCM na kukimbilia CCJ ni kielelezo cha aina ya viongozi ambao wamekuwa mzigo kwa chama ambao wamekuwa wakipendekezwa na kuteuliwa kuongoza.

"Mwacheni aende Mpendazoe, kuondoka kwake kusitufanye kukosa raha sisi CCM, wapo wengi waliondoka na chama bado kipo imara, muhimu kusonga mbele,” alieleza.

Alisema Mpendazoe alikuwa akifanya mambo mengi kinyume na kanuni za chama na kuwaomba wananchi kutulia na kuangalia viongozi wengine, lakini akisisitiza kuwa walio makini na siyo wale wa kuja.

Ridhiwan alisema kuondoka kwa Mpendazoe kunapaswa kuwa fundisho kwao kuchagua viongozi wenye sifa za uongozi na wenye uwezo wa kuongoza na kutamba kuwa chama kinao wanachama wengi, hivyo wanaoondoka kwa sababu zao wajue kuwa CCM itaendelea kubaki pale pale bila ya kutetereka.
Endelea kusoma habari hii..........

Monday, March 29, 2010

Best Blogger Tips
Ricky Martin: ‘I Am A Fortunate Homosexual Man’

Via accesshollywood.com

After years of keeping quiet about his personal life, pop star Ricky Martin has announced that he is gay.

“I am proud to say that I am a fortunate homosexual man,” Ricky said in a message posted on his offical Web site. “I am very blessed to be who I am.”

Ricky said writing his memoir and thinking about his two twin sons led him to go public.

“To keep living as I did up until today would be to indirectly diminish the glow that my kids where [sic] born with. Enough is enough. This has to change. This was not supposed to happen 5 or 10 years ago, it is supposed to happen now. Today is my day, this is my time, and this is my moment,” he wrote.

Though the 38-year-old kept his sexuality private throughout most of his career, Ricky said he drew strength from that time.

“These years in silence and reflection made me stronger and reminded me that acceptance has to come from within and that this kind of truth gives me the power to conquer emotions I didn’t even know existed,” he continued. “What will happen from now on? It doesn’t matter. I can only focus on what’s happening to me in this moment. The word “happiness” takes on a new meaning for me as of today. It has been a very intense process. Every word that I write in this letter is born out of love, acceptance, detachment and real contentment. Writing this is a solid step towards my inner peace and vital part of my evolution.”


Earlier this month, Barbara Walters told The Toronto Star that her 2000 interview with the “Livin’ La Vida Loca” singer, where she grilled him about coming out, was a misstep on her part.

“In 2000, I pushed Ricky Martin very hard to admit if he was gay or not, and the way he refused to do it made everyone decide that he was,” she told The Toronto Star. “A lot of people say that destroyed his career, and when I think back on it now, I feel it was an inappropriate question.”

Ricky also Tweeted a link to his coming out announcement on his Web site, simply writing, “my life.”

In an earlier Tweet on Monday, the singer posted a quote attributed to the late Dr. Martin Luther King Jr.

“Our lives begin to end the day we become silent about things that matter. M.L.K.Jr.,” he wrote

Sunday, March 28, 2010

Best Blogger Tips
Ndesamburo-Hata mchange bilioni moja nitawashinda

via Mwananchi

MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) amejibu mapigo akisema hata kama CCM itaendesha harambee na kupata Sh1 bilioni bado haitaweza kumng’oa kwenye jimbo hilo .

Kauli ya Ndesamburo inatokana na taarifa zilizowakariri viongozi wa CCM mkoani hapa wakisema kuwa Mei mwaka huu wataendesha harambee kubwa ili zipatikane Sh500 milioni kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu.

Sehemu kubwa ya fedha za harambee hiyo ambayo mwenyekiti wa CCM,Jakaya Kikwete anatarajiwa kuiendesha, zimepangwa kuelekezwa kwenye Jimbo la Moshi Mjini ambalo Ndesamburo amekuwa akilishikilia tangu mwaka 2000.

Lakini Ndesamburo aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa jitihada hizo hazitaweza kumng'oa hata kama watachangisha fedha zaidi ya hizo walizopanga.

“Nawaambia hao CCM hata wakikusanya Sh1 bilioni na viongozi wao wote wakahamia Moshi, bado hawataning’oa; nawaomba wananchi wajiandae kula fedha hizo kwa sababu ni jasho lao,” alisema Ndesamburo.

Ndesamburo alimuomba Rais Kikwete kutoingia katika mtego huo hasa ikizingatiwa ndio kwanza amesaini Sheria ya Udhibiti wa Fedha katika Uchaguzi ambayo pia inalenga kudhibiti ushawishi wa kutumia fedha kwa wananchi wakati wa uchaguzi.

Naye mbunge wa viti maalumu (Chadema), Lucy Owenya alionyesha kushangazwa na hatua ya CCM kutafuta Sh500 milioni za kampeni wakati hali ya huduma katika Hospitali ya Mkoa ya Mawenzi ni mbaya.
Endelea kusoma habari hii..........

Friday, March 26, 2010

Best Blogger Tips
Beyoncé and Jay-Z Not Expecting a Baby

Via people.com

Fans who can't wait to see Beyoncé Knowles and Jay-Z start a family will have to be patient.

Despite an online report that the singer is pregnant, Beyoncé's rep tells PEOPLE the story is "not true."

In the past, Knowles, 28, has spoken about her desire to start a family with her husband, 40. "I hope that those things will just happen naturally," she told Allure magazine for its February issue.

The pair, who were married in a secret ceremony, celebrate their second anniversary April 4.
Best Blogger Tips
Arenas avoids jail


Suspended Washington Wizards star Gilbert Arenas was ordered Friday to spend 30 days in a halfway house for his conviction on gun charges stemming from a locker-room confrontation with a teammate.

District of Columbia Superior Court Judge Robert E. Morin also sentenced Arenas to 400 hours of community service, which cannot be conducted at basketball clinics, and a $5,000 fine.

Arenas apologized in court for his actions, saying, "Every day, I wake up wishing it did not happen."

Arenas pleaded guilty to violating the city's gun laws in a Dec. 21 incident at Verizon Center. After an argument over an unpaid gambling debt, Arenas brought several guns to the team locker room and set them in front of Javaris Crittenton's locker with a sign telling him to "PICK 1."

"The evidence is that both of you felt disrespected," Morin told Arenas of the dispute over a few hundred dollars' debt from a poker game. "Rather than acting like mature adults, you escalated the incident" by bringing guns to practice.

In court papers, prosecutors said Crittenton had a legitimate reason to believe Arenas' threat was genuine.

Prosecutors wanted Arenas to go to jail for at least three months. They said he lied repeatedly about why the guns were in the locker room and even tried to cover up what had happened. They also said he knew bringing guns into D.C. was illegal and has a prior gun conviction.

U.S. Attorney Christopher Kavanaugh wrote in court papers that "if any other individual -- without the fame, power, and the wealth of this defendant -- brought four firearms into Washington, D.C., for the purpose of a similar confrontation," they would surely go to jail.
Read the rest of this story........
Best Blogger Tips
Annan hajaridhishwa na hatua za viongozi wa Kenya

Via VOA News

Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa bwana Kofi Annan, amesema anasikitika kwamba serikali ya Kenya pamoja na bunge la taifa zimeshindwa kuunda mahakama nchini humo kusikiliza kesi za walohusika na ghasia zilizotokea baada ya uchaguzi mwaka 2008.

Akiwahutubia waandishi wa habari muda mfupi baada ya kumaliza ziara yake ya siku 3 mjini Nairobi, bwana Kofi Annan amesema kufikia mwishoni mwa mwezi huu majaji wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu-ICC huko The Haque, wanatarajiwa kutoa uamuzi wao ikiwa uchunguzi utaanzishwa rasmi dhidi ya washukiwa wa mauaji na ghasia hizo ambazo zilipelekea watu kukosa makazi.

Amesema kile anachoelewa ni kwamba majaji wanatoa uamuzi wao wiki ijayo na tutapata habari kamili juu ya nini kinachoendelea. Bwana Kofi Annan ambaye alitekeleza wajibu mkubwa kuwapatanisha viongozi wakuu nchini Kenya, Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu Raila Odinga, punde tu baada ya uchaguzi huo uliokuwa na utata.
Best Blogger Tips
Muungano wa upinzani washinda kura Iraq

Via BBC

Muungano wa vyama vinavyomuunga mkono aliyekuwa Waziri Mkuu wa Iraq Iyad Allawi vinaongoza kwa idadi ya viti katika uchaguzi wa ubunge.

Muungano huo umepata viti 91 dhidi ya 89 vya chama kinachoongozwa na Waziri Mkuu wa sasa Nouri Maliki.

Matokeo hayo yamewashangaza wengi na kumwacha Bwana Maliki akinung’unika akisema sharti kura zihesabiwe upya na kwamba ataendelea  na mipango yake ya kuunda serikali mpya.

Tayari mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq ameyataja matokeo hayo kuwa ya kuaminika na akawahimiza raia wa Iraq kuyakubali.

Itambidi Bwana Allawi kuunda serikali ya muungano huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda matokeo hayo yakazusha machafuko.

Muda mfupi kabla ya matokeo hayo kutangazwa, kulitokea milipuko miwili ya mabomu kwenye mji wa Khalis na kuwaua watu wapatao 40.

Wednesday, March 24, 2010

Best Blogger Tips
Happy days are here again

Via NBA.com

The 'D' is for development. Not demotion.

"It's right there in the name," Memphis coach Lionel Hollins said of the NBA Development League. "I don't know why more teams don't use it to help players develop."

That's what the Grizzlies did when they shipped 7-foot-3 center Hasheem Thabeet out to the Dakota Wizards of the D-League for a brief stint. What they got back to their lineup was a rookie who played with more power, more energy and perhaps a better understanding of what it's going to take to one day succeed in the NBA.

The experience helped a lot," Thabeet said. "Just to be able to go out onto the court and run with the guys and get into the rhythm of a game situation. When they sent me to the D-League, I was on a mission."

The Grizzlies' mission was to finally jumpstart Thabeet's game and get more out of the player they had selected with the No. 2 overall pick in the 2009 Draft.

Through the first 49 games that he played this season, Thabeet had been underwhelming and sank to third on the Memphis depth chart at center. He was not aggressive enough around the basket and, of greater concern, had demonstrated a work ethic that was often lacking.

We worked with Thabeet all summer, all fall, then we go to training camp and we're forming our team and trying to win and rookies don't normally play well," Hollins said. "So on nights that he plays well, he gets more minutes and on nights that he doesn't, he doesn't. It comes to a point where they go into a shell and they don't do anything right and you need to sit them.

Best Blogger Tips
WIZI KWENYE MABENKI: Watu kumi wanaswa kwa wizi wa kimafia

Via Mwananchi

WAKATI habari za wizi wa kimafia wa Sh300 bilioni zikiwa zimeistua serikali, watu kumi wamekamatwa kwa tuhuma za wizi mwingine wa aina hiyo uliohusisha Sh360 milioni za benki moja nchini.

Kukamatwa kwa watu hao kumetokea siku moja baada ya gazeti la Mwananchi kuripoti wizi huo mkubwa unaotumia teknolojia ya mawasiliano ya kompyuta ambao ulifanyika kwenye benki nne kubwa nchini, taarifa iliyofanya Mamlaka ya Mapato (TRA) kuanza uchunguzi.

Mbali na taarifa za kukamatwa kwa watu hao, vyombo vya habari pia vimeripoti kukamatwa kwa  mfanyabiashara mmoja aliyekuwa akifanya jaribio la kuiba kimafia Sh221 milioni kutoka benki ya NBC.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ambazo zilithibitishwa na msemaji wa Jeshi la Polisi, Kamishna Msaidizi Abdallah Msika zinasema watu hao walikamatwa kati ya Februari na Machi, katika msako wa jeshi hilo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Shinyanga na Zanzibar.

Kukamatwa kwa watu hao kumetokea wakati benki zimekuwa zikihaha kubadili na kuboresha mifumo yake ya kuchukua na kutoa fedha kwa njia ya elektroniki kwa lengo la kukabiliana na uhalifu uliokithiri unaofanywa na watu walio ndani na nje ya nchi.
Endelea kusoma habari hii.......

Tuesday, March 23, 2010

Best Blogger Tips
Janet Jackson: Tyler Perry Was There for Me After Michael's Death


via people.com

Janet Jackson says film director Tyler Perry was a major source of support when her brother Michael died unexpectedly last June – repeatedly checking on her and even halting work on the movie they were making together.

"He actually stopped production and was there for me," Jackson, 43, told PEOPLE on Monday at the New York premiere of Perry's new film, Why Did I Get Married Too? "[He was] constantly calling me, making sure I was OK, making sure that there wasn't anything that I needed or my family needed."

He is "such a sweetheart," she added, "so giving and so loving."

Perry, 40, asked Jackson if she wanted to take a few weeks off, but in the end she returned to the Bahamas set the day after Michael's funeral. "Once I spoke to her and found out that she was at a place of strength and going to be with her family, I felt safe enough to know that she was going to be OK," he told PEOPLE.
Read the rest of this story.........
Best Blogger Tips
Son leaves note at Ted Kennedy's grave

Rep. Patrick Kennedy told his father, the late Sen. Edward Kennedy, the news that his lifelong pursuit of health care reform had been accomplished. On a note left at his father's grave, the Kennedy wrote "Dad, the unfinished business is done."

Best Blogger Tips
Rais wa Namibia Hifikepunye Pohamba akimkabidhi Nishani ya juu ya Taifa la Namibia, Mama Maria Nyerere kwa niaba ya Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kutambua juhudi za Mwalimu katika ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Namibia katika hafla maalumu iliyofanyika Windhoek juzi, Kushoto ni mtoto wa Mwalimu Makongoro(Picha na Fredy Maro)

Best Blogger Tips
Obama signs health care bill into law

President Barack Obama, greeted by applause from enthusiastic backers of his health care reform legislation, said, "Today after almost a century of trying, today after over a year of debate, today after all the votes have been tallied, health insurance reform becomes law in the United States of America."

Monday, March 22, 2010

Best Blogger Tips
Could MJ deal turnaround music industry?

Throughout the 1990s, as CDs flew off the shelves, record labels routinely signed big artists to multimillion-dollar recording contracts. Some of it was vanity: labels paid a premium to keep a big-name artist rather than risk a few wisecracks in the press for letting a star go to a rival.

And despite the precipitous drop in album sales in the last decade — about 50 percent fewer albums were sold in 2009 than in 2000 — major deals continued apace, often with bad endings. Mariah Carey’s five-record, $80 million deal with EMI in 2001 lasted one record before the label paid the singer $28 million to get out of the contract.

“If you went back 10 or 20 years ago, you could afford to do a deal that was a little outrageous,” said Russ H. Crupnick, a senior entertainment analyst at the NPD Group, a market research firm. A label’s midlevel acts could sell enough albums to cushion the financial blow. But as the number of platinum-selling albums has dwindled, from 179 in 2000 to 45 in 2009, the labels have little padding left.

“These days, it’s hard,” Mr. Crupnick said. “You can’t afford to be as generous as you might have just to have a name on the roster.”

Nevertheless, early last week Sony’s Columbia Epic Label Group, which worked with Michael Jackson for more than 30 years, announced a deal with the pop star’s estate worth up to $250 million, perhaps the largest in history.
Read the rest of this entry...........
Best Blogger Tips
Sitta apuuza tuhuma dhidi yake, adai ni mchezo mchafu

BAADA ya kurushiwa tuhuma kadhaa, Spika wa Bunge la Muungano, Samuel Sitta amejitokeza na kudai kuwa amebaini kuna ni mchezo mchafu wa kutaka kumchafua katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.


Sitta, ambaye ameliongoza Bunge katika kipindi ambacho kashfa nyingi zimeibuliwa dhidi ya serikali na watendaji wake, amesema baada ya kubaini hilo sasa hatajibizana na kila mtu anayeibuka kumshambulia.

Spika Sitta ametoa kauli hiyo katika kipindi ambacho amekuwa akishambuliwa na watu mbalimbali huku sakata la utoaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura kwa kampuni ya Richmond Development LLC likitafsiriwa kuwa linatokana na tofauti baina yake na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Huku uchaguzi mkuu ukikaribia, katika tuhuma za karibuni, Sitta amejikuta akituhumiwa kufanya matumizi mabaya ya ofisi yake, ikiwa ni pamoja na ununuzi wa samani za ofisi pamoja na kujipangishia nyumba kwa gharama kubwa.

Lakini Sitta alipuuza hoja hizo akisema kuwa zinatolewa kwa lengo la kumchafua, huku ofisi yake ikitoa ufafanuzi wa tuhuma zote katika majibu ya maswali iliyotumiwa na gazeti hili.

"Aaa nimebaini kuna ni mchezo mchafu tu dhidi yangu, mambo mengi yanayosemwa tayari yalikwishafafanuliwa na ofisi yangu," alisema Spika Sitta, ambaye ni mbunge wa jimbo la Urambo Mashariki.
Endelea kusoma habari hii........

Sunday, March 21, 2010

Best Blogger Tips
Congress passes landmark health care reform bill


President Barack Obama won a historic victory in the struggle for health care reform Sunday as the House of Representatives passed a sweeping bill overhauling the American medical system.

The bill passed in a 219-212 vote after more than a year of bitter partisan debate. All 178 Republicans opposed it, along with 34 Democrats.

The measure, which cleared the Senate in December, will now go to Obama's desk to be signed into law. It constitutes the biggest expansion of federal health care guarantees since the enactment of Medicare and Medicaid more than four decades ago.

A separate compromise package of changes expanding the reach of the measure also passed the House over unanimous GOP opposition, and is now set to be taken up by the Senate.

The overall $940 billion plan is projected to extend insurance coverage to roughly 32 million additional Americans. It represents a significant step toward the goal of universal coverage sought by every Democratic president since Harry Truman.

Most Americans will now be required to have health insurance or pay a fine. Larger employers will be required to provide coverage or risk financial penalties. Total individual out-of-pocket expenses will be capped and insurers will be barred from denying coverage based on gender or pre-existing conditions.

The compromise package would add to the bill's total cost partly by expanding insurance subsidies for middle- and lower-income families. The measure would scale back the bill's taxes on expensive insurance plans.


Numerous House members insisted they would not vote for the Senate bill without a clear promise that senators would approve the changes.

"This is what change looks like," Obama said shortly after the votes. The passage of health care reform is "not a victory for any one party. ... It's a victory for the American people and it's a victory for common sense."
Read the rest of this entry......
Best Blogger Tips
Bilioni 300 zaibiwa kimafia Dar

WATU wasiofahamika wameghushi nyaraka za malipo na kuiba zaidi ya Sh300 bilioni katika benki tatu kubwa nchini na kusababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya fedha, uchunguzi umeonyesha.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa gazeti hili, fedha hizo ziliibwa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni kabisa mwa mwaka huu, kwa njia ya mtandao wa kompyuta na kuhusisha wezi wa kimataifa ndani na nje ya nchi.

Tukio hilo ambalo ni kubwa kuwahi kutikisa sekta ya fedha nchini tangu uhuru mwaka 1961, limetokea katika kipindi cha takribani miaka miwili tangu serikali ianzishe kitengo maalumu cha Intelejensia cha kufuatilia Mzunguko wa Fedha chafu (FIU).

Licha ya kuwepo FIU, ambayo iliundwa pamoja na Sheria ya Kupambana na Fedha Chafu ya mwaka 2007, uchunguzi wa Mwananchi, umebaini kutokea wizi huo mkubwa katika benki hizo.

Uchunguzi huo umebaini kwamba, taarifa za awali zinaonyesha fedha hizo ambazo ni mara tatu ya zile za EPA zilizoibwa katika Benki Kuu Tanzania (BoT), zilihamishwa kwa njia ya kompyuta kwa kughushi malipo kwenda kwa wahusika wa mtandao huo katika nchi za Hong Kong, Uingereza na Marekani ambako Polisi wa Kimataifa wa nchini na wenzao wanahaha kuzichunguza.
Endelea kusoma habari hii......

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba, alipoulizwa ofisini kwake jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, alithibitisha kuwepo taarifa za uhalifu huo, lakini akaweka bayana, hakuna ushahidi wa kiwango maalumu kilichoibwa hadi sasa.

Friday, March 19, 2010

Best Blogger Tips
Chris Rock: I Do Not Have a Secret Love Child


Chris Rock was spotted on Monday leaving New York City’s Trump International Hotel with his 5-year-old daughter Zahra with wife Malaak Compton-Rock, a nanny and an unidentified little girl.

Her unknown identity prompted tabloid speculation that Rock, 45, who has another daughter, Lola, 7, also with his wife, had fathered the girl out of wedlock.

Tabloids also drew a connection between a 2007 paternity suit filed by a Georgia woman, Kali Bowyer, who claimed Rock was the father of her then-13-year-old son. DNA tests later proved that was not the case.

According to Rock's rep, "The child in the photograph with Chris Rock that appeared in the New York Post is the daughter of a family friend from South Africa whom [his wife] Malaak Compton-Rock met through her charity endeavors over the years. She visits often and when here is a joy to the Rock family."

Rock and his wife met in 1994 and married in 1996.
Source: People

Thursday, March 18, 2010

Best Blogger Tips
Jordan calls owning Bobcats 'dream come true'


A relaxed Michael Jordan broke into a wide smile as he sat at his desk Thursday night amid his whirlwind week of realizing a longtime goal of becoming an NBA owner.

Soon, though, that steely resolve that defined his superstar playing career peeked through as he fielded a question about his commitment to turn the Charlotte Bobcats from a money-losing, non-playoff team into a winner in both areas.

"It's motivating," the six-time NBA champion said of the naysayers who joke he'll be more worried about tee times than season ticket renewals. "I've never been asked to be out at the forefront of an organization. I never had the financial commitment to do that. Now I have. Now I'm involved. How can I not, when I'm owning 80 percent of the basketball team, not put my face on the organization?"

Jordan's $275 million purchase of the club from Bob Johnson was approved by the rest of the league's owners on Wednesday. The North Carolina native spent his first full day on the job insisting he's ready to "dive in with my sleeves rolled up" to turn around the six-year-old franchise, while downplaying the significance of becoming the first former player to own an NBA team.
Read more.........

Wednesday, March 17, 2010

Best Blogger Tips
Bomani atoa waraka mzito CCM, Serikali

MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Serikali Jaji Mark Bomani, ameandika waraka mzito kwenda CCM na serikali yake, ambao pamoja na mengine unaelezea mfumo wa sasa wa uchaguzi kuwa ni kichochea cha ufisadi katika kupata viongozi wa dola.

Waraka huo mzito wa Jaji Bomani ambao unazungumzia nchi ilikotoka, iliko na inakoelekea, umekuja kipindi ambacho joto la uchaguzi mkuu wa Oktoba likiwa juu.

Ndani ya waraka huo wenye kichwa cha habari: "Mapendekezo ya Mark Bomani, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu," ambao gazeti hili limefanikiwa kupata nakala yake jijini Dar es Salaam jana, Jaji Bomani amechambua mifumo miwili mikubwa ya uchaguzi ambayo ni nguzo ya demokrasi.

Katika uchambuzi huo, Jaji Bomani, alisema Tanzania kama makoloni mengine yaliyotawaliwa na Uingereza, imerithi mfumo wa uchaguzi wa majimbo wa mkoloni huyo, lakini una athari kubwa ikiwemo matumizi ya rushwa katika uchaguzi na gharama za kuendesha uchaguzi katika majimbo.

Jaji Bomani alifafanua katika waraka huo kwamba, pamoja na Tanzania kurithi mfumo huo unaotumiwa na nchi ya Jumuiya za Madola (Commonwealth Countries), hivi karibuni ilijiongezea aina nyingine ya uwakilishi kama vile viti maalumu.
Endelea kusoma habari hii.......

Tuesday, March 16, 2010

Best Blogger Tips
Hunter upset over GQ photos


Rielle Hunter is extremely upset with the three photographs of herself featured in the latest issue of GQ magazine.

The woman who was involved in a months-long affair with Democrat John Edwards told ABC's Barbara Walters Monday she found the images - two of which feature her without pants - "repulsive" and, Hunter also told Walters, she cried for two hours because she felt they were so terrible.

"When I asked, 'Well if that was the case, why did you pose the way you did?' She said that she trusted Mark Seliger, who she said is a brilliant photographer, and she quote 'went with the flow,'" Walters said on ABC's The View.

"She said that he took a lot of pictures, and thought there might be one like that, that showed her being sexy," Walter's continued. "When she was shown with her daughter, she was wearing her own t-shirt and sweatpants. The other photos of her with the big shirt are not her clothes, they were given to her by the photographer."

The images accompanied a more than 10,000-word interview with Hunter, who for the first time discusses how her now-infamous affair with Edwards developed.
Source: CNN

Monday, March 15, 2010

Best Blogger Tips
Irene Uwoya aweka wazi alipokutana na mumewe





“ SANAA imekuwa na faida kubwa sana, faida ya kwanza ni kunipatia mume. Kupitia fani ya uigizaji ndipo mumewangu aliponiona na kunipenda” anasema muigizaji Irene Uwoya huku akitabasamu.

“ Nikweli kupitia uigizaji katika filamu ya Oprah, mumewangu akaniona na kunipenda na hatimaye sasa tumeoana,” anasisitiza.

Irene ambaye anatikisa katika fani ya uigizaji kutokana na mafanikio ya kuvaa uhusika, amefunga ndoa na mchezaji wa mpira wa miguu, Hamad Ndikumana ambaye ni raia wa Rwanda.

Ndikumana ambaye mbele ya mashabiki wa nchini mwake anajulikana kama Kataut, ni beki wa kimataifa wa Amavubi, ambaye kwa sasa anachezea soka ya kulipwa klabu ya Daraja la Kwanza ya A. E. Lemesos ya Cyprus.

Ndoa ya nyota hao ilifungwa mwaka jana kwenye Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam. Irene ambaye ni mtoto wa kwanza wa familia ya Naima Mrisho na Pacras Uwoya, alizaliwa Desemba 18, 1988 mjini Dodoma, na kuanza elimu ya msingi katika Shule ya Mlimwa hadi darasa la tatu alipohamia Bunge ya Dar es Salaam alikomalizia elimu yake hiyo.
Endelea kusoma habari hii.....
Best Blogger Tips
Mfalme Simba, Barasa aivua Yanga ubingwa apiga mbili


MSHAMBULIAJI Mike Barasa alifunga mabao mawili na kuisaidia Simba kutwaa ubingwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

Mabao hayo mawili ya Barasa yalitosha kuivua ubingwa Yanga ambayo leo itacheza dhidi ya Moro United wakiwa na lengo la kutunza rekodi ya kutokufungwa raundi hii ya pili.

Simba iliyokuwa ikihitaji pointi mbili kujitangazia ufalme, iliuanza mchezo huo dhidi ya ndugu zao Azam kwa kasi na kufanikiwa kupata bao katika kila kipindi.

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Mike Barasa aliyejiunga na Simba wakati wa dirisha dogo alipachika bao lake la kwanza dakika 7, na lile la pili dakika 62, ya mchezo.

Mchezaji Hillay Echessa akiwa pembani ya uwanja alipitisha krosi nzuri iliyounganishwa kwa kichwa na Barasa na kumwacha kipa wa Azam Vladmir Niyonzima asijue la kufanya.

Kabla ya kupokea pasi nzuri ya mbali kutoka kwa Uhuru Selemani aliyoiunganisha kwa shuti kali lilokwenda moja kwa moja wavuni dakika 62.
Endelea kusoma habari hii......

Sunday, March 14, 2010

Best Blogger Tips
Gregory Isaacs


Jina lake ni Gregory Anthony Isaacs, alizaliwa 15 july mwaka 1957, huko Fletchers Land, Kingstone Jamaica. Ni mmoja kati ya waimbaji wakali sana wa Reggae music. Kila nyimbo yake utakayoisikiliza utaipenda. Alianza kufanya vitu vyake kuanzia mwaka 1968, lakini mpaka leo vitu vyake si vya kawaida. Mwaka 2008 alitoa album yake iliyokwenda kwa jina la Brand New Me.

Zifuatazo ni baadhi ya nyimbo zake ambazo zilipendwa sana.

Night Nurse


Substitute lover


Hard drugs
Best Blogger Tips
CCM kumtosa Sitta?

SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, ni mmoja wa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye wakati mgumu katika harakati za kurejea bungeni, kutokana na mashambulizi yanayoelekezwa kwake kutoka ndani na nje ya CCM, Tanzania Daima Jumapili imebaini.

Kwa takriban wiki mbili hivi sasa, Sitta amekabiliwa na upinzani mkali ambao wachambuzi wanadai ni jitihada za washindani wake kuzima tambo zake na dhamira yake ya kurejea bungeni au katika uspika, baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Habari ambazo Tanzania Daima Jumapili imezipata kutoka kwa makada wa CCM zinadai kuwa kiongozi huyo wa Bunge anaweza kutoswa katika mapendekezo ya chama chake kuwania nafasi hiyo kwa sababu ya msimamo wake wa kupambana na ufisadi, ambao nusura uiangushe serikali.

Sitta anadaiwa kuwa amekuwa akishabikia mijadala ambayo ilikuwa ikizidisha chuki na makundi ndani ya CCM pamoja na kuruhusu serikali inayoongozwa na chama chake ishambuliwe na wapinzani pamoja na makada wenzake.

Wakati kiongozi huyo akionekana kupata kukabiliana na upinzani ndani ya chama chake, limezuka kundi la viongozi wa upinzani likimshambulia Sitta kwa kubainisha kuwa hawezi kupambana na ufisadi.
Endelea kusoma habari hii.....

Friday, March 12, 2010

Best Blogger Tips
Zilipendwa

Orchestra Super Mangelepa, mambo yao yalikuwa sio ya kawaida, waliweza kuwapa raha vijana wa enzi hizo kwa nyimbo zao motomoto, ukweli ni kwamba vijana wa enzi ya Mwalimu wakikwambia wakati wa ujana wao walikula raha ni kweli walifanya hivyo. Nyako konya ni moja ya nyimbo ambayo ilikuwa kali sana kwa wakati huo.



Best Blogger Tips
Nick Cannon Reveals Mariah Carey's "Big Surprise"



Mariah Carey sure knows how to stir the pot.

The 39-year-old diva sent bloggers into a frenzy when she teased on the Oscars red carpet that she has "something special on the way." Of course that means she's preggers, right?

We caught up with Carey's other half, Nick Cannon, who let us in on a little secret...

"It's funny because the big surprise has to do with Home Shopping Network or something like that," Cannon revealed at the Stars & Strikes Fundraiser supporting APCH at PINZ in Studio City. "She has a new product coming out. It has nothing to do with kids."
Keep Reading....
Best Blogger Tips
Ghorofa Dar hatarini kuanguka, lipo Kariakoo


WAKAZI na watu wanaofanya shughuli zao maeneo ya Kariakoo jana walipata kitu kingine cha kushangaa lakini kinachotishia usalama wao; jengo la ghorofa nane lililo na ufa na ambalo wakati wowote linaweza kuanguka eneo hilo la kibiashara lenye watu wengi.

Watu wengi walikuwa wamesimama chini ya jengo hilo lililo kwenye makutano ya Mtaa wa Swahili na Mafia baada ya kupata habari kuwa liko hatarini kuanguka kiasi cha serikali ya mkoa kusimamisha ujenzi wake ikiwa ni miaka michache tangu iundwe kamati iliyopewa jukumu la kuchunguza majengo yaliyojengwa chini ya viwango, lakini ripoti yake ikatiwa kapuni.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa serikari imesimamisha ujenzi wa jengo hilo kwa sababu linaweza kusababisha maafa makubwa baada ya kupata ufa mkubwa katika ghorofa ya kwanza.

Thursday, March 11, 2010

Best Blogger Tips
Mtoto azinduka kabla ya maziko

BAADHI ya madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Hindu Mandal, Dar es Salaam, wanadaiwa kutoa taarifa za uongo kwamba mtoto aliyezaliwa amekufa, lakini muda mfupi baadae alibainika kuwa yu hai. Tukio hilo lililoacha maswali mengi lilitotokea juzi saa moja usiku, ambapo uongozi wa hospitali hiyo ulithibitisha kutokea, huku ukitia shaka juu ya mazingira yake. Habari zilizopatikana hospitalini hapo zilidai mjamzito aliyejifungua mtoto huyo alifikishwa hospitalini hapo kichanga hicho cha kiume kikiwa kimeanza kutoka. Ilidaiwa baada ya mjamzito huyo kusaidiwa na kumaliza kujifungua, alielezwa mwanawe amekufa, hivyo walikabidhiwa kichanga hicho kwa ajili ya maziko. Kwa mujibu wa chanzo cha habari, baada ya kufika nyumbani wakijiandaa na mazishi ya mtoto huyo, baba yake alipewa taarifa za kifo na aliomba asizikwe hadi atakapofika. Ilidaiwa baada ya baba huyo kufika nyumbani, mtoto huyo aliyekuwa amefunikwa nguo alipofunuliwa alionyesha dalili za kuwa hai, huku akijinyoosha, jambo lililowafanya wamrudishe hospitalini hapo. Chanzo hicho kilidai baada ya kufikishwa hospitalini, kichanga hicho kiliwekwa kwenye kifaa maalumu kinachotumika zaidi kwa watoto njiti.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

Wednesday, March 10, 2010

Best Blogger Tips
The world's longest marriage


Herbert and Zelmyra Fisher of New Bern, N.C., hold the world record for life in wedded bliss: 85 years. He's 104, and she's 101.
On their May 13 anniversary, they will join an elite club: the longest marriages on record. One couple got a big head start on their marriage. You must go back more than 200 years to find the other couple married 86 years.

A Fisher time line: Around their 10th anniversary, this everyday household appliance hit the carpet. When they celebrated their 25th anniversary, this song was a hit (watch videos). When they marked their 50th, this irritating icon was everywhere (see pictures, if you must). By the time they reached their 75th year of marriage, we were hooked on this reality show.

The Fishers dabbled in social media by tweeting their secrets to a long, happy marriage for Valentine's Day last month.

Monday, March 8, 2010

Best Blogger Tips
Grizzlies recall Thabeet


 The Memphis Grizzlies have recalled rookie centre Hasheem Thabeet from the Dakota Wizards of the NBA Development League after less than two weeks in the minors.

The seven-foot-three Thabeet was sent to the D-league on Feb. 25. He averaged 13.8 points, 11.2 rebounds and 3.17 blocks in six games with Dakota.

Thabeet, the second overall pick last year out of Connecticut, had averaged 2.5 points, 2.9 rebounds and 1.1 blocks in 50 games for the Grizzlies.

The 23-year-old is the highest drafted player to play in the NBA's minor league.

With the Wizards, he started four of six games and had a career-high 19 points Feb. 28 at Fort Wayne and a personal-best 18 rebounds March 5 at Tulsa. The Wizards were 5-1 during his stay.
Best Blogger Tips
Monique apata tuzo ya Oscar

Sunday, March 7, 2010

Best Blogger Tips
Zilipendwa

Kwa wale vijana wa enzi ya Mwalimu, hii kitu itawakumbusha mbali sana

Orch Super Mazembe - Jiji



Tuesday, March 2, 2010

Best Blogger Tips
Hasheem Thabeet atesa D - League


Mtoto wa Sinza, Hasheem Thabeet, amethibitisha kwamba shughuli anaiweza baada ya kuisaidia timu yake ya Dakota Wizards kuibuka na ushindi mnono dhidi ya Albuquerque Thunderbirds wa points 109 – 81.

Hasheem ambaye alikuwa nyota wa mchezo huo, aliondoka na points 18, akiwa mchezaji mwenye points nyingi kwenye timu yake katika mchezo huo. Katika game iliyopita dhidi ya Ants, Hasheem aliweza kuisadia timu yake kuibuka na ushindi wa 94 – 85.

Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits