Tuesday, November 30, 2010

Best Blogger Tips
 10 mistakes people make with heat

Even with a constant flow of information about energy efficiency, homeowners make major heating mistakes that end in higher electric bills and larger environmental footprints.
Here are 10 of those errors, with the cause and effect of each decision.

1. Maintaining a constant temperature

Cause: A persistent myth suggests that you can save energy by leaving the house at a comfortable 68 degrees (a widely recommended winter setting), even when you are sleeping or away at work.
The idea is that it takes more energy for the furnace to reach a comfortable temperature than to maintain that temperature.

Effect: You could miss out on significant potential energy savings by not using a programmable thermostat and adjusting the temperature overnight and during the workday.
Though the impacts of adjusting the thermostat vary based on your climate and other factors, studies show that knocking the temperature down by 10 degrees for eight hours per day can cut heating bills by 5 to 15 percent.
Sure, the furnace will cycle on for a longer period to return to the more comfortable temperature, but it will be far outweighed by hours of savings when it didn't have to work as hard.

2. Cranking up the temperature to warm up the house

Cause: You come home in the middle of the day to a cold house. You want to warm back up to 68 ASAP, so you crank the dial up to 78 to get the furnace working harder and faster.

Effect: No time is saved in reheating the house. Most furnaces pump out heat at the same rate no matter the temperature. They just cycle on for a longer period to reach a higher temperature.
The furnace will take the same amount of time to return to 68 degrees regardless of the thermostat setting. By cranking up the thermostat, you are likely to overheat the house past 68 degrees and waste energy. Just reset the thermostat to 68, make some hot chocolate, and wait.

3. Closing off vents in unused rooms

Cause: You don't want to waste energy heating rooms you aren't using.

Effect: Again, this just wastes energy and makes your furnace run inefficiently because it changes the air pressure in the whole system.
way to save energy. 

Friday, November 26, 2010

Best Blogger Tips

Best LCD TV deals to happen after Black Friday


Ultra-low prices for flat screen LCD TVs are typical for Black Friday. But this year, the best deals are expected to come even later in the holiday season and into early 2011.

The average price for a 42-inch LCD TV is forecast to be $626 this quarter, but the price is expected to fall below $600 in the beginning of next year before rising again, according to NPD Group. Prices for 52-inch LCD TVs are expected to drop by $120 on average during the same time period.

"The prices out there now are very aggressive and attractive, but there will be fire sale-like prices on Black Friday and even further price reductions after Black Friday," said Riddhi Patel, director of television systems and retail services at iSuppli Corp. "The TV market has slowed down, and there's no indication of it turning around."

America is an "LCD TV recession," with sales falling for six months in a row, said Brian White, analyst at Ticonderoga Securities.

Experts say the lack of demand for LCD TVs is due in part to a high rate of penetration of flat screen TVs in homes. About 56% of U.S. households already have an HDTV, according to Yankee Group.

Sales soared in previous years as people swapped out their old standard-definition tubes for flat screen HDTVs. Even during the economic downturn in 2008 and 2009, flat screens remained a hot buy, with double digit sales growth during the past two holiday seasons, NPD Group found. But now that most Americans own an LCD TV, there's less incentive to purchase them.

Also, new TV offerings haven't given consumers much reason to buy one. Internet-connected TVs and 3D TVs are expensive, difficult to use and require awkward accessories like keyboard-remotes or 3D glasses. Backlit LED TVs are thinner with a crisper picture, but they're not so much of an improvement that consumers who just bought an LCD TV will be willing to upgrade quite yet.

Despite slumping sales, prices have hardly budged this year, and cash-strapped consumers have been holding out for costs to drop.

The scales finally tipped in the buyer's favor in October, with prices falling significantly -- 7% -- for the first time in 2010, NPD said. That is expected to become a trend, with great deals advertised for Black Friday.
But experts don't think LCD TVs will fly off the shelves as a result of good Black Friday deals. LCD TVs only landed at No. 7 on the Consumer Electronics Association's survey of top wish-list gadgets for the holidays, down from No. 3 last year. Ahead of HDTVs are multi-function items like laptops (No. 1), iPads (No. 2), e-readers (No. 3) and video game systems (No. 5).
Source: Yahoo Finance

Wednesday, November 24, 2010

Best Blogger Tips
Mawaziri na Manaibu waziri wapya


Jana Rais Jakaya Kikwete alitangaza baraza la mawaziri ambalo linajumuisha mawaziri 29 na naibu mawaziri 15 hivyo jumla yao kuwa 44. Katika safuhii tunakuletea wasifu wa baadhi ya mawaziri ambao wamo katika baraza hilo litakaloapishwa Jumamosi ya wiki hii, Ikulu jijini Dar es Salaam.

1.    Jina: Mathias Meinrad Chikawe Malome
Nafasi: Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais – Utawala Bora
Kuzaliwa:  30 May 1951
Jimbo la Ubunge: Nachingwea - CCM  (2005-2010) na amechaguliwa tena katika uchaguzi mkuu wa 2010
Nafasi nyingine:
Waziri wa Katiba na Sheria (2006-2008)
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria (2005-2006)Elimu:
Stashahada wa Uzamili ya Sheria za Kimataifa na Maendeleo (Uholanzi) (1981 -1982)
Stashahada wa Uzamili katika Utawala (Uingereza – 1977 – 1978)
Shahada ya Sheria - LL.B (Hons) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (1972 – 1975)

2.    Jina: Stephen Masato Wasira
Nafasi: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais  – Mahusiano na Uratibu
Kuzaliwa: 1945
Jimbo la Ubunge: Bunda – CCM (2005 – 2010) na amechaguliwa tena katika uchaguzi mkuu wa 2010

Nafasi nyingine
•    Waziri: Kilimo na Mifugo (1989 – 1990), Maji (Januari 2006 - Octoba 2006), Kilimo, Chakula na Ushirika (Octoba 2006 - Februari 2008), Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) (Februari 2008 - Mei 2008) na Kilimo, Chakula na Ushirika (Mei 2008 – Novemba 2010).
•    Mbunge: Mwibara (1970 – 1975), Bunda (1985 – 1990),(1995 -1996) na (2005 – 2010)
•    Naibu Waziri:  Wizara ya Kilimo (1972 – 1975), Serikali za Mitaa (1987 – 1989),
•    Mkuu wa Mkoa:  Mara (1975 – 1982), Pwani (1990 – 1991),
•    Waziri mwambata:  Ubalozi wa Tanzania, Washington, DC, Marekani (1982 – 1985)

Elimu
•    Shahada ya Uchumi (BA in Economics) Chuo Kikuu cha Washington, DC (Marekani)
•    Shahada ya Sayansi ya Siasa (Chuo Kikuu cha Washington, DC (Marekani)
•    Shahada za Uzamiri katika Utawala (Masters in Public Administration),Chuo Kikuu cha Washington, DC Marekani.

3.    Jina: Hawa Abdulrahman Ghasia  
Nafasi: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Manejimenti ya Utumishi wa Umma  Kuzaliwa: 10 Januari 1966
Jimbo la Ubunge: Mtwara Vijijini (2005 – 2010) na amechaguliwa katika uchaguzi mkuu wa 2010.

Nafasi nyingine:

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Manejimenti ya Utumishi wa Umma (2006 – 2010)

Elimu:
Shahada ya Uzamiri ya Maendeleo Vijijini (M.A. Rural Development) Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)  (2001-2003)
Stashahada ya juu ya Uchumi  (1992    1995) Chuo Kikuu cha Mzumbe

Historia ya Ajira
Mkurugenzi  Msaidizi na nafasi mbalimbali katika – Halmashauri ya Wilaya ya Masasi (1992 – 2005).
Endelea kusoma habari hii..........................

Thursday, November 18, 2010

Best Blogger Tips
Chadema wasusia hotuba ya Rais JK Bungeni

Wabunge wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo wamesusia hotuba ya Rais Kikwete wakati alipokaribishwa na Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano kulifungua Bunge hilo.

Hata hivyo, wakati wabunge hao wa CHADEMA wakiongozwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, wenzao wa vyama vingine waliwazomea, huku wakishangilia kwa kupiga meza na kuimba CCM, CCM, CCM.

 Pia, wabunge wengine wa CCM pamoja na wale wa CUF, walihamia kwenye viti vilivyokuwa vimekaliwa na wabunge hao wa CHADEMA.

 CHADEMA wametangaza kutotambua matokeo yaliyompa ushindi Rais Kikwete na mpango wao wa kutoka nje wa Bunge, ulibainika mapema juzi.

Wednesday, November 17, 2010

Best Blogger Tips
Eva Longoria Files for Divorce from Tony Parker


Three years after a storybook wedding in a European castle, Eva Longoria filed for divorce Wednesday from basketball star Tony Parker.

The Desperate Housewives star's documents were filed in Los Angeles Superior Court just one day after her rep denied that Parker had done the same in a Texas court.

The petition cites only the standard "irreconcilable differences" for the split. But this past week the couple have been rocked with infidelity rumors, with claims that Tony has been unfaithful.

Longoria is seeking spousal support from Parker. The couple have a prenuptial agreement signed the month before their wedding and updated two years later. The petition says their date of separation is still to be determined.

Longoria's attorney, Lance Spiegel, wasn't immediately available for comment.

Tuesday, November 16, 2010

Best Blogger Tips
Prince William Kufunga ndoa mwakani

 
MJUKUU wa Malkia Elizabeth II, Prince William ametangaza kufunga ndoa na mpenzi wake wa miaka mingi Kate Middleton.
 
Habari zilisema Prince William na Kate ambao wote wana umri wa miaka 28, walichumbiana rasmi mwezi uliopita nchini Kenya na wanatarajia kufunga ndoa yao mwakani.
 
 Kwa mujibu wa taarifa Prince William na Kate walikuwa wapenzi kwa kipindi cha miaka minane, ambapo baadhi ya watu walimpa jina la utani Kate, kwamba ni mwanamke aliyekuwa akisubiri bahati yake.
 
 Habari zinasema harusi hiyo inatarajiwa kuwa ya kubwa na kuizidi ya wazazi wa William iliyofungwa miaka ya 1980, kati ya Prince Charles na Princes Diana (ambaye ni marehemu).
 
 Prince William alimvika pete ya uchumba Kate Oktoba mwaka jana walipokuwa mapumzikoni nchini Kenya.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na kiongozi wa chama cha Labour Ed Miliband, wamepongeza hatua hiyo ya Prince William na Kate. William ni rubani wa ndege za jeshi.
Best Blogger Tips
Eid al - Adha: The Festival of Sacrifice

What is Eid al-Adha?

At the end of the Hajj (annual pilgrimage to Mecca), Muslims throughout the world celebrate the holiday of Eid al-Adha (Festival of Sacrifice). In 2010, Eid al-Adha will begin on November 16th, and will last for three days.

What does Eid al-Adha commemorate?

During the Hajj, Muslims remember and commemorate the trials and triumphs of the Prophet Abraham. The Qur'an describes Abraham as follows:

"Surely Abraham was an example, obedient to Allah, by nature upright, and he was not of the polytheists. He was grateful for Our bounties. We chose him and guided him unto a right path. We gave him good in this world, and in the next he will most surely be among the righteous." (Qur'an 16:120-121)
One of Abraham's main trials was to face the command of Allah to kill his only son. Upon hearing this command, he prepared to submit to Allah's will. When he was all prepared to do it, Allah revealed to him that his "sacrifice" had already been fulfilled. He had shown that his love for his Lord superceded all others, that he would lay down his own life or the lives of those dear to him in order to submit to God.

Why do Muslims sacrifice an animal on this day?


During the celebration of Eid al-Adha, Muslims commemorate and remember Abraham's trials, by themselves slaughtering an animal such as a sheep, camel, or goat. This action is very often misunderstood by those outside the faith.

Allah has given us power over animals and allowed us to eat meat, but only if we pronounce His name at the solemn act of taking life. Muslims slaughter animals in the same way throughout the year. By saying the name of Allah at the time of slaughter, we are reminded that life is sacred.

The meat from the sacrifice of Eid al-Adha is mostly given away to others. One-third is eaten by immediate family and relatives, one-third is given away to friends, and one-third is donated to the poor. The act symbolizes our willingness to give up things that are of benefit to us or close to our hearts, in order to follow Allah's commands. It also symbolizes our willingness to give up some of our own bounties, in order to strengthen ties of friendship and help those who are in need. We recognize that all blessings come from Allah, and we should open our hearts and share with others.

It is very important to understand that the sacrifice itself, as practiced by Muslims, has nothing to do with atoning for our sins or using the blood to wash ourselves from sin.
Best Blogger Tips
Waziri Mkuu ni Mizengo Kayanza Peter Pinda



Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua mbunge wa Katavi mkoani Rukwa, Mizengo Kayanza Peter Pinda, kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika Anne Makinde alimtangaza Mh. Mizengo Pinda kuwa Waziri Mkuu Mteule jioni ya leo bungeni Dodoma. Baadaye kura za kumdhibitisha zikapigwa na matokeo ni kwamba: kura zilizopigwa: 328 kura za ndio: 277 (85.4%), kura za hapana: 49 (14.9%), kura zilizoharibika 2 (0.2%).

Waziri mkuu anatarajiwa kuapishwa kesho ikulu ndogo ya chamwino, ikiwa ni hatua ya kwanza kabla ya kutangazwa kwa baraza jipya la mawaziri. hatua hii inakamilika baada ya rais kukaa na kushauriana na makamu wa rais na waziri mkuu.

Baraza hilo jipya linatarajiwa kutangazwa ijumaa.


Monday, November 15, 2010

Best Blogger Tips
Mambo ya Kobe Bryant

Sunday, November 14, 2010

Best Blogger Tips
IGP Mwema apangua makamanda

Amng'oa kamishina Nzowa Dawa za kulevya

MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP), Said Mwema, amefanya mabadiliko makubwa kwa makamanda wa Polisi wa mikoa na maofisa waandamizi ndani ya jeshi hilo.

Habari za kuaminika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema IGP Mwema amefanya mabadiliko hayo ikiwa ni sehemu ya uboreshaji na utendaji kazi wa kila siku wa jeshi hilo.

“Ni kweli IGP Mwema amefanya mabadiliko makubwa yakianzia makao makuu ya jeshi hadi kwa makamanda wa polisi wa mikoa, nadhani nia ni kuboresha utendaji wa chombo hiki,” kilisema chanzo chetu.
Katika mabadiliko hayo, IGP Mwema amemhamisha Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa, kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), pia amemhamisha Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Charles Mkumbo, ambaye sasa anakwenda makao makuu.

Wengine waliokumbwa na uhamisho huo ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga, ambaye anahamishiwa makao makuu, wakati nafasi yake inachukuliwa na Charles Kenyela anayetoka Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.

Pia IGP Mwema amemhamisha Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Thobias Andengenye, kwenda mkoani Arusha, wakati aliyekuwa kamanda wa mkoa huo, Basilio Matei, amehamishiwa makao makuu.
Taarifa zinasema, nafasi ya Kamanda Andengenye imechukuliwa na ofisa mmoja kutoka makao makuu aliyetajwa kwa jina la Mama Charo.

Rungu hilo limemwangukia pia Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Daudi Siasi, ambaye amehamishiwa makao makuu, huku nafasi yake ikichukuliwa na Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Mbeya, Athuman Diwani.
Endelea kusoma habari hii.................
Source: Tanzania Daima

Friday, November 12, 2010

Best Blogger Tips
Samsung Galaxy Tab: New Information

It seems that a new Samsung Galaxy Tab with a bigger screen will be available in 2011.I am sure that it will have a big succes because the current Samsung Galaxy Tab is great and I am sure that the new one will be even better.

The new Samsung Galaxy Tab with ten-inch screen is assumed that a reality. It would be a Super AMOLED panel and increase its resolution to 1,200 x 600 pixels. So far, the information known so far, which suggested an increase in size and image quality of the tablet of the Korean company.

But recent data from the device that would come in 2011 also point to a decrease in this case, the weight of the screen and, by extension, the entire gadget.Samsung Galaxy Tab is a great tablet.

 As has been told in an exhibition dedicated to ecological vocation held devices in China, the future model of the Samsung Galaxy Tab have a screen built from components derived from the resin, instead of glass. This will get a drastic weight reduction. So much so that, as reported by CNN, a ten-inch screen made of resin would weigh about 28 grams, compared to 130 grams that we would find a glass panel (excluding the backlight system, of course).Current,Samsung Galaxy Tab is the best tablet from the market.

On the other hand, the weight would not be all that would ease if using glass resin screen at Samsung Galaxy Tab . He also noted that the thickness of the panel also would waist, although the reduction in thickness would be minimal, from 0.5 mm to 0.44 mm.Samsung Galaxy Tab is much better than the iPad.
Access the full story..............
Best Blogger Tips
Sugu asiachwe yatima, asaidiwe kuleta mapinduzi

Via Mwananchi

KATIKA matokeo ya wagombea ubunge, sasa tayari wameanza kazi  ya ubunge baada ya kula kiapo jana kule Dodoma, yale ya Joseph Mbilinnyi , maarufu Sugu au Mr II  yalivuta hisia za wengi.Licha ya kuwa mbunge wa Mbeya Mjini lakini Sugu ambaye alishinda kwa kishindo kikubwa dhidi ya mgombea wa CCM, Benson Mwalugala  Mpesya, lakini tunaweza kumweleza kuwa sasa ni mwakilishi wa wasanii wa Tanzania ndani ya chombo cha kutunga sheria.

Mwanzo ilikuwa vigumu kuamini kuwa ilikuwaje hadi Sugu akaamua kuingia katika siasa, tena kugombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hapo ikawa mwanzo wa wasanii mbalimbali nao kuibuka na kutangaza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.  Hata hivyo, wengi walishindwa katika nafasi ya udiwani.

Mbunge huyo mpya licha ya kuchanguliwa na wananchi wa Mbeya Mjini, lakini naamini atawahudumia watu wengi zaidi kwani kila msanii au mdau wa fani au kazi ya zanaa, anaamini kuwa kazi yake kubwa akiwa bungeni atakuwa balozi na mwakilishi wa wasanii wote nchini na si wale wa Mbeya Mjini pekee.

Katika kampeni hizo, ahadi mbalimbali zilitolewa na sasa wananchi wanasubiri utekelezaji wake licha ya kuwa wasipotekeleza  wajue mwaka 2015, mwendo  wao wa kurejea bungeni utakuwa mgumu.

Mwanzo wa kampeni zilizuka tarifa kuwa kuna baadhi ya wasanii walimkacha msanii huyo wakati alipokuwa katika hatua za awali akitangaza kugombea ubunge, sitaki kuamini kuwa wasanii hao wapo na kama wapo watakuwa wachache na labda walifanya hivyo kutokana na kukosa uvumilivu uliotokana na kutokuwa na kutopata mahitaji muhimu ambayo labda yangeweza kuwawezesha kuendelea kuwa bega kwa bega na Sugu kwa muda wote wa kampeni yake.

Ninachoamini ni kwamba kama  kweli  wapo wasanii waliomtenga balozi wao, hawakuwa na nia mbaya naye ya kutaka ashindwe, bali  majukumu ndiyo  yaliyowafanya wafikie hali hiyo.

Naamini walifanya hivyo wakiamini kuwa licha ya kutokuwepo kwao atafanikiwa kuwa mbunge wa Mbeya Mjini na ndiyo maana baada ya kutangazwa kuwa mshindi wamejitokeza kumpongeza.

Nimezungumzia dhana ya kuondoa chuki, imani potofu na visasi ambavyo huenda vikajitokeza kutokana na tuhuma za kutengwa kwa Sugu na baadhi ya wasanii.

Lakini, ninavyoamini mimi ni kwamba kama chuki na visasi vitachukua nafasi katika miaka hii mitano ya uwakilishi  wa Sugu kule bungeni, hakika  hatoweza kurudi tena bungeni na ndoto za kufanikisha kuweka au kuingiza changamoto ndani ya chombo hicho cha kutunga sheria zitakuwa zimekwama.
Endelea kusoma habari hii.................
Best Blogger Tips
Mh. Anne Makinda: Spika wa Bunge la Tanzania



Hatimaye wabunge leo wameweza kumchagua spika ambaye ataongoza bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano.

Mheshimiwa  Anne Makinda ndiye spika Mpya wa Bunge baada ya kumshinda Mh. Mabere Nyaucho Marandu katika uchaguzi wa kumpata spika mpya wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mama Makinda kapata kura 265 wakati Mh. Marando kapata kura 53.

Hivi sasa spika huyo mpya anasimamia zoezi la kuapa la wabunge wapya wa bunge hili la 10.

 Bunge la tisa lilimaliza muda wake juai 16, 2010. zoezi la kuapa wabunge wapya linatarajiwa kuchukua siku zaidi ya 2.

Wednesday, November 10, 2010

Best Blogger Tips

FIFA YAMUONGOZEA PESA OBILALE WA TOGO

Mlinda mlango wa timu ya taifa ya Togo Kodjovi Obilale atapatiwa dola100,000 kutoka Shirikisho la Soka Duniani- Fifa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa risasi kabla ya kuanza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Angola mwezi wa Januari.

Rais wa Fifa Sepp Blatter, alimwambia Obilale mwezi wa Septemba kwamba malipo ya dola 25,000 zitatolewa kutoka mfuko wa Fifa wa misaada ya kibinadamu.

Hata hivyo Shirikisho hilo la soka Duniani kwa sasa limeamua kuongeza kiwango hicho cha pesa.

Mlinda mlango huyo mwenye umri wa miaka 25 alifanyiwa upasuaji kutokana na majeraha ya risasi alizopigwa mgongoni na tumboni kufuatia shambulio hilo.

Shambulio hilo lililotokea katika jimbo la Cabinda nchini Angola, lilisababisha watu wawili waliokuwemo katika kikosi cha Togo kupoteza maisha pamoja na dereva wa basi lililokuwa limewachukua.
Obilale bado hawezi kutembea ikiwa ni miezi minane tangu lilipotokea shambulio la risasi lililofanywa na waasi wanaotaka kujitenga kwa jimbo la Cabinda na bado anaendelea kutibiwa nchini Ufaransa.

Togo ilijitoa katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Angola baada ya shambulio hilo na ilifungiwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (Caf) kwa miaka minne kushiriki mashindano hayo.

Hata hivyo Fifa ilitengua adhabu hiyo.
Endelea kusoma habari hii...............
Best Blogger Tips
Mbio za Uspika: Kamati Kuu Yamuengua Sita


kamati kuu leo imepitisha majina matatu ya wana ccm watakaogombea nafasi ya uspika
kati ya wagombea 13 wa chama hicho waliojitokeza.

Nao ni Mh. Anna Abdallah,  Mh. Kate Kamba na Mh. Anna Makinda.

majina ya wanaowania unaibu spika yanatakiwa yafike ofisi za bunge keshokutwa novemba 15, 2010.

katibu mkuu wa ccm amesema sasa hivi kwamba kamati kuu ya ccm imeamua kwa makusudi kumpa nafasi mwanamke kuongoza moja wa mihimili mitatu ya nchi kwa mara
ya kwanza katika historia ya jamhuri ya muungano.

Tuesday, November 9, 2010

Best Blogger Tips
Wabunge Viti Maalumu

. CCM 65, CHADEMA 23 na CUF 8

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imekamilisha kazi ya kuwateua wabunge wa awali wa Viti Maalumu na kuwasilisha orodha ya wateule hao katika vyama husika vya siasa.

Habari za uhakika ambazo Tanzania Daima Jumatano imezipata kutoka ndani ya NEC na miongoni mwa viongozi wa juu wa vyama vitatu vya siasa vyenye wabunge wa Viti Maalumu wamethibitisha kupokea majina ya wabunge hao.

Kwa mujibu wa habari hizo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata wabunge 65 wa Viti Maalumu, kikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichopata viti 23 na Chama cha Wananchi (CUF) kikapata viti vinane.

Hata hivyo, habari zaidi zinasema kuwa, idadi hiyo ya viti maalum ambavyo jumla yake ni 96 itaongezeka kwa kila chama baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi ulioahirishwa wa wabunge katika majimbo saba.
Chama cha NCCR Mageuzi kilichopata viti vinne vya wabunge, TLP na UDP kimoja, havikupata kiti hata kimoja cha wabunge wa viti maalumu kutokana na kukosa sifa ya kufikisha asilimia tano ya kura za wabunge wote kwa mujibu wa sheria.

Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA ambao majina yao yamepitishwa na mikoa wanayotoka kwenye mabano ni pamoja na Lucy Owenya (Kilimanjaro), Esther Matiko (Mara) Mhonga Luhanywa (Kigoma), Anna Mallac (Katavi), Paulina Gekul (Manyara) na Conchesta Rwalumulaza (Kagera).

Wengine ni Suzan Kiwanga (Morogoro), Grace Kiwelu (Kilimanjaro), Suzan Lyimo (Kilimanjaro), Regia Mtema (Morogoro), Christowaja Mtinda (Singida), Anna Komu (Dar es Salaam), Mwanamrisho Abama (Zanzibar), Joyce Mukya (Arusha), Leticia Mageni Nyerere (Mwanza) na Naomi Kaihula (Dar es Salaam).
Majina mengine ya wateule hao ni Chiku Abwao (Iringa), Rose Kamili (Manyara), Christina Lissu (Singida), Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano (Dar es Salaam), Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga (Dar es Salaam).

Wabunge hao ambao wanatarajia kusafiri kwenda mjini Dodoma kuungana na wenzao, wanafanya idadi ya wabunge wote wa CHADEMA hadi sasa kufikia 45.

Kwa mujibu wa habari hizo idadi hiyo inakifanya chama hicho kiwe na sifa ya kuunda kambi ya upinzani bila kutegemea wabunge wa kutoka vyama vingine vya upinzani.

Kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho hata hivyo majina ya washindi hayakuweza kupatikana, kimepata idadi ndogo ya viti tofauti ilivyotarajiwa.
Endelea kusoma habari hii...............
Best Blogger Tips
Bush atetea mbinu za kuwatesa wafungwa

Aliyekuwa Rais wa Marekani, George W Bush, ametetea maamuzi yake yaliyosababisha utata mkubwa wakati wa mahojiano yake ya kwanza kwenye televisheni tangu aondoke madarakani.

Akizungumza kweye kituo cha televisheni cha Marekani cha NBC, Bw Bush alitetea mbinu ya kuwatesa wafungwa kwa kuwazamisha ndani ya maji wakati walipokuwa wakihojiwa, akisema ilisaidia kuokoa maisha na kuzuia mashambulio ya kigaidi.

Amesema uamuzi wake wa kuvamia Iraq haukuwa na kasoro na dunia kwa sasa ni salama zaidi bila Saddam Hussein.

Pia alitetea uamuzi wake wa kuyanusuru mabenki ya Marekani yaliyoporomoka kutokana na mdororo wa kiuchumi duniani.

Bwana Bush amesema anatarajia kuwa historia itatambua mafanikio yake ingawa atakuwa ameaga dunia kabla swala hilo kutokea.
Source: BBC

Monday, November 8, 2010

Best Blogger Tips
Michael Jackson's Children


Michael Jackson’s two oldest children say they’re adjusting well to private school, while their younger brother is still home-schooled.

Prince, Paris and Blanket have been living with grandparents Joe and Katherine Jackson since their pop singer father’s fatal anesthetic overdose in June 2009.

They appeared on Monday’s episode of “The Oprah Winfrey Show” and talked about their famous father.
In the pre-taped interview, 13-year-old Prince says he and his father often walked the beach early in the morning with Coca Cola and candy. Twelve-year-old Paris says her father took her to the art museum and was “the best cook ever.”

Prince says he wants to produce and direct movies someday. Paris says she wants to be an actress.
Source: Access Hollywood

Sunday, November 7, 2010

Best Blogger Tips
Mziray: Aliondoka Tanga na African Sports yetu......


Via Raia Mwema

NYINGI  ya tanzia nilizosoma kuhusu upande wa michezo wa maisha ya marehemu Syllersaid Mziray aliyefariki mwishoni mwa wiki iliyopita zimejikita zaidi kwenye mafanikio yake katika kuzifundisha timu mbili kubwa za soka nchini za Yanga na Simba za Dar es Salaam kwa vipindi tofauti.

Yameorodheshwa pia mafanikio yake kwenye timu ya taifa ambapo yeye alikuwa miongoni mwa walimu watatu ambao mwaka 1994 waliiwezesha timu ya taifa ya soka, Taifa Stars kutwaa Kombe la Challenge mjini na Nairobi baada ya kuwa tumelikosa kwa miaka 20 kabla ya hapo. Walimu wengine walikuwa ni Sunday Kayuni na Charles Boniface Mkwasa.

Syllersaid Mziray alikuwa ni miongoni mwa walimu wa soka wachache sana nchini ambao waliweza kuzifundisha timu mbili kubwa nchini za Yanga na Simba kwa nyakati tofauti na akaweza kufanya kazi yake kwa mafanikio makubwa bila fitna za timu hizo kumuathiri kwenye utendaji wake wa kazi.

Kwa hakika, kocha Mziray alikuwa kama kocha kiraka kwa timu hizo kutokana na ukweli kwamba mara nyingi timu zilipokuwa na matatizo ya kocha zilimkimbilia Syllersaid Mziray aokoe jahazi ingawaje pia mara kadhaa ilitokea kuwa hawakuachana vizuri.

Hata hivyo, maelezo mengi yanayohusu mchango wa kocha Mziray kwenye michezo yamesahau kurodhesha mchango wake muhimu sana katika soka ambao kwangu mimi ndio uliotengeneza jina lake na kuwa miongoni mwa makocha bora kabisa wazalendo tuliopata kuwa nao.

Kumbukumbu zangu kuhusu Mziray zinanirudisha miaka 22 nyuma, mwaka 1988, wakati alipokuja mjini Tanga kufundisha timu ya African Sports ya Tanga ambayo mwaka huo ilikuwa imepanda daraja na kuingia iliyokuwa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara.

Katika kupanda daraja huko African Sports ilikuwa imemfuata mpinzani wake wa jadi mkoani Tanga Coastal Union ambaye tayari ilikuwa ‘mzoefu’ wa kucheza Ligi ya Daraja la Kwanza iliyokuwa ya juu kabisa kwa wakati huo.

Kupanda daraja kwa African Sports na kuwapo uhakika wa kukutana na mpinzani wa jadi nchini, Coastal Union katika msimu wa ligi ya mwaka 1988 kulileta msisimko wa aina yake mjini Tanga kwani kabla ya hapo timu hizo zilikuwa hazijakutana kwenye michuano mikubwa ya soka nchini.

Chini ya Mziray, African Sports ilisuka kikosi mahiri cha wachezaji kama Francis Mandoza, Bakari Tutu, Hassan Banda, Hamza Maneno, Mhando Mdeve, Raphael John, Juma Burhani, Victor Mkanwa, na kuweka kambi kwenye mji wa Korogwe wakifadhiliwa na kampuni ya Sikh Garage.
Endelea kusoma habari hii.................
Best Blogger Tips
Mkakati waundwa kummaliza Sitta

Via Majira

KUNDI la watu wanaodaiwa kuwa ni mahasimu wa kisiasa linadaiwa kuanza mikakati mizito kuhakikisha linamwangusha Spika wa Bunge anayetea nafasi yake Bw. Samwel Sitta.

Vyanzo vyetu ndani ya CCM makao Makuu vilieleza Majira Jumapili kwamba kundi hilo tayari limeanza kutekeleza mkakati wake wa kwanza wa kutuma watu wake kuwania nafasi hiyo ili kupambana  na Bw. Sitta.

Mkakati wa pili wa kundi hilo wa kumwangusha Bw. Sitta ulitajwa kuwa ni kushawishi wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho (CC) itakayokutana kati ya Novemba 10 au 11 mjini Dodoma kukataa jina Mbunge huyo wa Urambo Mashariki.

"Tayari watu wao wawili wamechukua fomu kupambana na Mhe. Sitta, lengo ni kuhakikisha wanapata watu hata 10 kuchuana naye ili wakifika kwenye Kamati Kuu waseme kwamba hafai na ili wananchi wasipate nafasi ya kuhoji kama ameonewa wataachwa wengi.

"Wameanza kuwazungukia wajumbe wa Kamati Kuu na wapo wazee wachache wanawaunga mkono akiwemo kigogo mmoja wa chama,"kilisema chanzo chetu ndani ya CCM.

Hadi sasa waliokwishachukua famu ya kupambana na Bw. Sitta katika nafasi hiyo ni pamoja na aliyekuwa Naibu wake Bi. Anna Makinda, Bw. Andrew  Chenge, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Bw. Job Ndugai, Mbunge wa Afrika Mashariki Bi. Kate Kamba pamoja na Bi. Anna Abdallah. 
Endelea kusoma habari hii........................

Saturday, November 6, 2010

Best Blogger Tips
Hotuba ya Rais JK baada ya kuapishwa



Hotuba ya Lipumba ya kumpongeza Rais JK



Source: Habari ni habari ndugu yangu
Best Blogger Tips
JK aapishwa kuwa Rais wa Tanzania

Rais Jakaya Kiwete ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuwashinda wapinzani wake kwa asilimia 61 za  kura zote zilizopigwa.

Akitoa hotuba mara baada ya kuapishwa  alisema kuwa kipao mbele chake kwa hivi sasa ni kuhakikisha kuwa wanajenga umoja wa kitaifa na kurudisha amani iliyokuwepo awali kwani anaamini kuwa uchaguzi uliweza kuwagawa watanzania kwa namna moja ama nyingine.

Alisema mchakato wa jinsi serikali yake itakavyofanya kazi ataitoa hivi karibuni wakati akilihutubia Bunge jipya.

Alisema  kuwa katika mchakato wa kuwania uongozi nchini ni wazi kuwa yapo majeraha yaliyotokea hivyo muda huu ni mzuri kwa  baadhi ya taasisi kurejesha amani ya watanzania.

Amevipongeza vyama vya upinzani kwa  kukipa changamoto Chama Cha Mapinnduzi na kudai kuwa wamewaamsha katika usingizi kwani hivi sasa watakaa chini na kujiuliza kuwa ni wapi walipo na wafanyaje katika chaguzi zingine zijazo.

Wageni mbalimbali kutoka nje ya nchi waliweza kuhudhuria katika hafla hiyo ya kuapishwa rasmi kwa rais kikwete akiwemo, Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, Rais wa Zammbia Rupia banda, Rais wa Jam huri ya Demokrasia ya Kongo Joseph kabila, Rais wa Afrika ya Kusini Jacob Zuma, Rais wa Kenya mwai Kibaki, Rais wa Zanzibar Ally Mohamed Shein, maraisi wastaafu wa Tanzania Ally Hassan Mwinyi, Benjamini William Mkapa na Rais mstaafu wa Zanzibar Ally Karume.

Sherehe hizo zilipambwa na vikosi vya ulinzi na usalama ambapo rais Kikwete alipigiwa mizinga 2I pamoja na ndege za kivita kufanya maonyesho na baadaye alikagua gwearide likiwa katika muonekano wa alfa.

Friday, November 5, 2010

Best Blogger Tips
JK Ateuliwa Kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kuapishwa kesho

 Akitangaza rasmi matokeo ya Urais sasa hivi katika viwanja vya Karimjee,jijini Dar Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Lewis Makame,ametangaza rasmi kuwa Dk Jakaya Mrisho Kikwete kupitia chama cha CCM ameteuliwa kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu nyingine tena ya pili.

Rais Kikwete ameibuka kwa ushindi wa kura Mil.5,276,827 ambayo ni asilimia 61% ya watu wote waliopiga kura,Huku mpinzani wake wa karibu kupitia chama cha CHADEMA,Dk.Willbroad Slaa (ambaye hakuwepo kwenye kushiriki hafla hiyo ya kutangazwa rasmi kwa kiti cha urais) ameibuka na idadi ya kura Mil.2,271,941 ambayo ni 20% ya wapiga kura.Mh Makame amesema kuwa idadi ya wapiga kura waliojiandikisha jumla yao ilikuwa ni Milioni 20,137,303,lakini waliopiga kura idadi yao ilikuwa ni Milioni 8,626,283 ambayo ni 42% ya waliopiga kura.

Thursday, November 4, 2010

Best Blogger Tips
Bungeni hapatoshi

BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sasa linaweza kuwa na sura tofauti kiutendaji kwa kuzingatia matokeo ya kura za ubunge na urais zilivyo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ikionekana kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimekwishamudu vigezo vya kuongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, kama kilivyo Chama cha Mapinduzi (CCM), Raia Mwema limebaini.

Kwa kadiri ya mwenendo wa matokeo, chama chenye kupata wabunge wengi ndicho kitakachoweza kuunda Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kile kitakachofuata kwa idadi ya wabunge kitaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni. Mchuano huo wa ama kuongoza kambi ya upinzani au kuunda serikali sasa ni dhahiri ni kati ya CCM na CHADEMA.

Kwa mujibu wa mwenendo ya matokeo ya kura za ubunge, CHADEMA inaelekea kupata wabunge wengi zaidi ya Chama cha Wananchi (CUF) ambacho awali ndicho kilichokuwa kikiongoza Kambi ya Upinzani Bungeni chini ya kiongozi wake, Hamad Rashid Mohammed.

Hata hivyo, katika Bunge la tisa lililovunjwa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, CUF ilikuwa na uwezo wa kuunda Kambi ya Upinzani bila kushirikisha chama kingine cha upinzani na ilifanya hivyo mwanzoni mwa Bunge lakini baadaye chama hicho kiliwashirikisha wabunge wa vyama vingine ambayo ni CHADEMA, UDP na TLP.

Katika mazungumzo yake na Raia Mwema kuhusu mazingira hayo, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni aliyemaliza muda wake, Hamad Rashid Mohammed ameliambia Raia Mwema kwamba taratibu za sasa zinabainisha chama chochote cha siasa kinaweza kuunda kambi yake kama kitafikisha asilimia 12 ya wabunge wote wa Bunge.
Endelea kusoma habari hii................
Source: Raia Mwema

 

Best Blogger Tips
Mbio za uspika zapamba moto

* Chenge, Ndugai wajitosa
* Jenista kuwania unaibu

MCHAKATO wa wana-CCM kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Spika wa Bunge, umezidi kupamba moto, baada ya aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, kuchukua fomu. Mbali na Chenge, ambaye ameshinda ubunge jimbo la Bariadi Magharibi, wengine waliochukua fomu jana ni Job Ndugai, aliyeshinda ubunge Kongwa, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Bunge lililopita.
  
Wengine ni Kate Kamba, ambaye ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Benedict Lukwembe. Wana-CCM hao walikabidhiwa fomu na Katibu Mkuu wa Chama, Yussuf Makamba. Aliyekuwa Spika wa Bunge lililopita, Samuel Sitta, amechukua fomu kutetea nafasi hiyo. Pia aliyekuwa Naibu wake, Anne Makinda, naye anawania kiti hicho na Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tambaza, Salimu Kungulilo. Makamba akiwakabidhi fomu kwa nyakati tofauti katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam, alisema kutokana na Chama kutaka wana-CCM wengi wagombee, wameamua kuogeza siku za uchukuaji fomu.

“Mwisho wa kuchukua fomu ni Novemba 8, mwaka huu. Wanachama wote watatakiwa wawe wamemaliza kuchukua na kurudisha fomu,’’ alisema. Makamba alisema lengo ni kutoa nafasi kwa majina kupelekwa ngazi husika kwa ajili ya mchakato wa uteuzi, ambapo baadae Kamati ya Wabunge wa CCM itateua jina moja, litakalopelekwa ofisi ya Bunge. Akizungumza baada ya kuchukua fomu, Chenge alisema amejitokeza kuwania nafasi hiyo kutokana na kuwa na uzoefu wa shughuli za Bunge. “Nina mambo mengi nataka kulifanyia Bunge, kwa kuwa ni kiungo muhimu kati ya mwananchi na serikali, hivyo naweza kuwa Spika na kulisimamia hili vyema,’’ alisema Chenge.

Naye, Ndugai alisema uwepo wake bungeni kwa vipindi vitatu unampa uwezo mkubwa wa kuendesha shughuli za Bunge.
“Nina uzoefu mkubwa. Nimekuwa Mwenyekiti wa Bunge, Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Mazingira na Utalii na kamati nyingine za mabunge ya Jumuia ya Madola,’’ alisema Ndugai.

Wakati huo huo, Makamba alisema fomu za kuwania unaibu spika zimeanza kutolewa na Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama kwa gharama ya sh. 100,000. “Fomu za unaibu spika zimeshaanza kutolewa, lakini hizi ni kwa wabunge pekee, ambapo wabunge wanapaswa kuchukua fomu hizo,’’ alisema
Kwa upande wake, Jenista alisema fomu hizo zinapatikana Dodoma na Dar es Salaam, ambapo aliwataka wabunge wote wanaotaka kugombea waende kuchukua. Jenista aliyeshinda ubunge jimbo la Peramiho, alisema yeye atachukua fomu kuwania nafasi hiyo, kwa kuwa anataka kuendelea kulipa heshima Bunge la Tanzania kimataifa. Alikuwa Mwenyekiti wa Bunge lililopita.
Source: Uhuru

Wednesday, November 3, 2010

Best Blogger Tips

Republican yashika udhibiti wa bunge


 Imekuwa siku muhimu kwa chama cha Republican nchini Marekani baada ya matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula kuangazwa. Baadhi ya maeneo muhimu ambayo yalikuwa ngome ya chama cha Democratic sasa yako chini ya chama cha Republican.

Chama hicho kimetwaa viti sita vya bunge la Senate kutoka kwa chama cha Democratic na katika bunge la wawakilishi wamepitisha idadi ya wabunge 118 wanaohitajika ili kuwa na idadi kubwa.

Hii ina maana kwamba spika mpya atakuwa John Boehner kutoka jimbo la Ohio.

Amesema kwa kuwa sasa chama chake kina idadi kubwa ya wabunge watajiandaa kufanya mambo kwa njia tofauti. Ameongeza kuwa watazingatia kupunguza matumizi badala ya kuongeza.

Hamasa kubwa inayoonekana katika kampeni za chama cha Republican imetoka kwa vuguvugu la Tea party ambalo limeundwa na wanaharakati.

Chama cha Rais Barack Obama kimepata pigo kubwa kama ilivyotarajiwa lakini pia wamejipatia ushindi katika maeneo machache ikiwa ni pamoja na Nevada ambapo kiongozi wa Senate Harry Reid alimshinda mpinzani wa vuguvugu la Tea party.

Baada ya kutangazwa mshindi seneta Reid alikiri kuwa kilikuwa kibarua kigumu kuhimili upinzani huo.
Rais Obama sasa atakabiliwa na changamoto kubwa katika kutimiza ajenda yake.
Source: BBC

Tuesday, November 2, 2010

Best Blogger Tips
Sitta: Bunge lijalo linatisha

Asema limesheheni watu makini kutoka upinzani

SPIKA wa Bunge lililomaliza muda wake, Samuel Sitta, amesema Bunge lijalo litakuwa tishio na anatamani kuwa spika wake.

Sitta alitoa kauli hiyo jana muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kiti cha ubunge katika Jimbo la Urambo Mashariki (CCM).

Sitta ambaye amejiita kuwa ni ‘Chuma cha Pua’ kutokana na ushindi alioupata, alisema amekuwa akisoma majina ya wabunge wateule walioshinda na kubaini kuwa limesheheni vijana wengi machachari na watu wenye uwezo na uzoefu wa siasa kutoka vyama vya upinzani.

“Bunge lijalo ninavyoliona mimi, litakuwa Bunge la kutisha, maana lina vijana na watu machachari, ukisoma majina yao utaona kabisa kwamba ni watu makini na ni tishio, hivyo natamani kuwa spika wa Bunge hilo ili nikabiliane na changamoto zitakazojitokeza,” alisema Sitta.

Kwa mujibu wa Sitta, pamoja na bunge hilo kuwa na watu machachari, anaamini kwamba atalimudu vyema hivyo amekiomba chama chake kumpa ridhaa ya kushika wadhifa huo kwani ana uzoefu wa kutosha.
Alipoulizwa jambo gani analolikumbuka katika Bunge lililopita na lililotoa changamoto kubwa kwake, Sitta, hakusita kutaja sakata la Richomnd, lililosababisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa kujiuzulu wadhifa huo.

Sakata hilo lilisababisha pia aliyekuwa Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Ibrahim Msabaha na wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, kujiuzulu.
Endelea kusoma habari hii....................
Best Blogger Tips

CCM yapata pigo katika ubunge Tanzania

Via VOA News

Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Tanzania ulofanyika tarehe 31 Oktoba, yanaoynesha baadhi ya wakuu wa serikali katika nafasi za mawaziri na wakuu wa mikoa, wametupwa katika nafasi za ubunge zilizokuwa na upinzani mkali.

Miongoni mwa waliopteza nafasi katika serikali kuu, ni Dk. Batilda Buriani ambaye alikua akiwania ubunge kaika jimbo la Arusha mjini ameshindwa kwa kishindo na Godbless Lema wa CHADEMA.

Philip Marmo ambaye ni kiongozi wa siku nyingi katika serikali naye ameshindwa kuitetea nafasi yake ya Mbulu. Vongozi wengine ambao wanasadikiwa wamepoteza nafasi zao ni pamoja na aliyewahi kuwa waziri katika serikali Anthony Dialo, Waziri wa sasa wa mambo ya ndani Lawrence Masha aliyeshindwa na Ezekiah Wenje wa CHADEMA pia katika jimbo la Nyamagana.

Waziri wa viwanda na biashara Mary Nagu ambae alikua anatetea kiti chake cha huko Hanang ameondolewa sawa na Getrude Mongella wa CCM aliyekua spika wa Bunge la Afrika.

Viongozi wengine wa serikali za mikoa walioshindwa ni pamoja na Monica Mbega wa Ruvuma, na Mohamed Abdulaziz wa Lindi. Vincent Nyerere ambaye ni mtoto wa kakake rais wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere, ameshinda jimbo la Musoma mjini.

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji mstahafu Lewis Makame, alitangaza Jumatatu matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ya majimbo 10 ya Tanzania bara na visiwani.


 

Monday, November 1, 2010

Best Blogger Tips

DK SHEIN ATANGAZWA RAIS ZANZIBAR!

Tume ya Uchaguzi ya Taifa imemtangaza sasa hivi Dk. Mohamed Shein wa CCM kuwa Rais wa Zanzibar baada ya kupata jumla ya kura 179,809 sawa na 50.1% dhidi ya maalim Seif wa Cuf. Maalim Seif ameyakubali matokeo na amempongezi kwa dhati kabisa Dk. shein kwa kupata ridhaa ya Wazanibari ya kuwaongoza kwa miaka 5. "Najua kabisa dk. Mohamed Shein ana uwezo na mahaba ya dhadi ya kuongoza na kuiunganisha nchi yetu", alisema Maalim Seif na kushangiliwa kwa makofi. Kwa maana hiyo Maalim Seif atakuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi kwa mujibu wa muafaka.


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits