Thursday, December 31, 2009

Best Blogger Tips
Rest in Peace Simba wa Vita


Marehemu Rashidi Mfaume Kawawa



Raisi Jakaya Kikwete na Mzee Kawawa wakati wa uhai wake.

Wednesday, December 30, 2009

Best Blogger Tips
Detroit terror attack: CIA had report on suspect five weeks before bomb


The father of terrorist suspect Umar Farouk Abdulmutallab had reported his concerns about his son's radicalisation directly to the CIA more than a month before the attempted bombing of an aeroplane in Detroit, according to a report.But the warning was not passed on in full by the intelligence agency, a source told CNN.
Abdulmutallab's father Alhaji Uma Abdulmutallab, a prominent banker, was said to have had one face-to-face meeting with a CIA official in Nigeria and several contacts by telephone.Read more.

Tuesday, December 29, 2009

Best Blogger Tips
Kikwete ni mti uliosheheni embe mbivu

SHEIKH mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba amemfananisha Rais Jakaya Kikwete na mti uliosheheni embe mbivu, hivyo wabaya wake hawataacha kumpopoa kwa mawe.
Katika siku za hivi karibuni, makada wa CCM na viongozi wa zamani wamepata ujasiri wa kumkosoa Rais Kikwete hadharani, wakidai kuwa ameshindwa kufanya maamuzi mazito juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi.
Habari zaidi soma hapa.

Monday, December 28, 2009

Best Blogger Tips
Bomb suspect family pledges cooperation.


Saturday, December 26, 2009

Best Blogger Tips

Aliyekuwa Askofu Mkuu Msaidizi, jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Methodius Kilaini, akiingia katika kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam kuanza ibada ya Krismasi kitaifa, jana. (Picha na Fadhili Akida

Wednesday, December 23, 2009

Best Blogger Tips
Mambo ya Kobe Bryant

Kobe Bryant, jana aliendelea kufanya vitu vyake, kwa kuibuka na points 40, wakati Lakers walipocheza na Thunder. Ukubali au usikubali, lakini ukweli unabaki kwamba Kobe ni mchezaji aliye na kipaji cha hali ya juu katika mpira wa Kikapu.
Angalia shughuli aliyofanya kwenye video hii.


Best Blogger Tips
Vigogo njia panda

SIKU chache tu kabla ya kuanza kwa mwaka wa mchakato wa kuelekea kilele cha Uchaguzi Mkuu, baadhi ya wabunge waliopoteza matumaini ya kurejea bungeni wameanza kusitisha harakati hizo huku baadhi wakishindwa kuwatembelea wapiga kura kwa miezi kadhaa sasa, na wengine wakijaribu mbinu mpya kurekebisha mchafuko wa hali ya hewa kwa upande wao, Raia Mwema, imebaini.

Wabunge hao takriban 100 kwa muda sasa baadhi wameanza kupunguza kasi ya mawasiliano kati yao na wapiga kura na wengine wachache kati yao, wamekata kabisa mawasiliano hayo kutokana na kujiridhisha kwao kwamba hawana tena fursa ya kushindana na hatimaye kurejea bungeni.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

Tuesday, December 22, 2009

Best Blogger Tips
Diary of Kelly Rowland

Kelly Rolands anazungumzia ziara yake aliyoifanya katika nchi za Tanzania, Kenya na South Africa. Akiwa Tanzania, aliweza kufika hadi Uwanja wa Fisi na kujionea mwenyewe jinsi maisha yalivyo huko, aliweza kukutana na waathilika wa ukimwi na kuzungumza nao. Alizungumza pia na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali na kuwaeleza amejifunza nini kutokana na ziara yake hiyo.


Diary of Kelly Rowland from mtv staying alive on Vimeo.
Best Blogger Tips
The President and First Lady Get Vaccinated


A White House nurse prepares to administer the H1N1 vaccine to President Barack Obama at the White House December 20, 2009. (Official White House Photo by Pete Souza)

Best Blogger Tips

Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa masuala ya Umeme wa Kampuni ya EHL ya nchini Afrika ya Kusini, Martin Burls, (aliyenyoosha mkono), wakati alipotembelea Kituo cha kupokea Umeme cha Fumba jana.Zanzibar haina umeme kwa takribani wiki tatu sasa baada ya chombo katika kituo hicho kulipuka. (Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu).

Saturday, December 19, 2009

Best Blogger Tips
Cowboys vs. saints


Cowboys wamefanya kitu ambacho hakikutegemewa na wengi, kuweza kuifunga New Orleans, ambao ndiyo mchezo wao wa kwanza kupoteza kwa msimu huu. Watu wengi waliamini kwamba Cowboys wangefungwa kirahisi, lakini haikuwa hivyo, Cowboys waliweza kuwadhibiti vizuri Saints na kuweza kuibuka na Ushindi wa 24-17.
Unaweza kuangalia highlights ya game hiyo hapa.
Best Blogger Tips
Quote of the Day

While I know myself as a creation of God, I am also obligated to realize and remember that everyone else and everything else are also God's creation.
Quote by Maya Angelou.

Friday, December 18, 2009

Best Blogger Tips
Jon and Kate Gosselin


Baada ya miaka 10 ya ndoa, Jon na Kate Gosselin, wameachana rasmi. Hati ya kuachana imesainiwa na Judge Arthur R. Tilson.
Kate ataendelea kuishi na watoto kwenye nyumba yao na John atakuwa akitoa pesa za kusaidia kuwatunza watoto.
Kate, mwenye umri wa miaka 34, amesema, ameridhika na uamuzi huo, na kwamba anatarajia kuuanza mwaka mpya kwa kutilia mkazo malezi ya watoto wake.
Jon, mwenye umri wa miaka 32, pia amesema ameridhika na uamuzi huo.
Unaweza kupata udaku huu kiundani zaidi pamoja na habari zingine kwa kuingia hapa.

Thursday, December 17, 2009

Best Blogger Tips
Steve Harvey



Steve Harvey, ni mchekeshaji ambaye anafanya shughuli zake kwenye Radio na Televison hapa USA. Steve anatumia muda mrefu wa kazi zake siyo tu kuwachekesha wasikilizaji wake lakini pia kuwaelimisha jinsi ya kuishi maisha bora na ya amani, ikiwa ni pamoja na kumuweka Mungu mbele katika kila jambo.
Steve pia ni Mtunzi mzuri wa vitabu, Moja ya vitabu ambavyo Steve ameandika na kupendwa sana na watu ni  Act like a Lady, Think like a Man.
Best Blogger Tips

Pichani ni Raisi Jakaya Kikwete, Makamu wa Raisi Dr Ali Mohamed Shein, wakiwa pamoja na Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahimu Lipumba na Katibu wake Maalim Seif Shariff Hamad wakati wa sherehe za Miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika kwenye uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Picha hii inaleta matumaini makubwa, kwamba viongozi hawa wanaweza kuwa wanatofautiana kisiasa lakini hawana chuki kati yao. Picha hii imepigwa na Emanuel Kwitema.

Wednesday, December 16, 2009

Best Blogger Tips
Saturday Night Live

Best Blogger Tips
Janet Blames Dr Murray


Speaking out five months after Michael Jackson's death, Janet Jackson placed blame on Dr. Conrad Murray, saying the doctor should no longer be allowed to practice medicine.
"He was the one that was administering," she told ABC's Robin Roberts. "I think he is responsible."

Michael Jackson's personal physician, Dr. Conrad Murray, remains the focus of a manslaughter investigation into the pop star's death. Murray has admitted to administering the anesthetic propofol, but has denied giving Michael anything that should have killed him.

Jackson, who has walled herself in silence, fiercely guarding her private thoughts about the death of her beloved brother, Michael, opened up to Roberts in an exclusive interview that will air, Wednesday, Nov. 18 at 10 p.m. ET.

"It's been a tough year," she said. "You have your days where it's just really -- it's hard to believe. And a day doesn't go by that I don't think about him."

Jackson recounted the details of the morning of June 25, before she learned that Michael had collapsed, and her world turned upside down.

Tuesday, December 15, 2009

Best Blogger Tips
Former Senate Employee Charged with $75,000 Wire Fraud Scheme


Ngozi T. Pole, 39, a former office manager in the U.S. Senate, was charged today in a six-count indictment for an alleged scheme to defraud the U.S. Senate of more than $75,000, Assistant Attorney General Lanny A. Breuer of the Criminal Division announced today.

According to the indictment, returned by a federal grand jury in Washington, Pole worked as the office manager for former U.S. Senator Edward M. Kennedy. Pole’s responsibilities included transmitting salary and bonus information to the Senate Disbursing Office in order to adjust the pay of employees in the Senator’s office. According to the indictment, beginning in at least 2003 and continuing until January 2007, Pole repeatedly submitted paperwork causing the Senate to pay him larger salary and bonus payments than had been approved by either the chief of staff or Senator Kennedy. The indictment alleges that the excess payments totaled more than $75,000.

According to the indictment, Pole hid the existence of these unauthorized payments by repeatedly transmitting information to the chief of staff falsely showing that Pole received only those payments which had been authorized. Pole, of Waldorf, Md., is charged with five counts of wire fraud and one count of theft of government property.

Each wire fraud charge carries a maximum prison sentence of 20 years and a $250,000 fine. The theft of government property charge carries a maximum prison sentence of 10 years and a $250,000 fine.

This case is being prosecuted by Trial Attorneys M. Kendall Day and Ethan H. Levisohn of the Public Integrity Section of the Criminal Division. The case is being investigated by the FBI. Senator Kennedy’s Office has cooperated fully with the investigation.


An indictment is only a charge and is not evidence of guilt. The defendant is entitled to a fair trial in which it will be the government’s burden to prove guilt beyond a reasonable doubt.
Best Blogger Tips
Jamie Jungers
Jamie Jungers, mwenye umri wa miaka 26, ambaye alijitokeza na kudai ni mmoja kati wanawake ambao Tiger Woods amekuwa na uhusiano nao kimapenzi, alizungumza na CNN kuhusu uhusiano wake na Woods.


Monday, December 14, 2009

Best Blogger Tips
Hasheem Thabeet

Mtoto wa nyumbani, Hasheem Thabeet, anaechezea Memphis Grizzlies, jana jumapili, alifanya mambo siyo ya kawaida hadi kuingizwa kwenye Sunday's Top 5 ,na kudhihirisha kwa nini alikuwa chaguo la pili katika NBA Draft, licha ya dakika chache alizopewa katika mchezo huo. Grizzlies wakicheza dhidi ya Miami Heat, ikiongozwa na mkali wao Dwayne Wade, waliibuka na ushindi mzuri wa points 28 (MEM 118, MIA 90).




Sunday, December 13, 2009

Saturday, December 12, 2009

Best Blogger Tips
Miss World 2009

Miss World 2009, Kaiane Aldorino baada ya kutangazwa mshindi


Miss South Africa, Tatum Keshwar

Miss Gibraltar, Kaiane Aldorino, ameshinda taji la Miss World 2009 katika mashindano yaliyoafanyika Johannesburg, South Africa kwa mwaka huu. Nafasi ya pili imechukuliwa na Miss Mexico, Perla Beltran, na mshindi wa tatu ni Miss South Africa, Tatum Keshwar.

Friday, December 11, 2009

Best Blogger Tips
Tiger Woods


Habari ambazo zinachukua nafasi kubwa katika vyombo vya habari sasa hivi ni kwamba mcheza gofu namba moja Duniani, Tiger Woods, ameamua kupumzika kwa muda usiojulikana kucheza gofu.

“Baada ya kufikilia sana, nimeamua kupumzika kwa muda usiojulikana kucheza gofu. Nataka kuelekeza nguvu zangu katika kuwa mume na baba bora” Amesema Woods.

Habari hii imekuja wiki mbili baada ya kupata ajari ya gari ambayo ilikuwa na maelezo ya kuchanganya sana. Tuhuma za kujihusisha na wanawake wa aina mbalimbali nje ya ndoa zilianza kujitokeza, huku mwanamke mmoja akiwa na ushahidi wa kuachiwa message kwenye simu yake na Woods kabla ya ajari hiyo.

“Nafahamu kwa kiasi kikubwa sana kwamba kitendo cha kutokuwa mwaminifu katika ndoa, kimewaumiza watu wengi hasa mke wangu na watoto” Amesema Woods. “Naomba samahani kwa watu wote, siyo rahisi kurekebisha kosa nililofanya, lakini nataka kujitahidi kwa uwezo wangu wote”.

Woods na mke wake Elin, wana miaka mitano tangu wafunge ndoa, pamoja wana binti wa miaka miwili na mtoto wa kiume mwenye umri wa miezi kumi.
Best Blogger Tips
Quote of the Day

God lets you be successful because he trusts you that you will do the right thing with it. Now, does he get disappointed often? All the time, because people get there and they forget how they got it.

Thursday, December 10, 2009

Best Blogger Tips
Harusi ya Mwambalaswa

Maharusi wakiwa pamoja na Rafiki yao


Marafiki wa Bwana harusi wakiwa na furaha kubwa
Best Blogger Tips
Will Smith


U.S. actor Will Smith, top, applauds President and Nobel Peace Prize laureate Barack Obama during the Nobel Peace Prize ceremony.
Best Blogger Tips
Obama on Nobel


President and Nobel Peace Prize laureate Barack Obama poses with his medal and diploma at the Nobel Peace Prize ceremony at City Hall in Oslo, Thursday, Dec. 10, 2009.
Best Blogger Tips

Quote of the Day

Anyone can give up, it's the easiest thing to do. But to hold it together when everyone else would understand if you fell apart, that's true strength.

Tuesday, December 8, 2009

Best Blogger Tips
Quote of the Day
Good people are good because they have come to wisdom through failure.

Monday, December 7, 2009

Best Blogger Tips
Big Brother Revolution


Hatimaye Kevin kutoka Nigeria, amekuwa mshindi wa Big Brother Africa Revolution. Kevin amepata $200,000 kwa ushindi huo. Kevin alikuwa rafiki mkubwa wa aliyekuwa anaiwakilisha Tanzania kwenye shindano hilo Elizabeth Gupta. Elizabeth alijitahidi sana lakini bahati mbaya akatolewa na mapema.
Kitu kilichonishangaza ni kwa nini Kevin ambaye ni Mnigeria alivaa fulana ya Tanzania.

Sunday, December 6, 2009

Best Blogger Tips
Heshimu Wazazi


Best Blogger Tips
Joke of the Day
Directions

Pete and Larry had not seen each other in many years. Now they had a long talk trying to fill in the gap of those years by telling about their lives. Finally Pete invited Larry to visit him in his new apartment.

"I've got a wife and three kids and I'd love to have you visit us."

"Great. Where do you live?"

"Here's the address. And there's plenty of parking behind the apartment. Park and come around to the front door, kick it open with your foot, go to the elevator and press the button with your left elbow, then enter! When you reach the sixth floor, go down the hall until you see my name on the door. Then press the doorbell with your right elbow and I'll let you in."

"Good. But tell me...what is all this business of kicking the front door open, then pressing elevator buttons with my right, then my left elbow?"

"Surely, you're not coming empty-handed."

Saturday, December 5, 2009

Best Blogger Tips
Willy & Joy's Wedding

Friday, December 4, 2009

MTV Staying Alive

Best Blogger Tips
Another chance to catch suga, an MTV Staying Alive set in Nairobi, Kenya. In Eposide 1 Diva has hopes of high life, meanwhile the fast boys flex their masculinity and virginia plays hard to get.

Shuga Episode 1 from mtv staying alive on Vimeo.



Eposide 2

The fast boys get caught slipping, while Ayira thinks she's playing Felix, meanwhile everything becomes clear with why Virginia has been acting distant. It all goes pear shaped for the fast boys, as Leo Kenneth and Scola wake up regretting the night before, sweating over some bad news...

Shuga Episode 2 from mtv staying alive on Vimeo.



Eposide 3

Another chance to catch Shuga, an MTV Staying Alive drama set in Nairobi, Kenya. Everything comes to a head in the final episode, Ayira has it all to lose, and Skola is free falling to his lowest point

Shuga Episode 3 from mtv staying alive on Vimeo.


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits