Friday, March 25, 2011

Best Blogger Tips
Msiba Tanzania

Kwa mara nyingine Tanzania imepata pigo kwa upande wa fani ya muziki ambapo wasanii kumi na watatu wa muziki wa taarabu wa bendi ya Five stars Modern Taarabu, wamefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea katika kijiji cha Doma, mkoani Morogoro takriban kilomita mia tatu magharibi mwa mji wa Dar es Salaam.

Mwandishi wa BBC kutoka Dar es Salaam, John Sololmbi aliweza kuzungumza na mama mzazi wa marehemu Issa Ali almaarufu Kijoti aitwaye Amina Mahmoud na pia mama yake mdogo marehemu Sophia Said.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits