Saturday, October 30, 2010

Best Blogger Tips
R.I.P Syllesaid Mziray


Kocha aliyechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya soka nchini Tanzania, Syllesaid Mziray "Mwanangu", amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Agakhan, jijini Dar-es-salaam. 

Coach Mziray, aliyekuwa mwajiriwa wa Chuo kikuu huria kama Mhadhiri, atakumbukwa kwa umahiri katika ufundishaji soka katika vilabu mbalimbali hadi timu ya Taifa iliyoshinda ubingwa wa Nchi za Afrika Mashariki.

Alifundisha pia Pilsner, Simba, Yanga, Pan African na kabla mauti kumkuta alikuwa mwalimu wa viuongo na saikolojia wa klabu ya Simba.


Mwenye-ezi Mungu Umuweke Mahala Pema Peponi Super Coach Syllesaid Mziray.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits