Thursday, January 28, 2010

Best Blogger Tips
Babu akimbia baada ya kumbaka mjukuu wake

Unaweza ukadhani ni hadithi, ukweli ni kwamba jambo hili limetokea huko Mbozi katika mkoa wa Mbeya, binti wa miaka 10 amebakwa na babu yake. Babu huyo alimvamia mjukuu wake usiku wa manane na kumbaka huku akimtishia kumuua iwapo angetoa siri hiyo.
Kwa undani wa habari hii ingia hapa.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits