Sunday, January 31, 2010

Best Blogger Tips
Serikali ya mseto yapitishwa Z'bar

HATIMAE Baraza la Wawakilishi Zanzibar limeidhiria hoja ya kuundwa kwa serikali ya kitaifa kufanyika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010.

Hoja hiyo liyowasilishwa na kiongozi wa kambi ya upinzani Abubakar Khamis Bakari na inayotaka kuundwa kwa serikali hiyo ili kujenga umoja na maridhiano kwa Wazanzibari ambayo wamekuwa katika migogoro ya kisiasa kwa muda mrefu.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits