Wednesday, November 10, 2010

Best Blogger Tips
Mbio za Uspika: Kamati Kuu Yamuengua Sita


kamati kuu leo imepitisha majina matatu ya wana ccm watakaogombea nafasi ya uspika
kati ya wagombea 13 wa chama hicho waliojitokeza.

Nao ni Mh. Anna Abdallah,  Mh. Kate Kamba na Mh. Anna Makinda.

majina ya wanaowania unaibu spika yanatakiwa yafike ofisi za bunge keshokutwa novemba 15, 2010.

katibu mkuu wa ccm amesema sasa hivi kwamba kamati kuu ya ccm imeamua kwa makusudi kumpa nafasi mwanamke kuongoza moja wa mihimili mitatu ya nchi kwa mara
ya kwanza katika historia ya jamhuri ya muungano.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits