Sunday, January 3, 2010

Best Blogger Tips
Rais Jacob Zuma na mke wa mpya wa 5


Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, amefunga ndoa na mke mpya wa tano. Inasemekana mipango iko mbioni kuoa mke wa sita. Amefunga  ndoa na Thobeka Madiba. Kwa habari zaidi na dance yake ya kukata na shoka, ingia hapa, na hapa pia.

3 comments:

Anonymous said...

Mambo ya hatari haya jamani!!

Masatu said...

I reserve my comment.

willymwamba said...

huyu jamaa noma


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits