Tuesday, December 22, 2009

Best Blogger Tips

Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa masuala ya Umeme wa Kampuni ya EHL ya nchini Afrika ya Kusini, Martin Burls, (aliyenyoosha mkono), wakati alipotembelea Kituo cha kupokea Umeme cha Fumba jana.Zanzibar haina umeme kwa takribani wiki tatu sasa baada ya chombo katika kituo hicho kulipuka. (Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu).

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits