Tuesday, December 29, 2009

Best Blogger Tips
Kikwete ni mti uliosheheni embe mbivu

SHEIKH mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba amemfananisha Rais Jakaya Kikwete na mti uliosheheni embe mbivu, hivyo wabaya wake hawataacha kumpopoa kwa mawe.
Katika siku za hivi karibuni, makada wa CCM na viongozi wa zamani wamepata ujasiri wa kumkosoa Rais Kikwete hadharani, wakidai kuwa ameshindwa kufanya maamuzi mazito juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi.
Habari zaidi soma hapa.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits