Tuesday, March 23, 2010

Best Blogger Tips
Rais wa Namibia Hifikepunye Pohamba akimkabidhi Nishani ya juu ya Taifa la Namibia, Mama Maria Nyerere kwa niaba ya Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kutambua juhudi za Mwalimu katika ukombozi wa Bara la Afrika ikiwemo Namibia katika hafla maalumu iliyofanyika Windhoek juzi, Kushoto ni mtoto wa Mwalimu Makongoro(Picha na Fredy Maro)

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits