Monday, February 15, 2010

Best Blogger Tips
Lowassa, Sitta wagomea suluhu

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) kimeshindwa kuwasuluhisha Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa na Spika wa Bunge Samuel Sitta, Tanzania Daima limeelezwa.

Taarifa za uhakika kutoka katika kikao cha NEC kilichoketi Dodoma tangu juzi, zinasema kwamba makundi ya vigogo hao yalikuwa yanakamiana kumalizana na kutunishiana misuli, huku Sitta akidai hana sababu ya kusuluhishana na Lowassa kwa sababu hawana ugomvi binafsi.

Kutokana na kushindwa kuwasuluhisha mahasimu hao wawili na wapambe wao, kikao hicho kilipendekeza Kamati ya Mwinyi iongezewe muda ili kuwapa fursa nyingine ya kufikia hatima ya uhasama huo ambao umedumu kwa zaidi ya miaka miwili.
Kwa habari zaidi ingia hapa.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits