Monday, February 8, 2010

Best Blogger Tips
Oprah aongea na wabakaji wa watoto
 Oprah Winfrey, ameongea na wabakaji wa watoto, wabakaji hao wameelezea kwa kirefu jinsi walivyokuwa wanafanya unyama huo kwa watoto ikiwa ni pamoja na mbinu walizokuwa wanatumia kuwapata watoto hao.
Mmoja wao amekili kwamba alifanya unyama huo kwa mtoto wake aliyemzaa.

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits