Thursday, February 4, 2010

Best Blogger Tips
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akisalimiana na mmoja wa waasisi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chausiku Mussa (75) wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyofanyika katika eneo la Mahakama Kuu, Dar es Salaam jana. Kushoto kwa Rais ni Spika wa Bunge la Tanzania, Samuel Sitta. (Picha na Fadhili Akida).

No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits