Thursday, February 4, 2010

Best Blogger Tips
Mtoto aliyenusurika ajali apata ndugu

MTOTO aliyenusurika katika ajali ya mabasi mawili yaliyogongana juzi na kusababisha vifo vya watu 25 na wengine 52 kujeruhiwa, amechukuliwa baada ya kujitokeza kwa ndugu zake.

Mtoto huyo, ambaye alihifadhiwa Hospitali ya Mkoa wa Tanga ya Bombo, amechukuliwa na babu yake aliyejitambulisha kwa jina la Meshack Lotaayanywa Laiser.


No comments:


Copyright 2011 Mambo ya Leo Blog. All Rights Reserved.
 

yasmin lawsuits